Je, kweli CHADEMA ni mpango wa Mungu?

Je, kweli CHADEMA ni mpango wa Mungu?

CHADEMA NI MPANGO WA MUNGU? Hivi Mungu anapanga mema pekee kwa wanadamu au hata mabaya ili waweze kujifunza na kuacha kutenda dhambi? Ile gharika iliyopelekea NUhu kujenga Safina ili kuviokoa viumbe wa Mungu siku ya mwisho si ulikuwa ni mpango wa Mungu? SODOMA na GOMORA si ulikuwa ni mpango wa Mungu? KUPINDULIWA KWA HUSSEIN MUBARACK na kuwekwa MORSI kule MISRI ulikuwa mpango wa mungu?

Wanaosema CHADEMA ni Mpango wa Mungu wako sahihi kabisa kwa vile mpango wa Mungu unakuwa na maana nyingi sana kwa viumbe wake. Binafsi kwa mtazamo wangu CHADEMA ni Mpango wa Mungu ili Watanzania waone, wajifunze na kuchukua tahadhari kubwa katika mfumo wa vyama vyingi ambao kwa kiukweli kama siyo busara za baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere pengine hivi leo tusingekuwa na vyama vingi hapa nchini.

Mimi ni mfuasi wa vyama vyote vya siasa nchini kwa vile ni haki yangu ya msingi kikatiba lakini ninao uhuru wa kusema chama hiki hakijanifurahisha, na nianze bila kumumunya maneno kuwa yawezekana kabisa CHADEMA ni chama cha siasa lakini wafuasi wake na hasa viongozi wake siyo wanasiasa wa kweli na hapo ndipo mojawapo ya tafsiri ya neno MPANGO WA MUNGU hujidhihirisha kama ilivyokuwa mpango wa Mungu wa kuwapa wanadamu wa kizazi cha NUHU dalili za nini kitatokea pale alipomwamuru NUHU kujenga SAFINA.

Tabia za viongozi wa CHADEMA hasa Dr, SLAA, LEMA ni za hatari sana kwa mstakabali wa Taifa hili ambalo Amani ni tunu kwalo. Husda , wivu, chuki binafsi, uroho wa Madaraka, uchonganishi unaofanywa na viongozi hawa kuichonganisha serikali na wananchi wake ni dhambi ambayo haiwezi kuwa na mwisho, ni sawa na kula NYAMA ya MTU. Kitendo cha watu kuandaa mipango ya ulipuaji wa mabomu eti kwa sababu tu wanataka kukidhoofisha chama tawala na serikali kwa ujumla ni kitu cha kawaida hicho, hakika huu ni MPANGO wa Mungu kwa CHADEMA ila watanzania bado tumelala hatujaling'amua hili. Tujifunze kutoka MISRI ambapo naweza kumfananisha MURSI na SLAA. Tazameni CHADEMA walivyopanda majukwaani haraka sana pindi haya matukio yalipotokea hata kabla wale waliofariki kutokana na mikutano ya kupumzizwa makao yao ya milele, Kifo cha MWANGOSI, kifo cha yule kiajna wa Iringa, mgomo wa wanachuo kule Arusha, milipuko miwili ya Mabomu kule Arusha. Kwa nini majukwaani kuomba huruma ya wananchi hata kabla marehemu hawajazikwa? hapana jamani binafsi sina imani tena na hiki chama.

TUKUMBUKE KUWA MPANGO WA MUNGU UNAWEZA KUWA NA MAANA NYINGI KWA BINADAMU, NEEMA AMA GHARIKA kwa wale watakaofanya mzaha.
We mburula naona leo uko zam."UNGEKUWA UNAMJUA MUNGU USINGEANDIKA HAYA NA WALA USINGEKUA MTETEZI WA SERIKALI ILIYOTAMKA BUNGENI YA KWAMBA IMECHOKA NA LIWALO NA LIWE IKIHALALISHA MAUAJI.aibu kwako kwa kufikiria tumbo lako badala ya taifa lako liangamialo kwa kasi.
 
