usalama wa taifa my a $$Hivi usalama wa taifa wapo kweli! na kama wapo basi nashangaa kwanini mbaka dakika hii huyu hajakamatwa na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria na kuthibitisha hiki anachokisema.
usalama wa taifa my a $$Hivi usalama wa taifa wapo kweli! na kama wapo basi nashangaa kwanini mbaka dakika hii huyu hajakamatwa na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria na kuthibitisha hiki anachokisema.
Natumai hamjambo wadau wa siasa na wazalendo halisi wa nchi Hii.Nimekuwa nikifuatilia siasa za nchi hii tangu nikiwa chuo kikuu miaka michache iliyopita,hususani siasa za ccm,cuf,chadema,na nccr mageuzi.Moja ya mambo yanayonipa wakati mgumu,ni ubishi uliopindukia kwa viongozi,na wafuasi wa chadema dhidi ya vyama vingine!Sijawahi kuona CDM wakikubali makosa,au kuteleza hata ile kibinadamu,mifano hii hapa,CHADEMA wamechangisha wafuasi na wahisani ili kuwezesha M4C,hela wamekula,ila ukiwauliza wanakataa,ziko wapi?Wamekuwa wakifanya mihadhara hata wakizuiwa,ila wao wanalazimisha na kuwacost wengine.Report ya jukwaa la wahariri,ambalo si la chama,limewatuhumu kumtesa kibanda,wao wanakataa,na ni vinara wa kuomba tume huru kila mahali,sijui wanatakaje.Lwakatare kashutumiwa ugaidi,lawama kwa Nchemba.Lema jambazi,No!Dr.Slaa kakopa hela nyingi,hapana!Bomu la arusha wamekana!Ila kila wanachosema wao,ndio ukweli,Sasa ninyi ni watu gani msiofanya makosa?ni wakamilifu kiasi?Au chama chenu kimetoka MBINGUNI!?
mkuu Candid Scope hebu njoo unisaidie kunieleweshe kidogo hapa unapokutana na mtu kama huyu utamjibu vipi au utatumia soft language ipi kumjibu,
Natumai hamjambo wadau wa siasa na wazalendo halisi wa nchi Hii.Nimekuwa nikifuatilia siasa za nchi hii tangu nikiwa chuo kikuu miaka michache iliyopita,hususani siasa za ccm,cuf,chadema,na nccr mageuzi.Moja ya mambo yanayonipa wakati mgumu,ni ubishi uliopindukia kwa viongozi,na wafuasi wa chadema dhidi ya vyama vingine!Sijawahi kuona CDM wakikubali makosa,au kuteleza hata ile kibinadamu,mifano hii hapa,CHADEMA wamechangisha wafuasi na wahisani ili kuwezesha M4C,hela wamekula,ila ukiwauliza wanakataa,ziko wapi?Wamekuwa wakifanya mihadhara hata wakizuiwa,ila wao wanalazimisha na kuwacost wengine.Report ya jukwaa la wahariri,ambalo si la chama,limewatuhumu kumtesa kibanda,wao wanakataa,na ni vinara wa kuomba tume huru kila mahali,sijui wanatakaje.Lwakatare kashutumiwa ugaidi,lawama kwa Nchemba.Lema jambazi,No!Dr.Slaa kakopa hela nyingi,hapana!Bomu la arusha wamekana!Ila kila wanachosema wao,ndio ukweli,Sasa ninyi ni watu gani msiofanya makosa?ni wakamilifu kiasi?Au chama chenu kimetoka MBINGUNI!?
