Je Mabikra wote mko Hivi

mmmh ivi bikira bado zipo? mi najua zilishapotea mana watoto wa siku hizi....
 
asante Malema, kumbe wanaume hakuna bikira ila wanaitwa domo density=mass per volume! Nitajitunza bro
Wewe ni domo zege tu, hamna lolote mdogo wangu! ila kama ni kweli jitunze hivyo hivyo utampata demu bikira na utafurahia maisha kama mm, unanipata?
 
Teh teh....me nlimuacha alienibikir na wala cmkumbuk kiGame labda pesa ingawa yy anajipa moyo kuwa ipo cku ntarudi!
 
Teh teh....me nlimuacha alienibikir na wala cmkumbuk kiGame labda pesa ingawa yy anajipa moyo kuwa ipo cku ntarudi!

labda ulikutana na siyejua...wengi huwa wanaandika diary zao kwamba fulani......
 
Back
Top Bottom