Mr. Wise
JF-Expert Member
- Jul 23, 2012
- 7,721
- 6,441
Wana JF naomba kujua hili,...Kuna jamaa yangu wa karibu tulipokua mwaka wa kwanza chuo kuna binti alimfungua na kumuingiza ukubwani nadhani nimesomeka,tulipofika mwaka wa tatu akawa na mwingine wa form 5, naye alikua bado jamaa akawa mfunguzi tena, jamaa anadai alikua akikereka maana haikua kazi rahisi katika tendo zima kwa wote wawili.
Mwingine ilikua tabu hadi alimparua sana jamaa na kucha kifuani,huyu wa form 5,i libidi zitumike siku mbili na vilevile jamaa wakati wa tukio hadi aling'atwa kidole cha mkono, baadaye wote walizoea akawa akiendelea na kujilia vyake baada ya kukaa nao kwa muda tofauti maana baada ya yule aliyekua nae mwaka wa1,
Alipomuacha akampata huyu wa mwaka wa tatu....wote hakufika nao mbali aliwaacha,jamaa kwa sasa anafanya kazi ofisi X hapa Dar es Salaam, SASA CHA AJABU WALE MABINTI SIKU ZOTE HAWAISHI KUMTAFUTA KWENYE SIMU,amebadili laini lakini bado wanapata hata namba mpya atakayoipata,
Kila mtu kivyakevyake maana hawafahamiani(hao mabinti)..KILA MMOJA HUSEMA HATAMSAHAU MILELE,nakutaka kama hana mtu warudi kwake,lakini jamaa ana mtu na ameshawahi waambia wote ila bado wasumbufu kila iitwapo leo,msg kwa wingi,mara naomba turudiane,Nikisikia umeoa nitaumia sana etc...Sasa wana JF,wana Saikolojia na wadada hivi Mabikra wote mko hivi???????????
Mwingine ilikua tabu hadi alimparua sana jamaa na kucha kifuani,huyu wa form 5,i libidi zitumike siku mbili na vilevile jamaa wakati wa tukio hadi aling'atwa kidole cha mkono, baadaye wote walizoea akawa akiendelea na kujilia vyake baada ya kukaa nao kwa muda tofauti maana baada ya yule aliyekua nae mwaka wa1,
Alipomuacha akampata huyu wa mwaka wa tatu....wote hakufika nao mbali aliwaacha,jamaa kwa sasa anafanya kazi ofisi X hapa Dar es Salaam, SASA CHA AJABU WALE MABINTI SIKU ZOTE HAWAISHI KUMTAFUTA KWENYE SIMU,amebadili laini lakini bado wanapata hata namba mpya atakayoipata,
Kila mtu kivyakevyake maana hawafahamiani(hao mabinti)..KILA MMOJA HUSEMA HATAMSAHAU MILELE,nakutaka kama hana mtu warudi kwake,lakini jamaa ana mtu na ameshawahi waambia wote ila bado wasumbufu kila iitwapo leo,msg kwa wingi,mara naomba turudiane,Nikisikia umeoa nitaumia sana etc...Sasa wana JF,wana Saikolojia na wadada hivi Mabikra wote mko hivi???????????