Je, kwanini Jerusalem kuna vurugu kuliko Makka?

Je, kwanini Jerusalem kuna vurugu kuliko Makka?

mpka leo hujui hilo pole mnoo

muhhamad hakuja kuleta uislam Bali alikuja kuongeza nguvu ya Kile kilichoachwa nawakubwa wake waliomtangulia...kina sumeimani..yusuph .Mussa..issa.(yesu) ..nuhu .adamu ..yacobo ..lutu..isaya ..e.t.c
Mkuu unaujua uislamu kweli??
 
mpka leo hujui hilo pole mnoo

muhhamad hakuja kuleta uislam Bali alikuja kuongeza nguvu ya Kile kilichoachwa nawakubwa wake waliomtangulia...kina sumeimani..yusuph .Mussa..issa.(yesu) ..nuhu .adamu ..yacobo ..lutu..isaya ..e.t.c
Mm najua saa,tarehe,siku,mwezi na mwaka ambao uislamu ulianza
 
Mkuu unaujua uislamu kweli??
born and raised ..katk hiyo misingi ..but kwakuwa huwa sipendi kuwakwaza watu wenye imani tofauti na yangu ..so honestly sipendagi hii mijadala cuz huwa inajenga chuki. ..
leo ilikeshi yangu ipate kuimarika nakuwa yenye mafanikio napaswa kushirikiana na mwenye imani yeyote ili niweze kuafaulu zaidi kimaisha...sitaki kupoteza marafiki na Jamaa amabo huwa nashirikiana nao vyema kisa imani yangu ..
mimi nimtu nimezaliwa nikayakuta haya mambo nanitakufa nakuyaacha kama ambavyo waliyaacha hao kina Paulo na yuda...so sina haki yakuhukumu
 
Mm najua saa,tarehe,siku,mwezi na mwaka ambao uislamu ulianza
tuachane nahizi habari. maaana huwa sipendi kushiriki ktk hii mijadala ya kidini..najishangaa leo cjui ilikuwaje ..nasababu kuu nineshakueleza ktk comment yko niliyoijibu awali..

barikiwa
 
Sio uchizi Mariam mama wa Yesu kristo hakufa alipalizwa mbinguni, hakuonja kifo.
Huu sasa uchizi mkubwa aisee,Maria alopalizwa mbinguni??[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Wakristo wanahaki na huo mji kivipi?Huo mji ni mali ya waislam na wayahudi ndo kipindo chote cha mgogoro huo hutaona wakristo wakiingilia.Huo mji wa Yerusalem au Baytul mukadas ni mji wenye msikiti mkubwa sana na una historia kubwa ya uislam enzi kabla ya mtume Mohammadi(saw)
Naomba unijuze kabla yaQuran tukufu waisalam walikuwa wanasoma vitabu gani
 
Haina ubishi, wakristo wote huamini Jerusalem ndio mji muhimu kuliko yote katika imani yao na ni mji mtakatifu sana. Kila mkristo hutamani kufika huko kuhiji na kuyatembelea matukufu ya Mungu yenye utajiri wa maisha ya Kristo Yesu.

Waislamu pia wote, huamini kuwa Makka ni mahali patakatifu na ni moja ya nguzo tano za muislamu halisi kufika huko walau mara moja kuhiji. Mamilioni hufika huko kila mwaka.

Tujiulize, kwa nini mji wa Jerusalem una mavurugu makubwa kuliko mji wa Makka? Je, waislam ni wastaarabu kuliko wakristo? Je, wakristo wameshindwa kuulinda mji wa Jerusalemu?

Pia ni kwa nini Makka haugombewi na wakristo, ila waislamu hugombea tena kisheria mji wa Yerusalemu ulio na matakatifu ya wakristo?
Peleka udini wako kule pambafu
 
forumyangu Usinichekeshe, unamaanisha uislamu ulikuwepo kabla ya mtume hvyo mtume hakuleta uislamu? Kwa hyo alikuja kufanya nin
labda nami nikufafanulie kidogo.

--uyahudi maana yake ni mtu wa yuda ama mzao wa yuda.

--ukristo maana yake ni ufalme,mteule ama kwa maana halisi ni mpakwa mafuta au king.


--uislamu maana yake ni kumtii mungu ama kujinyenyekeza kwa mungu ama kuwa chini ya mungu,yaani kujisubmit kwa mungu.


Sasa wanapokwambia uislamu upo tangu enzi za kina abraham,ujue wanaongelea watu wameanza kumwambudu mungu kabla ya huo uyahudi ama ukristo
 
Ni kweli mkuu pale kuna kabuli la mariamu mama yake nabii issa LAKINI Pale hakuna kaburi la Mariam mama yake Yesu kristo aliye hai maana alipalizwa mbinguni...
Ndo maana sisi wakatoriki hua tuna sherehe ya Kupalizwa kwa Bikra Maria..

Amen
Amina
 
Amen is the Name of a False PaganGod - Troy& Genie
Amen is the Name of a False PaganGod - a chapter from On The Sacred Name of YHVH and Yahshua by Troy . ()
yhvh.name>Research>On The Sacred Name of YHVH and Yahshua
 
kwahiyo sijakuelewa unataka na mecca kuwe na vurugu au una malengo yako?
 
najiuliza sana yesu na petro walifata nini vatican? mpaka leo sipati majibu
 
Kauli ya trump ya hivi karibuni nafikiri umeisikia..wakristo(loosers) wanajikomba sana kuwapa nguvu jews ..kabla ya adolfhitler mbona palikuwa shwari..wanachonganishwa.
Si huyo Trump mwenyewe ni mkristo na ndio mfadhiri mkuu wa Israel?

Israel nguvu wanajitegemea japo high support ni from US, sasa wakristo wanawapaje nguvu?
 
Back
Top Bottom