Mmmh kweli nchi ikishikwa na cdm tumeisha wafuasi wao ndiyo hawa hata hawataki kukosolewa. Mungu tuepusha chadema ni janga la Taifa.
 
wa kuja unakuja kichwa kichwa husomi hata mchezo? Au we ni juliana shonza? Utafungiwa tena!! Shauri yako na matusi yako.
 
Mi nashauri 2015 watu wapigie kura majumbani mwao maana ukiwa sio chadema unachezea kichapo la sivyo unatakiwa uonyeshe ¥ p power .SIASA gani za kulazmishana kwani vyama ni viwili tu nchi hii.
 
Mmmh ukiwa shimoni hauwezi kuona nje kama chadema wanahusika na matukio ya mauji mbona kesi zote wameshinda Sisi wananchi tunajua ccm ndo hawataki kukosolewa ndo mana wanavifungia vyombo vya habari na kuwateka waandishi habari
 
Adrian Moller

Nasikitikatika umeweka mbele upenzi na kuweka ufaham wako mfukoni.




Mkuu usinifanye niamini kwamba elimu yetu sasa imeshuka kiasi hiki.

a) Unaongea kwa kutumia elimu yako ya chuo kikuu? kama ndiyo ufahamu wako katika kuchanganua mambo umeishia hapa Taifa lipo katika hatari kubwa.

b) Unaongea kwa ushabiki? kama ndiyo basi hufai maana ushabiki mara nyingi huishia kwenye utetezi wa kitapeli na uwongo na hapa utakuwa umehifadhi akili zako mfukoni nakujifanya hamnazo.




kwa kutumia elimu yako ya chuo kikuu, hebu tufanyie uungwana nikatika lipi chadema wameteleza na walipaswa kuomba msamaha kwa uma? katika majibu yako hakikisha unabalace kwa kila kosa utaloliweka la chadema ccm wamefanikiwa vipi (Note, chadema hawamiliki dola wala kukusanya kodi-Zingantia katika mjadala wako)




Je wewe ni mmoja wa wanamipango ndani ya chadema?

Ilkuweka shauli lako vizuri weka mchanganuo wa mapato ya chadema yote na ya ya ccm yote kuanzia misaasada na ruzuku kama vyama vya siasa. Changanua mipango na matumizi kwa kila chama ilituamini kutoka uchanuzi wako kwamba CCM ni bora katika makusanyo na matumizi dhidi ya chadema.




Siku ya tukio la kifo cha mwangosi wakati chadema wanafanya mikutano yao iringa, CCM walikuwa na mkutano mkubwa sana zanzibar chini ya Ghalib Bilal. Mikutano ya chadema ilizuwiwa kwa kisingizio cha sensa.

a) Kwanini chadema walizuiwa na ccm wakaendelea jadili kama msomi tukio hili kwa uwiano wa haki kwa kila chama

b) Je kulikuwa na tishio lolote kiasi kwamba unadhani ilikuwa lazima chadema kuzuwia mikutano yao, jadili......





hapa ndipo unaponihuzunisha na kunitia aibu kwamba msomi wa chuo kikuu

a) kwa mauwaji ya mwangosi tishio ilikuwa nini na nani aliuwa?

b) Kwa tukio la bom juzi arusha, wakaazi wa arusha waliadhibiwa kwa tishio gani hasa? nani alikuwa muwaji?

c) Je ni haki na halali kuwazuia watu kuaga marehemu? nakunakifungu gani cha katiba kwamba mtanzania-mwanasiasa, mkulima, masaani nk akifa tunatakiwa kuwa na kibali cha mkusaanayiko?




a) Report ya jukwa la siasa imejitoshereza? kama ndiyo kwanini hawaendi mahakamani? umewahi kujiuliza hili swali?

b) Wanaomba tume huru iundwe nani (JM Kikwete) umeshawahi jiuliza kwanini kikwete anakwepa kuunda tume huru?

c) Lwakatale hana kesi ya ugaidi ni mbumbumbu wa elimu kama wewe mnaotuchafulia sifa ya vyuo vyetu vikuu kwa uelewa wa ovyo kama kwa chagonja.

d) Nchemba anashutumiwa na kutuhumiwa kwasababu ndiye source ya kila jambo kuhusiana na hiyo video uchwara, Je umejiuliza kwanini Polisi wanamzunguuka wala hawamhoji?

e) wewe wasema Lema jambazi lakini, umeshawahi kulipoti polisi na kuwapa ushahidi au ni ujinga wa fikra msomi
wangu?




a) Neno kukopa linamaanisha amepewa kihalali (usomi wako wa ovyo kwelikweli) amefuata taratibu kapewa tatizo lako ni umbeya na kukubali kutumika kumchafua huyu Dr.




