Hivi unajisikiaje umezaliwa kwenye ndoa halali ila unamzaa mtoto nje ya ndoa? Unaona unamtendea haki huyo mtoto?

Kazanazo

JF-Expert Member
Aug 16, 2023
686
1,360
Hii ni kwa wale wote waliozaliwa kwenye ndoa halali na iliyobarikiwa na Mungu.

Hivi huwa mnajisikiaje kuzaa watoto wa zinaa hali yakuwa nyie mmezaliwa kwenye ndoa halali mnaona mnawatendea haki hao watoto?

Kizazi cha 80's hadi 90's wengi wamezaliwa kwenye ndoa, miaka hii kushuka chini wachache sana walizaliwa nje ya ndoa kwa kuzini na kujamiiana na kutungishana mimba ila wengi wao wamezaliwa kwenye ndoa halali kwanini nyie mzae watoto bila ya ndoa ingekuwa wewe ungejisikiaje?

Zini uzinivyo( japo ni katazo kwa Mungu) ila usilete mtoto ambae hana muunganiko wa nasaba kwa ndugu na wazazi duniani ukitaka kufanya ivo oa au olewa kwani wewe wazazi wako walilitambua hilo na ndio maana ukazaliwa na wazazi wenye muunganiko kisheria.

Binafsi nilicharaza sana ila nilipotaka kupata mtoto nikaoa kwani najihisi fahari kuzaliwa na wazazi waliokuwa na ndoa au muunganiko wa kisheria hivyo nahisi nikioa na kupata mtoto nitakuwa nimemtendea haki basi nikaoa.

Kama haupo tayari kuoa au kuolewa usizae wala kuzalisha ni bora ukakaa ivoivo kuliko kuwaleta duniani watoto wa zinaa hamuwatendei haki hao watoto.
 
Hii ni kwa wale wote waliozaliwa kwenye ndoa halali na iliyobarikiwa na Mungu.

Hivi huwa mnajisikiaje kuzaa watoto wa zinaa hali yakuwa nyie mmezaliwa kwenye ndoa halali mnaona mnawatendea haki hao watoto?

Kizazi cha 80's hadi 90's wengi wamezaliwa kwenye ndoa, miaka hii kushuka chini wachache sana walizaliwa nje ya ndoa kwa kuzini na kujamiiana na kutungishana mimba ila wengi wao wamezaliwa kwenye ndoa halali kwanini nyie mzae watoto bila ya ndoa ingekuwa wewe ungejisikiaje?

Zini uzinivyo( japo ni katazo kwa Mungu) ila usilete mtoto ambae hana muunganiko wa nasaba kwa ndugu na wazazi duniani ukitaka kufanya ivo oa au olewa kwani wewe wazazi wako walilitambua hilo na ndio maana ukazaliwa na wazazi wenye muunganiko kisheria.

Binafsi nilicharaza sana ila nilipotaka kupata mtoto nikaoa kwani najihisi fahari kuzaliwa na wazazi waliokuwa na ndoa au muunganiko wa kisheria hivyo nahisi nikioa na kupata mtoto nitakuwa nimemtendea haki basi nikaoa.

Kama haupo tayari kuoa au kuolewa usizae wala kuzalisha ni bora ukakaa ivoivo kuliko kuwaleta duniani watoto wa zinaa hamuwatendei haki hao watoto.
Hahaahaaa! Mtihani sana aisee.
 
Kwa mtazamo wangu cha muhimu ni kuzaa mtoto ukiwa na uwezo wa kumpa maisha mazuri bila kujali amezaliwa ndani au nje.

Kama hauwezi kumpa mtoto maisha mazuri huko ndani ya ndoa anafaidika napo vipi? Akisikia njaa atakula cheti cha ndoa?
 
Kwa mtazamo wangu cha muhimu ni kuzaa mtoto ukiwa na uwezo wa kumpa maisha mazuri bila kujali amezaliwa ndani au nje.
Kama hauwezi kumpa mtoto maisha mazuri huko ndani ya ndoa anafaidika napo vipi? Akisikia njaa atakula cheti cha ndoa?
Huo ni ubinafsi mwingine kwanini wewe umezaliwa ndani ya ndoa mzazi wako hakuliona hilo?
 
