GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,851
- 109,552
Tafadhali mwenye ile Video ya Yule Kiongozi wa Matawi Yanga SC Mkoa wa Dar es Salaam na Yule Kiongozi wa Wazee wa Yanga SC aniwekee hapa ili niwatizame vizuri kwa Jicho langu Kali la Kisaikolojia ili nijue kama wanastahili kuwahi Matibabu yao ya haraka Hospitali za 'Vichaa' Milembe Mkoani Dodoma au Lutindi Mkoani Tanga au hata pale Jirani na Klabu yao Muhimbili National Hospital au pengine ni Wazima tu na walikuwa na Hoja ya Msingi.