Huu ndiyo naita ujinga, kama unaushahidi peleka polisi kuna million 100. Huoni unajiaibisha kujiita msomi wa chuo kikuu?




Hakuna aliye mkamilifu ila mungu mwenyewe, kwetu wanadamu kinachoangaliwa ni ukubwa wa makosa, mara ngapi, kwanini na kivipi tukilinganisha na pande zingine zenye mwelekeo na malengo yanayofanana. Makosa yaliyo/yaanayofanywa na ccm ni makubwa na yanatisha hivyo kufanya vijimakosa vidogovidogo kwa vyama vingine kuwa negligible/ insignificant.

Kaka hongera kwa kumpa elimu kijana. Unaweza kusoma mpaka uprofesa lakini usielimike ndo huyo mwehu.
 
Last edited by a moderator:
Hivi mbingunini juu au chini y ardhi?

Hakuna aliyefika wote tunadanganywa wewe ponda raha tuyache haya ya Vyama vya siasa kwani wote ni wachumia tumbo, na wakikutana wanabadilishana maneno kwa uma na glass sisi tunapigana, eti mwisho tutaenda peponi ni wapi huko?
Sayari yetu na zote zilizobaki ni Duara sasa popote unapoeleke kusimama ujue upande wa pili wa mduara wako chini
hata mm nauliza MBINGUNI NI WAPI? ndio nitaamini CHADEMA kimetoka kwa MUNGU
 
Natumai hamjambo wadau wa siasa na wazalendo halisi wa nchi Hii.Nimekuwa nikifuatilia siasa za nchi hii tangu nikiwa chuo kikuu miaka michache iliyopita,hususani siasa za ccm,cuf,chadema,na nccr mageuzi.Moja ya mambo yanayonipa wakati mgumu,ni ubishi uliopindukia kwa viongozi,na wafuasi wa chadema dhidi ya vyama vingine!Sijawahi kuona CDM wakikubali makosa,au kuteleza hata ile kibinadamu,mifano hii hapa,CHADEMA wamechangisha wafuasi na wahisani ili kuwezesha M4C,hela wamekula,ila ukiwauliza wanakataa,ziko wapi?Wamekuwa wakifanya mihadhara hata wakizuiwa,ila wao wanalazimisha na kuwacost wengine.Report ya jukwaa la wahariri,ambalo si la chama,limewatuhumu kumtesa kibanda,wao wanakataa,na ni vinara wa kuomba tume huru kila mahali,sijui wanatakaje.Lwakatare kashutumiwa ugaidi,lawama kwa Nchemba.Lema jambazi,No!Dr.Slaa kakopa hela nyingi,hapana!Bomu la arusha wamekana!Ila kila wanachosema wao,ndio ukweli,Sasa ninyi ni watu gani msiofanya makosa?ni wakamilifu kiasi?Au chama chenu kimetoka MBINGUNI!?
Tueleze CCM, wamekubali kitu gani, kama kweli we ni mfatiliaji wa siasa za tanzania, na kama kweli unaipenda tanzania na sio msukumo wa ushabiki
 
