MoneyHeist4
JF-Expert Member
- Jul 10, 2017
- 2,139
- 3,227
wengn wanapata mkuu had wanapata bedrest
Heee atakuwa labda na matatizo mengine tofauti.
wengn wanapata mkuu had wanapata bedrest
Heee atakuwa labda na matatizo mengine tofauti.
Basi atakuwa na njia mbili za kupitisha hedhi[emoji23][emoji23]sijui km huwa ni tatz gan ila wapo weng sana tu!
Basi atakuwa na njia mbili za kupitisha hedhi[emoji23][emoji23]
Wapo wanaopata hedhi angali wamebeba ujauzito.Mimba ikiingia hawezi kupata hedhi.
Inaweza kutunga na wengine wakati wa hedhi kabisa.Ninavyojua mimi karibu na siku za hedhi mimba haiwezi kutungwa
![]()
Ninavyojua mimi karibu na siku za hedhi mimba haiwezi kutungwa
![]()
Inaweza kutunga na wengine wakati wa hedhi kabisa.
Ndugu yangu alikuwa hashiki mimba akaambiwa afanye wakati akiwa hedhi na akabeba, wataalamu wanajua zaidi ukiwauliza wanaweza kukuelewesha inakuwaje.Sayansi ya wapi hii ndugu?!
Ni sahihi kabisa kupata mimba wakati wa hedhi. Hii inatokana na mzunguko wako kwa wale kwenye mzu huko mfupi sana kupata mimba wakati wa hedhiSayansi ya wapi hii ndugu?!
Wapo baadhi ya wanawake wanapata hedhi wakiwa tayari na ujauzito ila siku huwa zinapungua...kama alikuwa anapata hedhi siku 4 basi anaweza kupata hedhi siku 2 tu.Hii hutokana na hormonal imbalance.Mwanamke unaposhika mimba hakuna tena hedhi ukiona damu hata iwe ndogo hilo ni tatizo nenda hospital.
Niliwah kuckia hii ki2 kumbe ni kwel,Wapo baadhi ya wanawake wanapata hedhi wakiwa tayari na ujauzito ila siku huwa zinapungua...kama alikuwa anapata hedhi siku 4 basi anaweza kupata hedhi siku 2 tu.Hii hutokana na hormonal imbalance.
Na hii hutokea miezi mitatu ya mwanzo baada ya hapo hormonal zinakuwa stable.
thanks for information na picha kwa msisitizoSawa ila inakua na utofauti wa siku na kiwango cha damu pia rangi yake inakua tofauti na hedhi ya kawaida hivyo inabadilika jina na kuitwa spotting. Inatokea wakati yai lililorutubishwa linapoenda kujishikiza kwenye uterus tayari kwa kukua hapo kuna kiwango kidogo cha damu kinatoka
![]()