mnataka hata kuku akiibiwa rais atoe tamko.rais nu mkuu wa nchi nampongeza kwa kukaa kimya na kuwaachia vuongozi wengine walishughulikie,yupo pm.na pia wapo mawaziri na wakuu wa mikoa na wilaya.separatuon of power ni msingi muhimu ktk taifa lolote la kidemokrasia.maana wakishindwa kutatua kabisa ndio rais anakuja kutoa kauli ya mwisho.toa hoja zako kama msomi na mzalendo.