ukiona hivi ujue watu wameshachoka uongozi uliopo madarakani, hii ndio saikolojia ya binadamu, huwa anapenda mabadiliko hata kama sio kutoka kwenye kibaya kwenda kwenye kizuri. hata marekani huwa wanabadilisha vyama tawala kwa kila baada ya vipindi viwili, hata kama mgombea ni mzuri, Kenya walimkataa Uhuru Kenyata lakini baada ya vipindi viwili vya utawala kupita wamemkubali, Hata Libya wananchi waliunga mkono waasi kuiondoa madarakani serekali iliyokuwa inawajali wananchi wake kuliko serikali yoyote iliyowahi kuwepo ulimwenguni.
Ushauri wangu, ccm wangetafuta njia mwafaka ya kuondoka madarakani kabla madhara hayajatokea ili binadamu hawa waone umuhimu wao, naamini baada ya kipindi kimoja tu cha uongozi wengi wataanza kusema "bora CCM ingerudi madarakani". nadhani mtakumbuka baada ya uhuru wanafunzi wa UDSM (Mh S. Sita akiwa mmoja wao) waliandamana na kauli mbiu "HERI MKOLONI". Kwa wale wanaosoma Biblia wataona wana wa Israeli walipookolewa kutoka utumwani Misri walianza kutamani kurudi tena huko.

Tuache mawazo mgando ya kurefer matukio yenye sura na mazingira tofauti na sisi. Kila nchi ina namna ya utawala wake tofauti na nyingine.
 
Kwenye uwongo,uraghai,wizi & utapeli Mungu hujitenga ila shetani huchangamkia sana kwa sura ya kimungu.

Hii kauli Chadema wanayoitumia inabidi waibadilishe '' Tumeaza na Mungu na tutamaliza na Mungu'' kwani haina ukweli au kama ni kweli basi kuna walakini. :yell::kev:

:target: kumbe hiyo kauli ya tumeanza na Mungu na tutamaliza na Mungu inayaumiza kichwa maccm maana yamezoeya kwenda kwa waganga wa kienyeji. :target:
 
Natumai hamjambo wadau wa siasa na wazalendo halisi wa nchi Hii.Nimekuwa nikifuatilia siasa za nchi hii tangu nikiwa chuo kikuu miaka michache iliyopita,hususani siasa za ccm,cuf,chadema,na nccr mageuzi.Moja ya mambo yanayonipa wakati mgumu,ni ubishi uliopindukia kwa viongozi,na wafuasi wa chadema dhidi ya vyama vingine!Sijawahi kuona CDM wakikubali makosa,au kuteleza hata ile kibinadamu,mifano hii hapa,CHADEMA wamechangisha wafuasi na wahisani ili kuwezesha M4C,hela wamekula,ila ukiwauliza wanakataa,ziko wapi?Wamekuwa wakifanya mihadhara hata wakizuiwa,ila wao wanalazimisha na kuwacost wengine.Report ya jukwaa la wahariri,ambalo si la chama,limewatuhumu kumtesa kibanda,wao wanakataa,na ni vinara wa kuomba tume huru kila mahali,sijui wanatakaje.Lwakatare kashutumiwa ugaidi,lawama kwa Nchemba.Lema jambazi,No!Dr.Slaa kakopa hela nyingi,hapana!Bomu la arusha wamekana!Ila kila wanachosema wao,ndio ukweli,Sasa ninyi ni watu gani msiofanya makosa?ni wakamilifu kiasi?Au chama chenu kimetoka MBINGUNI!?

Kwani Moshi na Arusha ndo mbinguni?
 
Natumai hamjambo wadau wa siasa na wazalendo halisi wa nchi Hii.Nimekuwa nikifuatilia siasa za nchi hii tangu nikiwa chuo kikuu miaka michache iliyopita,hususani siasa za ccm,cuf,chadema,na nccr mageuzi.Moja ya mambo yanayonipa wakati mgumu,ni ubishi uliopindukia kwa viongozi,na wafuasi wa chadema dhidi ya vyama vingine!Sijawahi kuona CDM wakikubali makosa,au kuteleza hata ile kibinadamu,mifano hii hapa,CHADEMA wamechangisha wafuasi na wahisani ili kuwezesha M4C,hela wamekula,ila ukiwauliza wanakataa,ziko wapi?Wamekuwa wakifanya mihadhara hata wakizuiwa,ila wao wanalazimisha na kuwacost wengine.Report ya jukwaa la wahariri,ambalo si la chama,limewatuhumu kumtesa kibanda,wao wanakataa,na ni vinara wa kuomba tume huru kila mahali,sijui wanatakaje.Lwakatare kashutumiwa ugaidi,lawama kwa Nchemba.Lema jambazi,No!Dr.Slaa kakopa hela nyingi,hapana!Bomu la arusha wamekana!Ila kila wanachosema wao,ndio ukweli,Sasa ninyi ni watu gani msiofanya makosa?ni wakamilifu kiasi?Au chama chenu kimetoka MBINGUNI!?
Cdm ni chama cha siasa tena hakijashika dola, kama hawakufurahishi mbona ma vyama mengine yapo kibao hamia huko
 
