technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,553
- 57,843
Nina wasiwasi na huyu mdada inawezekana kashachukua pesa
Analeta story za maandamano tarehe 25 yaani siku ya Christmas?
Serious? Yaani watu waache kusherekea sikukuu za mwisho wa mwaka wafungiwe Tena ndani?
Hapana me nakataa maandamano yaendelee kesho mpaka kueleweke
Na kila msaliti yeyote atakaye kula pesa umma kwa kuhongwa hazitapike au aende CCM tujue kwamba sio mwenzetu.
Watu wetu washakufa eti tuendelee kusubiri tarehe 25.
Kesho tukutane mnazi mmoja uelekeo Ikulu
Mange Kama umekula pesa za walipa Kodi utazitapika acha utapeli.
Analeta story za maandamano tarehe 25 yaani siku ya Christmas?
Serious? Yaani watu waache kusherekea sikukuu za mwisho wa mwaka wafungiwe Tena ndani?
Hapana me nakataa maandamano yaendelee kesho mpaka kueleweke
Na kila msaliti yeyote atakaye kula pesa umma kwa kuhongwa hazitapike au aende CCM tujue kwamba sio mwenzetu.
Watu wetu washakufa eti tuendelee kusubiri tarehe 25.
Kesho tukutane mnazi mmoja uelekeo Ikulu
Mange Kama umekula pesa za walipa Kodi utazitapika acha utapeli.