Wewe ni domo zege tu, hamna lolote mdogo wangu! ila kama ni kweli jitunze hivyo hivyo utampata demu bikira na utafurahia maisha kama mm, unanipata?
Hao wana pepo tu la ngono...kwani ni wao tu ndo waliwahi kutolewa bikra. Kila mwanamke alishawahi kuwa bikra maishani na bado tumetulia hatutafuti hao waliotuingiza mjini.
Mh!ya kweli hayo
sile sledi nisizozipenda hizi hapa tena
Teh teh....me nlimuacha alienibikir na wala cmkumbuk kiGame labda pesa ingawa yy anajipa moyo kuwa ipo cku ntarudi!
Anajishebedua nn tena?Mapenz ndugu yngu,na nyie mnaojfanya wajanja mnanasaga tundu bovuHuyo jamaa yako anajishebedua tu....
Mi hata ckumsumbua aliyenitoa..........teh
mhhhh....na unamkumbuka kwa furaha
au basi tu?lol