Je Loliondo ni nchi ya Waarabu ndani ya nchi ya Tanzania?

Ningekuwa na nafasi wezi wengi wangetapika kodi za watanzania
Kuanzia Richmond, IPTL, KAGODA, DOWANS, LOLIONDO GATES and the likes.
 
kuna kashfa iliitwa Loliondogate enzi za utawala wa Ruksa waziri wa utalii Mngumia alilazimika kujiuzulu. Hiyo kashfa ilivuma sana magazetini. Magazeti ya wakati huo yalikuwa moto wa kuotea mbali kumbukeni mwandishi wa gazeti la Mfanyakazi, Stan Katabalo.
 
kuna kashfa iliitwa Loliondogate enzi za utawala wa Ruksa waziri wa utalii Mngumia alilazimika kujiuzulu. Hiyo kashfa ilivuma sana magazetini. Magazeti ya wakati huo yalikuwa moto wa kuotea mbali kumbukeni mwandishi wa gazeti la Mfanyakazi, Stan Katabalo.
Alale salama Stan Katabalo.
 
Hivi hakuna uwezokano wa kuvunja mkataba huo fedheha kwa nchi yetu waarabu hao waondoke Loliondo? Haiwezekani wakaanzisha nchi yao ndani ya nchi yetu kama Lesotho ndani ya Afrika kusini?
 
kuna kashfa iliitwa Loliondogate enzi za utawala wa Ruksa waziri wa utalii Mngumia alilazimika kujiuzulu. Hiyo kashfa ilivuma sana magazetini. Magazeti ya wakati huo yalikuwa moto wa kuotea mbali kumbukeni mwandishi wa gazeti la Mfanyakazi, Stan Katabalo.
Stan Katabalo alikufa na UKIMWI alikuwa mwandishi wa gazeti la Mfanyakazi.
 
atokee kiongozi mzalendo hasa wa nchi yetu avunje mikataba yote ya aibu nchi iliyoingizwa
shida ni kwamba kwa karne anatokea mmoja.
Tukiwa na system ya maana naamini tutafika huko lakini sio kwa hawa viongozi tulionao sasa.
 
Story za vijiwen sio za kuleta humu humu kuna wengine tuna elimu na uwezo mkubwa ss ukileta story za vijiwen mnapokaa nyie mnakuwa mnatukosea sn sie wengine
 
Story za vijiwen sio za kuleta humu humu kuna wengine tuna elimu na uwezo mkubwa ss ukileta story za vijiwen mnapokaa nyie mnakuwa mnatukosea sn sie wengine
Sasa mkereketwa wa nazi, kuandika tuu kiswahili fasaha huwezi mambo mengine utaelewa kweli?
Unamjua Stan Katabalo na swala la loliondo gates?
Jamiiforum yenyewe ni kijiwe, sasa kama hutaki hizi mada unafanya nini humu?
 
Back
Top Bottom