Je, kweli CHADEMA ni mpango wa Mungu?

Je, kweli CHADEMA ni mpango wa Mungu?

KUMBUKA Siasa na Dini ni vitu viwili MBALIMBALI... havitakiwa kuwa PAMOJA...

Kwanini unataka DINI na SIASA ziwe pamoja ??? Nchi yenye Demokrasia ya kweli inatenganisha Masuala hayo

Labda kama wewe Unapenda kuishi IRAN au SAUD ARABIA...

Huwezi tenganisha Dini na Siasa maana dini inakufundisha uishije katika maisha ya kila siku, yaani inakwambie usiseme uongo, usizini, na mengine mengi. Nabii Selemani, Daud na wengine walikuwa viomgozi wa nchi na dini. We tofautisha kwa maslahi yako.
 
ok, unazijua amri 10 za mungu! Ni ipi haivunjwi na chadema hasa viongozi wenu? Mwenyezi mungu hachezewi wala hataniwi kama mnavyofanya! Hiyo ni sawa na dhihaka.

teh teh

AMRI 10 za Mungu:
1.Ndimi bwana mungu wako usiabudu miungu wengine-SLAA kaasi na kuacha kumuabudu Mungu
2.Usilitaje bure jina Bwana MUNGU wako- wimbo wa MBOWE ni Haki ya Mungu
3.Shika kitakatifu siku ya Mungu-SLAA anakwenda Kanisani tena baada ya kacha Upadre?
4. Waheshimu Baba na Mama yako upate miaka mingi na heri duniani-Nakumbuka SLAA ana skendo ya kumkana baba yake
5.Usiue-CHACHA WANGWE, REGIA MTEMA, Mauaji ya IGUNGA, MOROGORO, IRINGA
6. Usizini-SLAA vs Mshumbuzi. MBOWE vs JOYCE MUKYA/ESTER MATIKO
7.Usiibe-Mzee wa DIVD za ngono
8.Usiseme uongo-SLAA CHADEMA inahitaji mwaka mmoja kuifanya Tanzania nchi ya viwanda
9.Usitamani Mwanamke asiye mke wako-SLAA, MBOWE
10. Usitamani Mali ya MTU mwingine-hapo nikumbusheni nimesahau
 
Mungu wa Chadema ni Mzee Edwin Mtei, muasisi wa CHADEMA. Ndo maana wanasema kuwa wanaanza na Mungu na wanamaliza na Mungu maana yake ni kuwa kila wafanyalo lazima wapate baraka za Mtei na wakishakamilisha, sharti warudi kwa Mtei kumuelewa utekelezaji wake

Mlisema Mm sasa mnabadilisha tena kauli.
 
Huwezi tenganisha Dini na Siasa maana dini inakufundisha uishije katika maisha ya kila siku, yaani inakwambie usiseme uongo, usizini, na mengine mengi. Nabii Selemani, Daud na wengine walikuwa viomgozi wa nchi na dini. We tofautisha kwa maslahi yako.

Dini is not=siasa. Ndio maana serikali haina dini, na ndio maana kampeni haziruhusiwi makanisani au misikitini. Zile sala za kuombea viongozi co siasa. CHADEMA ACHENI KUDHIHAKI MUNGU kwahiyo kauli mnayoitumia. Kama ni mtei au mbowe bora mtaje kabisa.
 
Huwezi tenganisha Dini na Siasa maana dini inakufundisha uishije katika maisha ya kila siku, yaani inakwambie usiseme uongo, usizini, na mengine mengi. Nabii Selemani, Daud na wengine walikuwa viomgozi wa nchi na dini. We tofautisha kwa maslahi yako.

Nyerere alikuwa na kiti chake maalum Kanisani Butiama na alikuwa hakosi kanisani, hawa makanjanja wa siasa wanajifanya siasa na dini havifungamani?
 
teh teh

AMRI 10 za Mungu:
1.Ndimi bwana mungu wako usiabudu miungu wengine-SLAA kaasi na kuacha kumuabudu Mungu
2.Usilitaje bure jina Bwana MUNGU wako- wimbo wa MBOWE ni Haki ya Mungu
3.Shika kitakatifu siku ya Mungu-SLAA anakwenda Kanisani tena baada ya kacha Upadre?
4. Waheshimu Baba na Mama yako upate miaka mingi na heri duniani-Nakumbuka SLAA ana skendo ya kumkana baba yake
5.Usiue-CHACHA WANGWE, REGIA MTEMA, Mauaji ya IGUNGA, MOROGORO, IRINGA
6. Usizini-SLAA vs Mshumbuzi. MBOWE vs JOYCE MUKYA/ESTER MATIKO
7.Usiibe-Mzee wa DIVD za ngono
8.Usiseme uongo-SLAA CHADEMA inahitaji mwaka mmoja kuifanya Tanzania nchi ya viwanda
9.Usitamani Mwanamke asiye mke wako-SLAA, MBOWE
10. Usitamani Mali ya MTU mwingine-hapo nikumbusheni nimesahau

hahahaha...wanaitamani IKUlU wakati uwezo wa kuimanage hawana!
 
Dini is not=siasa. Ndio maana serikali haina dini, na ndio maana kampeni haziruhusiwi makanisani au misikitini. Zile sala za kuombea viongozi co siasa. CHADEMA ACHENI KUDHIHAKI MUNGU kwahiyo kauli mnayoitumia. Kama ni mtei au mbowe bora mtaje kabisa.

