makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 28,180
- 81,088
Napata wapi mbegu, nikapande porimi kwangu mzee?3 years back nilipoanza kuacha matumizi ya sukari kabisa nilianza na hayo majani matamu kwenye chai kuliko sukari na ni nzuri kwa weight control na kiafya kwa ujumla.
Dr. Ndodi ameyafanyia packaging anayauza