Hii ni kwa wale wote waliozaliwa kwenye ndoa halali na iliyobarikiwa na Mungu.

Hivi huwa mnajisikiaje kuzaa watoto wa zinaa hali yakuwa nyie mmezaliwa kwenye ndoa halali mnaona mnawatendea haki hao watoto?

Kizazi cha 80's hadi 90's wengi wamezaliwa kwenye ndoa, miaka hii kushuka chini wachache sana walizaliwa nje ya ndoa kwa kuzini na kujamiiana na kutungishana mimba ila wengi wao wamezaliwa kwenye ndoa halali kwanini nyie mzae watoto bila ya ndoa ingekuwa wewe ungejisikiaje?

Zini uzinivyo( japo ni katazo kwa Mungu) ila usilete mtoto ambae hana muunganiko wa nasaba kwa ndugu na wazazi duniani ukitaka kufanya ivo oa au olewa kwani wewe wazazi wako walilitambua hilo na ndio maana ukazaliwa na wazazi wenye muunganiko kisheria.

Binafsi nilicharaza sana ila nilipotaka kupata mtoto nikaoa kwani najihisi fahari kuzaliwa na wazazi waliokuwa na ndoa au muunganiko wa kisheria hivyo nahisi nikioa na kupata mtoto nitakuwa nimemtendea haki basi nikaoa.

Kama haupo tayari kuoa au kuolewa usizae wala kuzalisha ni bora ukakaa ivoivo kuliko kuwaleta duniani watoto wa zinaa hamuwatendei haki hao watoto.
Mshauri hayo maneno na yesse babake daudi, maana alizaliwa hivyo na bado ndio chimbuko la YESU unaemuamini, na Daudi ni kitukuu cha malaya anaeitwa Rahabu, nachotaka kukuambia ni nini ndugu yangu....hapa duniani hakunaga bahati mbaya mzee, hayo matoto unayoweza kujitapa nayo kwamba umewazaa kisheria sijui kimuunganiko, usishangae yakaja kuhemewa shingoni na wanaume wenzao, hakuna mtoto anaezaliwa bahati mbaya maana rohoni hakunaga bahat mbaya.

Shukuru wewe umezaliwa baada ya mchungaji wako kuwawekea mikono baba na mamako, tuoneshe mchungaji aliewawekea mkono Adam na Hawa, mpaka kaini na Abel kuzaliwa, usipumbazwe na dini ukajiona wewe ni bora kuliko wengine, Mungu atatumia hata malaya kumleta mwanadamu aliemkusudia.....so kaa kwa kutulia Nature inafanya kazi.....kwa nmna yoyote watu watazaliwa na kufa, na kuongeza idadi kama alivyopanga MUNGU.
 
Hii ni kwa wale wote waliozaliwa kwenye ndoa halali na iliyobarikiwa na Mungu.

Hivi huwa mnajisikiaje kuzaa watoto wa zinaa hali yakuwa nyie mmezaliwa kwenye ndoa halali mnaona mnawatendea haki hao watoto?

Kizazi cha 80's hadi 90's wengi wamezaliwa kwenye ndoa, miaka hii kushuka chini wachache sana walizaliwa nje ya ndoa kwa kuzini na kujamiiana na kutungishana mimba ila wengi wao wamezaliwa kwenye ndoa halali kwanini nyie mzae watoto bila ya ndoa ingekuwa wewe ungejisikiaje?

Zini uzinivyo( japo ni katazo kwa Mungu) ila usilete mtoto ambae hana muunganiko wa nasaba kwa ndugu na wazazi duniani ukitaka kufanya ivo oa au olewa kwani wewe wazazi wako walilitambua hilo na ndio maana ukazaliwa na wazazi wenye muunganiko kisheria.

Binafsi nilicharaza sana ila nilipotaka kupata mtoto nikaoa kwani najihisi fahari kuzaliwa na wazazi waliokuwa na ndoa au muunganiko wa kisheria hivyo nahisi nikioa na kupata mtoto nitakuwa nimemtendea haki basi nikaoa.