Hebu jaribu kuwa uliza walio muua Mwangosi kama watakubali?Natumai hamjambo wadau wa siasa na wazalendo halisi wa nchi Hii.Nimekuwa nikifuatilia siasa za nchi hii tangu nikiwa chuo kikuu miaka michache iliyopita,hususani siasa za ccm,cuf,chadema,na nccr mageuzi.Moja ya mambo yanayonipa wakati mgumu,ni ubishi uliopindukia kwa viongozi,na wafuasi wa chadema dhidi ya vyama vingine!Sijawahi kuona CDM wakikubali makosa,au kuteleza hata ile kibinadamu,mifano hii hapa,CHADEMA wamechangisha wafuasi na wahisani ili kuwezesha M4C,hela wamekula,ila ukiwauliza wanakataa,ziko wapi?Wamekuwa wakifanya mihadhara hata wakizuiwa,ila wao wanalazimisha na kuwacost wengine.Report ya jukwaa la wahariri,ambalo si la chama,limewatuhumu kumtesa kibanda,wao wanakataa,na ni vinara wa kuomba tume huru kila mahali,sijui wanatakaje.Lwakatare kashutumiwa ugaidi,lawama kwa Nchemba.Lema jambazi,No!Dr.Slaa kakopa hela nyingi,hapana!Bomu la arusha wamekana!Ila kila wanachosema wao,ndio ukweli,Sasa ninyi ni watu gani msiofanya makosa?ni wakamilifu kiasi?Au chama chenu kimetoka MBINGUNI!?
Wewe ndiye mwenye mawazo mgango, hujui tabia ya binadamu alivyo. hapa hakuna cha CCM wala CHADEMA, wanachohitaji watu ni mabadiliko tu, hata kama yataletwe na mtu binafsi, ili mradi tu mfumo uliopo upumzike kwa muda, naomba urejee nyuma kidogo, kuanzia G55, Tume ya Jaji Nyalali, Tume ya Jaji kisanga pamoja na hii ya Jaji Joseph warioba, kuna jambo ambalo mamlaka zimewahi kulizima kwa nguvu lakini kila wakati linajirudia, tusipoangalia vizuri litatuletea madhara makubwa.Tuache mawazo mgando ya kurefer matukio yenye sura na mazingira tofauti na sisi. Kila nchi ina namna ya utawala wake tofauti na nyingine.
Chama sio viongozi pekee.
Chama ni sisi Watanzania tunaochukia ufisadi, ujangili, ubinafsi, madawa ya kulevya nk
Hii kauli huwa wanaitumia sana lakini sijawahi kuona wala kusikia kwenye mikusanyiko yenu hata mikutano yenu ya ndani mmefungua ama kufunga kwa ibada. Huwa mnaanza kwa matusi, mnaendelea kwa matusi, mnafunga kwa matusi. Ni mungu yupi mnaemtaja? CHAMA KIMEJAA WAOVU WANAOVUNJA AMRI ZOTE 10 ZA MUNGU HADI KUCHUKUA WAKE ZA WATU! HALAFU MNASEMA NI MPANGO WATMUNGU! TUAMBIENI NI MUNGU YUPI?
Mbona unatokwa na mapovu bure? Au kwa vile umechokonolewa?kaa muhulize mama yako akiwa analala anaomba akikujibu ndo jibu la swali lako
Mikutano Mingi hasa inayoongozwa na Sugu, Slaa na MboweWewe ulienda kwenye mkutano gani wa CHADEMA ukasikia matusi, au umesimuliwa? kama umesimuliwa changanya na akili zako!
Hii kauli huwa wanaitumia sana lakini sijawahi kuona wala kusikia kwenye mikusanyiko yenu hata mikutano yenu ya ndani mmefungua ama kufunga kwa ibada. Huwa mnaanza kwa matusi, mnaendelea kwa matusi, mnafunga kwa matusi. Ni mungu yupi mnaemtaja? CHAMA KIMEJAA WAOVU WANAOVUNJA AMRI ZOTE 10 ZA MUNGU HADI KUCHUKUA WAKE ZA WATU! HALAFU MNASEMA NI MPANGO WATMUNGU! TUAMBIENI NI MUNGU YUPI?
Mikutano Mingi hasa inayoongozwa na Sugu, Slaa na Mbowe
KUMBUKA Siasa na Dini ni vitu viwili MBALIMBALI... havitakiwa kuwa PAMOJA...
Kwanini unataka DINI na SIASA ziwe pamoja ??? Nchi yenye Demokrasia ya kweli inatenganisha Masuala hayo
Labda kama wewe Unapenda kuishi IRAN au SAUD ARABIA...
Mkuu, kwa mujibu wa sheria za JF, anayequote tusi ndo mtukanajikwa hiyo hiyo mikurano Mbowe alikuwa anatukana? matusi gani?
kwa hiyo hiyo mikurano Mbowe alikuwa anatukana? matusi gani?