Yes upo uwezekano mkubwa, muonane na wataalamu kujua usalama wa Mtoto.wangwana hali vipi.natumai salama..nawaombeni mchango wenu katika suala ambalo kwa muda limenisumbua..mwanamke akitunga mimba kuna uwezekano akawa anazishuhudia siku zake za mwezi?
Wahi hospitali mkuuNa mimi nilitaka nianzishe uzi kama huu..nimepata shida kama hii..mwezi wa tatu sikuona siku zangu nikapima nikaona nina mimba...ila tangu jana nimeanza kuona damu na leop asubuhi bado kama inaanza kuongezeka.nitaenda hosp ,manake naona maajabu
shukran sana..Yes upo uwezekano mkubwa, muonane na wataalamu kujua usalama wa Mtoto.
asenti mkuuAcha kumpotosha. Aende kumwona doctori tu
KIFUPI AAMBIWE KUWA kama mwanamke wake anaingia hedhi wakati ni mjamzito, basi ni tatizo, aonane na daktari....Yes upo uwezekano mkubwa, muonane na wataalamu kujua usalama wa Mtoto.
ni vyema ukatafute ushauri wa mtaalamu manake hii leo nimeandamana na mke wangu na tukapata kufaham mengi...kuna mambo kadhaa ambayo yaweza kuwa visababishi vya jambo hili..mengine ni very serious na mengine kawaida tu..kama ikizidi siku mbili na iwe imekolea ni vyema ufanye mpango wa kuonana na daktari au ukitembelee kituo chako cha kliniki manake yaweza kuwa hatari sana...Na mimi nilitaka nianzishe uzi kama huu..nimepata shida kama hii..mwezi wa tatu sikuona siku zangu nikapima nikaona nina mimba...ila tangu jana nimeanza kuona damu na leop asubuhi bado kama inaanza kuongezeka.nitaenda hosp ,manake naona maajabu
hili ni kweli mkuu..ni jambo la haja sana wanawake wajawazito kutembelea vituo vyao vya kliniki kwa muongozo katika utunzaji wa mimba..Baadhi ya wanawake hill linatokea ... Wakati mimba inatungwa na inaendeleea ... Kuna vimishipa ambavo huachia ili kueza kujishika kwenye kizazi hivyo hupelekea mwanamke kuona siku ambazo hazifanani na siku zake za kawaida yaani huwa pungufu. Kuliko kawaida dalili hizo zinatokea kwa baadhi ya wanawake.... Ni vizuri kumpima ili kuhakikisha kweli ..Kama ndio mjauzito au LA ili kuchukua tahadhari za kiafya Kama kweli atakua mjauzito