Je Loliondo ni nchi ya Waarabu ndani ya nchi ya Tanzania?

Smith Rowe

JF-Expert Member
Sep 18, 2018
3,595
6,160
Mzuka?

Katika mabishano ya hapa na pale kuna mshkaji akawa ananiambia Loliondo ilishanunuliwa na waarabu na hata ukiingia kwenye eneo wanaolimiliki mtandao unasoma nchi ya UAE.

Kama haitoshi anasema mara ya mwisho kuwa huko kila akitoka nje ya Loliondo siku akirudi anatumiwa message na zain(kipindi icho) karibu nchi ya mwarabu ndani ya Tanzania.

Hii ni kweli?
 
Mzuka?

Katika mabishano ya hapa na pale kuna mshkaji akawa ananiambia Loliondo ilishanunuliwa na waarabu na hata ukiingia kwenye eneo wanaolimiliki mtandao unasoma nchi ya UAE.
kama haitoshi anasema mara ya mwisho kuwa huko kila akitoka nje ya loliondo siku akirudi anatumiwa message na zain(kipindi icho) karibu nchi ya mwarabu ndani ya Tanzania.

Hii ni kweli?
Mwinyi
 
Loliondo mbona tangu zamani hiyo ni ya UAE?
Ukiingia mtandao unasoma Etisalat
Ilikuwa awamu ya 4 nafikiri
 
Muwe mna search mada zenu Kabla ya kuzipandisha JF. Mnajaza servers bure tu
 
Back
Top Bottom