Hivi usalama wa taifa wapo kweli! na kama wapo basi nashangaa kwanini mbaka dakika hii huyu hajakamatwa na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria na kuthibitisha hiki anachokisema.
Wamkamate mama yako..nyambafff wewe
 
Natumai hamjambo wadau wa siasa na wazalendo halisi wa nchi Hii.Nimekuwa nikifuatilia siasa za nchi hii tangu nikiwa chuo kikuu miaka michache iliyopita,hususani siasa za ccm,cuf,chadema,na nccr mageuzi.Moja ya mambo yanayonipa wakati mgumu,ni ubishi uliopindukia kwa viongozi,na wafuasi wa chadema dhidi ya vyama vingine!Sijawahi kuona CDM wakikubali makosa,au kuteleza hata ile kibinadamu,mifano hii hapa,CHADEMA wamechangisha wafuasi na wahisani ili kuwezesha M4C,hela wamekula,ila ukiwauliza wanakataa,ziko wapi?Wamekuwa wakifanya mihadhara hata wakizuiwa,ila wao wanalazimisha na kuwacost wengine.Report ya jukwaa la wahariri,ambalo si la chama,limewatuhumu kumtesa kibanda,wao wanakataa,na ni vinara wa kuomba tume huru kila mahali,sijui wanatakaje.Lwakatare kashutumiwa ugaidi,lawama kwa Nchemba.Lema jambazi,No!Dr.Slaa kakopa hela nyingi,hapana!Bomu la arusha wamekana!Ila kila wanachosema wao,ndio ukweli,Sasa ninyi ni watu gani msiofanya makosa?ni wakamilifu kiasi?Au chama chenu kimetoka MBINGUNI!?

Kama kweli we ni msomi basi utakuwa msomi MMPUMBAVU, pia utakuwa umepoteza,muda wako chuo bure bila kujitambua.

CCM waliporusha Bomu kwenye mkutano wa chadema wangekubali ningekuelewa
 
Natumai hamjambo wadau wa siasa na wazalendo halisi wa nchi Hii.Nimekuwa nikifuatilia siasa za nchi hii tangu nikiwa chuo kikuu miaka michache iliyopita,hususani siasa za ccm,cuf,chadema,na nccr mageuzi.Moja ya mambo yanayonipa wakati mgumu,ni ubishi uliopindukia kwa viongozi,na wafuasi wa chadema dhidi ya vyama vingine!Sijawahi kuona CDM wakikubali makosa,au kuteleza hata ile kibinadamu,mifano hii hapa,CHADEMA wamechangisha wafuasi na wahisani ili kuwezesha M4C,hela wamekula,ila ukiwauliza wanakataa,ziko wapi?Wamekuwa wakifanya mihadhara hata wakizuiwa,ila wao wanalazimisha na kuwacost wengine.Report ya jukwaa la wahariri,ambalo si la chama,limewatuhumu kumtesa kibanda,wao wanakataa,na ni vinara wa kuomba tume huru kila mahali,sijui wanatakaje.Lwakatare kashutumiwa ugaidi,lawama kwa Nchemba.Lema jambazi,No!Dr.Slaa kakopa hela nyingi,hapana!Bomu la arusha wamekana!Ila kila wanachosema wao,ndio ukweli,Sasa ninyi ni watu gani msiofanya makosa?ni wakamilifu kiasi?Au chama chenu kimetoka MBINGUNI!?

Bora hata usingejieleza kuwa umepitia Chuu Kikuu .Kama kweli umepitia Chuo Kikuu basi hesabu hakuna kilichoingia kichwani kwako kinyume na hapo nibaki kuamini umoja wale wa Lumumba na kwamba hii ni staili tu ya kuendeshea maisha hapa mujini na kila la heri kwa kazi hiyo.
 
Back
Top Bottom