Kama haupo tayari kuoa au kuolewa usizae wala kuzalisha ni bora ukakaa ivoivo kuliko kuwaleta duniani watoto wa zinaa hamuwatendei haki hao watoto.
Hayo ni mapokeo tu. Kwani mtu akizaliwa ndani au nje ya ndoa kuna faida au hasara gani? Unamjua Mfalme Suleiman alizaliwa kwa mama yupi?
 
Huo ni ubinafsi mwingine kwanini wewe umezaliwa ndani ya ndoa mzazi wako hakuliona hilo?
Kwani ndoa ni hio sherehe na vyeti mkuu? Au ndoa ni muunganiko kiagano kupitia mkataba wa ngono kwa damu ya ubikira kupitia mke na mume,wafanyao hayo.....wewe ukiwa na mwanamke wako mmoja na yeye akajua anae mume mmoja pasipo kutoka nje yako huyo ndio mke,hayo mengine ni maslahi ya Dini tu.
 
Mshauri hayo maneno na yesse babake daudi,maana alizaliwa hivyo na bado ndio chimbuko la YESU unaemuamini,na Daudi ni kitukuu cha malaya anaeitwa Rahabu, nachotaka kukuambia ni nini ndugu yangu....hapa duniani hakunaga bahati mbaya mzee,hayo matoto unayoweza kujitapa nayo kwamba umewazaa kisheria sjui kimuunganiko,usishangae yakaja kuhemewa shingoni na wanaume wenzao,hakuna mtoto anaezaliwa bahati mbaya maana rohoni hakunaga bahat mbaya,shukuru wewe umezaliwa baada ya mchungaji wako kuwawekea mikono baba na mamako,tuoneshe mchungaji aliewawekea mkono Adam na Hawa,mpka kaini na Abel kuzaliwa,usipumbazwe na dini ukajiona wewe ni bora kuliko wengine,Mungu atatumia hata malaya kumleta mwanadamu aliemkusudia.....so kaa kwa kutulia Nature inafanya kazi.....kwa nmna yoyote watu watazaliwa na kufa,na kuongeza idadi kama alivyopanga MUNGU
Huo nao ni ubinafsi mwingine, halafu sijajiona bora ila najihisi fahari kuzaliwa na kumzaa mtoto wa ndoani na pia mkuu nimekuwa specific tu kwa watu waliozaliwa ndoani kwanini walete watoto ambao kwao hawakupatwa kwa namna hiyo!

Na pia sikusema kuwa enzi na enzi watoto wa nje ya ndoa hawakuwepo la ila walikuwa wachache kulinganisha na sasa
 
Haya ndo mambo ambayo mungu atuepushe nayo hii ikitokea ndo chanzo cha watoto kuwapa stress bado wakiwa wadogo na mwishowe kuwateklekeza sio vizuri kuzaa nje ya ndoa alafu baadae uje umtese mtoto haumpi malezi Bora kama baba sio vizuri narudia sio vizuri
 
Sasa mkuu kipi bora kwa mwanao?
Maisha mazuri?
Ndani ya ndoa?
Kama hauna hela za kumfanya aishi vizuri yeye anafaidika vipi na huko ndani ya ndoa?
Bora ni kama mzazi kaona umuhimu wa kukuzaa ndani ya ndoa nawewe mzae mtoto wako ndani ya ndoa hayo mengine ya maisha yatajiseti yenyewe kwani unaweza ukamzaa ukafa hayo maisha bora atapewa na nani?
 
Kwani ndoa ni hio sherehe na vyeti mkuu? Au ndoa ni muunganiko kiagano kupitia mkataba wa ngono kwa damu ya ubikira kupitia mke na mume,wafanyao hayo.....wewe ukiwa na mwanamke wako mmoja na yeye akajua anae mume mmoja pasipo kutoka nje yako huyo ndio mke,hayo mengine ni maslahi ya Dini tu.
Wewe hivyo ndivyo ulivyopatikanwa mkuu?
 
Back
Top Bottom