Je, mmea wa "stevia" ndio suluhisho la uhaba wa sukari nchini?

Kwa jina la kiswahili huo mmea unaitwaje .

Anyway ngoja niingie Google
 
Tafuta wataalamu wa tiba asili na watafiti wa mimea uwaulize dawa ya kutibu kisukari inaitwaje na inapatikana wapi? Je, mbadala wa sukari mbali na matunda ni mmea gani unafaa?

Kibwagizo; Ugonjwa ni biashara brother.

NB

Soma vitabu, fanya tafiti na ukiona jambo mtandaoni thibitisha kwa tafiti na tafakali kuu. Mtandaoni vinaandikwa vingi vilivyo kweli na uongo.
Kuna njia nyingi za kienyeji za kutibu kisukari

Hata hivyo nakushukuru kwa kuuleta huu Uzi hapa jf
 
Sana sana bukoba yako mengi ila hata dsm watu wameyapanda km maua , kwny nyumba za Wahaya.
Sawa mkuu. Kama unaweza niunganisha na mtu nikaenda kuyaona kwa pale yalio uta kuwa umenisaidia sana maana nimeona fursa katka haya majan sema sijawahi onana nayo
 
Huu mmea sina uhakika kama ni kashwagala maana kashwagala una uchungu fulani na ukali, nilionja kwa kutafuna majani yake baada ya kuona hii post na watu kuhusisha huo mmea wa stevie na kashwagala.
 
Mm nimeshafanya tafiti za awali juu ya huu mmea baada ya kuambiwa how potential the plant is. Ila kwakaili za kuambiwa sijui uko mtaani si kweli. Kwa haraka haraka hakuna mahali kwa Tanzania kuna shamba hata moja. Ila kwa East Africa labda ni Kenya na Rwanda kidogo. Ila kwa taarifa zilizopo mtandaoni juu ya hili zao ni kwa Kenya ambako kuna documetary moja ya Mzee wa Kikenya ambaye aliamua kuachana na kilimo cha mahindi na kutimkia kwenye stevia baada ya kushauriwa na mwanae. Kwasasa mzee anauza mavuno yake kwenye soko la uchina( anayetaka hiyo taarifa iko youtube.. naona uvivu kuilink hapa). Ila taarifa nyingi la hilo zao ni Latin America. Wanaosema Arusha lipo hakuna hata mti mmoja tumeshajiribu na mzee wangu mmoja kutafuta mbegu zake hakuna wa mkulim hakuna ( yoyote atakayekuwa serious na hili zao atakuwa ni sehemu ya pioneer wa hichi kilimo). Ili kuweza kupat mbegu mm nahisi uanzie kwenye hiyo taarifa ya huyo mzee wa huko Kenya.
 
3 years back nilipoanza kuacha matumizi ya sukari kabisa nilianza na hayo majani matamu kwenye chai kuliko sukari na ni nzuri kwa weight control na kiafya kwa ujumla.
Dr. Ndodi ameyafanyia packaging anayauza
Kumbe bongo nayo yapo, inapatikana wapi
 
Mkuu huu mmea umezuiwa kutumika kwa baadha ya mataifa kama USA kwakuhofia unauwezekano wa kusanabisha kansa,
Sujui hapa kwetu TFDA wanaongeleaje huu mmea au na wenyewe wame upiga marufuku.
Lazima wafanye hivyo kwani wanajua ukweli hausababishi kansa bali wataanguka ktk soko la dawa
 
Hayo majani kwa kihaya yanaitwa Kashwagala. Sijui kwa Kiswahili. Sina uhakika kama kuna scientific back-up kuyahusu. Ila kienyeji tunayatumia kwa mambo mengi. Watu wa Mara na Kagera wanayajua sana.
 
Mkuu huu mmea umezuiwa kutumika kwa baadha ya mataifa kama USA kwakuhofia unauwezekano wa kusanabisha kansa,
Sujui hapa kwetu TFDA wanaongeleaje huu mmea au na wenyewe wame upiga marufuku.
wamarekani wameshagundua ni dawa ya kisukari ndio maana wameanza kuutengenezea skendo mbaya ati unaleta kansa sio kwel.. wanataka waendelee kutuuzia dawa
 
Mkuu nijuze yanapatikana wap kwawing ka unayafahamu mie najua matumiz yake sana ila sina hakika ka nilishawahi yaona
Kama ni kweli ni Kashwagara Bukoba/ Kagera mmea huo unastawi vizuri saana. Ndiyo maana kampuni moja ya Canada imeanzisha kilimo biashara ya mmea huo 'Stevia' nchini Rwanda ambako hali hewa ni sawa na Kagera.
 
Hakunaga mimea au jani lolote liletalo kansa..... Kuwa makini sana na mzungu
Organic zinaweza kuwa sumu mwilini but never kuwa carcinogen.yaani mimea isababishe cancer? Bas na palstic zitakuwa zinanenepesha ukizila
 
Back
Top Bottom