Bartazar
JF-Expert Member
- Oct 4, 2011
- 1,049
- 571
Hivi Mnyika na elimu yake ya kubumba ulitegemea aseme nini? Nenda kwenye tovuti ya bunge hata shule alizosoma hazijaoneshwa?
Na wewe elimu ya kukariri na kukufanya kibaraka wa watawala huku mkishirikiana kuifisidi nchi imetusaidia nini? Heri Mnyika mwenye elimu ya kawaida lkn yenye faida kwa nchi yupo upande wetu, kuliko mliosoma mkamaliza madarasa na sasa mnashirikiana kubomoa nchi!