Je, mmiliki halali wa Mtoto ni Baba au Mama? Au wote wawili?

Habari?.

Nauliza hivo kwa sababu nimekuwa nikisikia hizi kauli kutoka kwa wanaume "kama unaondoka nenda lakini usiondoke na MTOTO WANGU" .

Ina maana nyie wanaume ndio wamiliki wa mtoto aliyezaliwa na mama hana haki na huyo mtoto?. Kwanini msiseme "mtoto wetu"?
Kisheria inatambua mtoto ni wa wazazi wawili, ila pia kama kuna mpasuko na wawili nyie mkawa mnagombaniana watoto huwa sheria inaangalia mtoto umri wake then kama ni mdogo sana basi itampa mama advantages...
 
Wa wote wawili...

Ila akifikisha miaka 18 sio mali ya mtu,ni mtu binafsi!

Toeni dhana ya kumiliki wanadamu!

Hiyo dhana kuiondoa ni ngumu maana siku zote inaonekana mwanaume ndie anaeendeleza ukoo wake na mwanamke anatumiwa kuendeleza ukoo wa mtu mwingine.

Hii inapelekea mtoto kuonekana ni wa mwanaume zaidi ukiachilia matrelinial societies ambapo kwa bongo zipo chache
 
Lazima ang'ang'anie kwa sababu ni mwanae na wewe ukitaka mng'ang'anie ni mwanao pia.
Hilo neno mwanangu lisikutishe.hata wewe unaweza ukamwita tu.
Utakuwa una gubu wewe maana hata sijaona sababu ya msingi hapo.
 
Habari?.

Nauliza hivo kwa sababu nimekuwa nikisikia hizi kauli kutoka kwa wanaume "kama unaondoka nenda lakini usiondoke na MTOTO WANGU" .

Ina maana nyie wanaume ndio wamiliki wa mtoto aliyezaliwa na mama hana haki na huyo mtoto?. Kwanini msiseme "mtoto wetu"?
Bride price/ dowry alilipa nani? Ukoo unatiririka vipi?
 
Hiyo dhana kuiondoa ni ngumu maana siku zote inaonekana mwanaume ndie anaeendeleza ukoo wake na mwanamke anatumiwa kuendeleza ukoo wa mtu mwingine.

Hii inapelekea mtoto kuonekana ni wa mwanaume zaidi ukiachilia matrelinial societies ambapo kwa bongo zipo chache
Upo sahihi

Very correct.

Ila kwa jinsi wanawake wanavyokuja na hivi movements za feminism,mzee,the whole world will be feminine.

Feminism is a big problem!
 
Back
Top Bottom