Manara njia panda Matawi ya Yanga yanaposhinikiza kususia bidhaa na kuvunja mkataba wa Azam

Lupweko

JF-Expert Member
Mar 26, 2009
20,715
20,472
Kitendo cha viongozi wa matawi ya Yanga kuleta hoja ya kuvunja mkataba na Azam sambamba na kususia bidhaa za Azam kinamuweka njia panda aliyewahi kuwa msemaji wa klabu hiyo, Haji Manara maana yeye binafsi ni balozi wa bidhaa za Azam.

Kitendo hicho kinamfanya alazimike kufanya chaguo mojawapo kati ya mawili; either aungane na viongozi wa matawi kususia bidhaa na kuvunja mkataba kwa yeye kuacha kuwa balozi au apingane na msimamo wa viongozi hao ili aendelee kuwa balozi

Ikumbukwe kuwa jambo mojawapo lililomuondoa Simba ni kutangaza bidhaa za mpinzani wa bidhaa za tajiri anayemlipa
 
Juzi niliwaambia watu kuwa jina la "mbumbumbu" lipo Simba kimakosa mkanibishia

Hili niliwahi kulileta humu kama tetesi na mashabiki wa Yanga wengi walinijia juu kuwa hizo habari sio za kweli zimeundwa na wapinzani wao (Simba) kuwatoa kwenye mstari.

Sasa leo nimeshangaa kuona wazee wa Yanga wanaishinikiza Club yao ivunje Mkataba na Azam Tv eti kisa Feisal
1672241436500.png


Ebu fikiria mwenyewe hapo hao ni wazee ambao jamii zetu zimewapa dhamana kubwa kimaamuzi kwakuwa ni watu ambao huamua mambo kwa busara.

Busara hapo iko wapi?

Kama nchi tunapaswa tuondokane na mfumo huo wa kuwapa vipaumbele wazee kwenye taasisi kubwa kwa kigezo cha uzee, tufike mahala tuweke watu sahihi kuzingatia expertism and professionalism.
 
Atakuwa analia na kusaga meno wazee wa uto wanamwaga mboga
 
Back
Top Bottom