Kauli hiyo hiyo ya kwamba "walianza na mungu na watamaliza na mungu" ndiyo inayosababisha wanakumbwa na mikasa kwenye mikutano yao kwa sababu siyo wasafi hata kidogo. Wanakufuru kusema hivyo na Mungu huwamua kuwaadhibu. Uongo, ufuska, Matusi na ubadilifu ni kama chai ya asubuhi ndani ya CDM. Mungu bwana hakopeshi.
 
labda wa maanisha Mbowe na Mtei ndio miungu yao.
 
Kauli hiyo hiyo ya kwamba "walianza na mungu na watamaliza na mungu" ndiyo inayosababisha wanakumbwa na mikasa kwenye mikutano yao kwa sababu siyo wasafi hata kidogo. Wanakufuru kusema hivyo na Mungu huwamua kuwaadhibu. Uongo, ufuska, Matusi na ubadilifu ni kama chai ya asubuhi ndani ya CDM. Mungu bwana hakopeshi.
Alaf wana mtu ana jiita mchungaji kwa matamshi na kauli zake unaweza fikiri ni ana chunga matusi
 
Kwanza wathibitishe kwamba mungu yupo kabla ya kurukia kauli za mungu.

Wengine ukitutajia habari za mungu tu unatufukuza.

Kwa sababu tunaona neno mungu ni chaka la utapeli wa aina zote.
 
... Ni mungu yupi mnaemtaja? ...

Kila siku kabla Bunge halijaanza shughuli zake kuna ile dua inasomwaga na Ndugai kabla hajampa nafasi Nkamia, Lusinde, Nchemba, na wengineo kuchangia. Kwenye hiyo dua ya Ndugai kuna Mungu anatajwa humo ambaye nahisi ndiye Mungu wa waTanzania kwani hupelekewa maombi kabla chombo cha wananchi (Bunge) hakijaanza kutekeleza majukumu yake ya kitaifa.

Kuna ubaya gani kwa Chadema na waTanzania wengine kumtumainia huyo Mungu? Au unadhani kuna wenye hatimiliki ya Mungu kama akina Ndugai na kwa wengine ni nongwa? Kama hutaki kumtaja shauri yako ila usiwaonee wivu wengine wanaopenda kumtaja kama akina Ndugai na Chadema pengine wanajua na wameuona ukuu wake kwao.
 
Hii kauli huwa wanaitumia sana lakini sijawahi kuona wala kusikia kwenye mikusanyiko yenu hata mikutano yenu ya ndani mmefungua ama kufunga kwa ibada. Huwa mnaanza kwa matusi, mnaendelea kwa matusi, mnafunga kwa matusi. Ni mungu yupi mnaemtaja? CHAMA KIMEJAA WAOVU WANAOVUNJA AMRI ZOTE 10 ZA MUNGU HADI KUCHUKUA WAKE ZA WATU! HALAFU MNASEMA NI MPANGO WATMUNGU! TUAMBIENI NI MUNGU YUPI?

UMEJIDHALILISHA sana HADI NIMEKUHURUMIA !
 
MUNGU WETU NI MMOJA TU MUNGU WA IBRAHIMU ISAKA NA YAKOBO......Wewe kama unatambua miungu wengi ni wewe na mkeo mtajijua
 
Mpango wa MUNGU kwa sababu, kimejaa Mapdre na wachungaji?


Uh ni kwa sababu hiyo ? Kwanini usiseme tu Mawazo yako openly kuliko kuongelea Mipango ya MUNGU ???

Sasa utasema pia CUF kimejaa Uamsho ambao ni Ma Iman na Masheikh ?

Acha hayo mambo ya chuki ndani ya roho zenu wakati pengine hampendi mnayoyasema...

Kweli kuna wengine hapa wanaishi nchi za Magharibi lakini hawataki hata siku moja kuishi nchi za kidini kama IRAN; SAUD ARABIA; YEMEN... Ni Unafiki na Uzandiki kuongelea chuki wakati wewe Mwenyewe hauko kwenye huo MTAFAKURU... Ndio hivyo hivyo vya BOSNIA vilianza hivyo wa nje kuchokochoa wa ndani na kuwapa kiburi na kuelezea Maadili yao yalivyo tofauti

Kama kweli Hicho ni chama kilichojaa Mapadre na Wachungaji ni kwanini basi Prof. Safari alijiunga na chama hicho ? alilazimishwa ?
Acheni kupotosha Wananchi kwa Manufaa yenu wenyewe; HIO NDIO DHAMBI mnayoieneza ndio hapo sasa -- labda wana ukweli na statement yao huhusu MIPANGO ya MUNGU -- Mmejaribu kila kitu kukiangusha hicho chama lakini kiko strong kwa MIPANGO ya MUNGU...


The ignorant mind, with its infinite afflictions, passions, and evils, is rooted in the three poisons. Greed, anger, and delusion.

c.c FaizaFoxy Lizaboni TataMadiba
 
Hii kauli huwa wanaitumia sana lakini sijawahi kuona wala kusikia kwenye mikusanyiko yenu hata mikutano yenu ya ndani mmefungua ama kufunga kwa ibada. Huwa mnaanza kwa matusi, mnaendelea kwa matusi, mnafunga kwa matusi. Ni mungu yupi mnaemtaja? CHAMA KIMEJAA WAOVU WANAOVUNJA AMRI ZOTE 10 ZA MUNGU HADI KUCHUKUA WAKE ZA WATU! HALAFU MNASEMA NI MPANGO WATMUNGU! TUAMBIENI NI MUNGU YUPI?

Join Date : 29th December 2013
Posts : 164
Rep Power : 15861
Likes Received25
Likes Given0

Asante..... Mungu wako Zitto!
 
Back
Top Bottom