Je, kweli CHADEMA ni mpango wa Mungu?

Je, kweli CHADEMA ni mpango wa Mungu?

Cdm ni mpango wa mungu ccm mpango wa shetani ndio maana mamlaka ya hali ya hewa wameuwa watu juzi wasiokuwa na hatia walipa kodi na dhamana ya kutoa tarifa
Ni yao kwa kodi zetu na uhai wetu.
 
KUMBUKA Siasa na Dini ni vitu viwili MBALIMBALI... havitakiwa kuwa PAMOJA...

Kwanini unataka DINI na SIASA ziwe pamoja ??? Nchi yenye Demokrasia ya kweli inatenganisha Masuala hayo

Labda kama wewe Unapenda kuishi IRAN au SAUD ARABIA...
Kwa hiyo ruwaeleweje hawa MACHADEMA wanaosema kuwa chama chao ni mpango wa Mungu?
 
Hii kauli huwa wanaitumia sana lakini sijawahi kuona wala kusikia kwenye mikusanyiko yenu hata mikutano yenu ya ndani mmefungua ama kufunga kwa ibada. Huwa mnaanza kwa matusi, mnaendelea kwa matusi, mnafunga kwa matusi. Ni mungu yupi mnaemtaja? CHAMA KIMEJAA WAOVU WANAOVUNJA AMRI ZOTE 10 ZA MUNGU HADI KUCHUKUA WAKE ZA WATU! HALAFU MNASEMA NI MPANGO WATMUNGU! TUAMBIENI NI MUNGU YUPI?

Hilo nalo neno
 
kwahiyo CHADEMA MPANGO WA MUNGU MAANA yake ni nini? Au ni mungu yupi mwamaanisha?

R U Serious ??? MUNGU wako Wangapi ?? Dini zooote pamoja na kuabudu kitofauti wooote wanafuata ili kumuabudu MWENYEZI MUNGU...

Kwahiyo wewe Unaipigia kura CCM kwasababu haisemu chochote kuhusu MIPANGO ya MUNGU ???
 
Cdm ni mpango wa mungu ccm mpango wa shetani ndio maana mamlaka ya hali ya hewa wameuwa watu juzi wasiokuwa na hatia walipa kodi na dhamana ya kutoa tarifa
Ni yao kwa kodi zetu na uhai wetu.
Mmmmmmh. Jukwaa hili basi tena.
 
Mkuu, kwa mujibu wa sheria za JF, anayequote tusi ndo mtukanaji

dhamili zenu haziwahukumu kwa kuandika uongo kabisaa! Thaz ot politics, kama mmefundishwa hivyo no doubt you belong to the hell!
 
R U Serious ??? MUNGU wako Wangapi ?? Dini zooote pamoja na kuabudu kitofauti wooote wanafuata ili kumuabudu MWENYEZI MUNGU...

Kwahiyo wewe Unaipigia kura CCM kwasababu haisemu chochote kuhusu MIPANGO ya MUNGU ???

Mpango wa MUNGU kwa sababu, kimejaa Mapdre na wachungaji?
 
R U Serious ??? MUNGU wako Wangapi ?? Dini zooote pamoja na kuabudu kitofauti wooote wanafuata ili kumuabudu MWENYEZI MUNGU...

Kwahiyo wewe Unaipigia kura CCM kwasababu haisemu chochote kuhusu MIPANGO ya MUNGU ???
Bandiko lako namba 9 uliandika cizuri. Ila hapa umechemsha kabisaaaaa!
 
r u serious ??? Mungu wako wangapi ?? Dini zooote pamoja na kuabudu kitofauti wooote wanafuata ili kumuabudu mwenyezi mungu...

Kwahiyo wewe unaipigia kura ccm kwasababu haisemu chochote kuhusu mipango ya mungu ???

ok, unazijua amri 10 za mungu! Ni ipi haivunjwi na chadema hasa viongozi wenu? Mwenyezi mungu hachezewi wala hataniwi kama mnavyofanya! Hiyo ni sawa na dhihaka.
 
Ni Siasa ni SawaSawa na CCM wanaposema ndicho chama pekee kinacho jali Wakulima VIJIJINI

Siyo uongo, CCM ndicho chama tawala na manufaa yote wanayopata wakulima ni kutokana na sera za CCM.
 
Tehetehetehe. Tena baadhi ya mapadre wao ni wazinifu wa kutupwa

Kama aliondoka Upadre kwa kufuata SHERIA inakuwaje awe MZINIFU? Mbona Malecela ana Mke wa tatu? Nape watoto 2 Mama tofauti ???

Kinachotakiwa ni kuanza kuwacharge hao wanaume CHILD SUPPORT; Utaona ni wangapi wa CCM watakokimbia NCHI
 
Hii kauli huwa wanaitumia sana lakini sijawahi kuona wala kusikia kwenye mikusanyiko yenu hata mikutano yenu ya ndani mmefungua ama kufunga kwa ibada. Huwa mnaanza kwa matusi, mnaendelea kwa matusi, mnafunga kwa matusi. Ni mungu yupi mnaemtaja? CHAMA KIMEJAA WAOVU WANAOVUNJA AMRI ZOTE 10 ZA MUNGU HADI KUCHUKUA WAKE ZA WATU! HALAFU MNASEMA NI MPANGO WATMUNGU! TUAMBIENI NI MUNGU YUPI?

huu ni uongo uliopitiliza una hakika hawaombi au unaleta stori za vijiweni huku st. kayumba tabu
 
wametajwa SLAA, SUGU na MBOWE, mbona wahoji matusi ya MBOWE, weengine umekubali wanatukana?

okay, Dr.Slaa na Sugu walitukana mkutano gani? Kwa record watu walotukana mikutanoni wanajurikana!
 
Back
Top Bottom