Je, kwanini Jerusalem kuna vurugu kuliko Makka?

Je, kwanini Jerusalem kuna vurugu kuliko Makka?

Mzee inaonekana dini yako huijui; hivi uislamu ulikuwepo kabla ya (SAW)? Na sio, huo msikiti kabla yake ulitoka wapi


Msikiti sio wa mtumu MUHAMAD bali ni wa Nabii Issa A.W. ambaye anathaminiwa sana kama mtume na Waislam.


Pia huo ugomvi sisi viumbe wa sasa wenyewe tumeukuta. Na historia inaonesha wale ni watoto wa familia moja ndio wanaogombana na vizazi na vizazi vikawa hivyo...Ipo historia ndefu saana ya vizazi hivyo vilivyopita vya mitume hadi kukawa na ugomvi huu hadi leo...ila enzi hizo haikuwa ugomvi ni msikiti...wa sasa ndio wamegeuza kuwa ugomvi ni msikiti...ila enzi hizo ilikuwa kuna ardhi na vitu vingine...

NA ukichunguza kwa makini sisi ni watoto wa baba mmoja mama mmoja ila kuna vitu vimeingia hapo ndani...
 
Haina ubishi, wakristo wote huamini Jerusalem ndio mji muhimu kuliko yote katika imani yao na ni mji mtakatifu sana. Kila mkristo hutamani kufika huko kuhiji na kuyatembelea matukufu ya Mungu yenye utajiri wa maisha ya Kristo Yesu.

Waislamu pia wote, huamini kuwa Makka ni mahali patakatifu na ni moja ya nguzo tano za muislamu halisi kufika huko walau mara moja kuhiji. Mamilioni hufika huko kila mwaka.

Tujiulize, kwa nini mji wa Jerusalem una mavurugu makubwa kuliko mji wa Makka? Je, waislam ni wastaarabu kuliko wakristo? Je, wakristo wameshindwa kuulinda mji wa Jerusalemu?

Pia ni kwa nini Makka haugombewi na wakristo, ila waislamu hugombea tena kisheria mji wa Yerusalemu ulio na matakatifu ya wakristo?
Wakristo wapo wachache islael karibia wote ni wayahudi..wakristo ni 1% kwa takwimu za karibuni..hivyo vurugu znatokana na wayahudi sio wakristo.
 
Wakristo wapo wachache islael karibia wote ni wayahudi..wakristo ni 1% kwa takwimu za karibuni..hivyo vurugu znatokana na wayahudi sio wakristo.
Ila wanaopaza sauti za ugomvi zaidi ni muslims!

Kwa nini wakristo na waislam wasiwaachie mji wao wayahudi?
 
Roma ni kwa wakatoliki japo nao wamewekeza sana Jerusalem na wana percentage kubwa ya pesa hutoa kwa ajili ya kuulinda Jerusalemu
mkuu catolic wanatoa pesa wapi?,
custodian wa maeneo matakatifu hapo jerusalem likiwemo kanisa la nativity ni king wa jordan,king Abdullah na ndio hutoa pesa ya ukarabati
 
Roma ni kwa wakatoliki japo nao wamewekeza sana Jerusalem na wana percentage kubwa ya pesa hutoa kwa ajili ya kuulinda Jerusalemu
mkuu catolic wanatoa pesa wapi?,
custodian wa maeneo matakatifu hapo jerusalem likiwemo kanisa la nativity ni king wa jordan,king Abdullah na ndio hutoa pesa ya ukarabati
 
HAHAHAHA WANAKUAMBIA KUWA UISLAMU ULIKUWEPO KABLA YA MTUME MUHAMAD.HISTORIA NA VITABU VYA DINI VIKO WAZI.UISLAMU ULILETWA NA MUHAMAD.KABLA KULIKUWA HAKUNA KITU KINAITWA UISLAMU
Historia inaonyesha israel wamevamia mashariki ya kati
 
Ni kwakuwa wakristo wanalazimisha kukalia mji usiowahusu na kuita kwao.
watumwa(wa israel(hawana taifa,wangeweza kuja hapa SUDAN KUSINI wakasema ni kwao na pabgeitwa ISRAEL.
 
bible au bibilia ni kitabu gani? maana mungu aliteremsha tourati zaburi injili quaran hii bible imeandikwa wapi na je kuna kitabu cha mungu kikawa na kitabu ki pya na na cha zamani ndio ya mungu ikaachwa wapi kwenye bible yesu kasema mimi ni kristo sio paulo kasema au yohana kasema nionyeshe yeye mwenyewe kasema
 
Wanaoleta fujo yerusalemu ni watoto wa mchepuko si vinginevyo
 
mkuu catolic wanatoa pesa wapi?,
custodian wa maeneo matakatifu hapo jerusalem likiwemo kanisa la nativity ni king wa jordan,king Abdullah na ndio hutoa pesa ya ukarabati
Lile eneo ni complex,believe me Roman Catholic linatoaga fund kubwa kupalinda. Kama ulikuwa hujui fahamu now japo kiduchu
 
bible au bibilia ni kitabu gani? maana mungu aliteremsha tourati zaburi injili quaran hii bible imeandikwa wapi na je kuna kitabu cha mungu kikawa na kitabu ki pya na na cha zamani ndio ya mungu ikaachwa wapi kwenye bible yesu kasema mimi ni kristo sio paulo kasema au yohana kasema nionyeshe yeye mwenyewe kasema
Hiyo Quaran iliyoandikwa na waliochanganyikiwa ilishushwa lini? Hebu tuweni logical. Hakuna kitabu kilichoshushwa toka mbinguni. Kurani iliandikwa na wapiga ramli tu kama masangoma wa upareni. Injili iliandikwa na Luka, Mathayo, Yohane na Marko, Zaburi part kubwa aliandika Daudi. Sasa hiyo injili iliyoshushwa ikoje? Nitumie PDF niione ili nijue mwandiko wa Mungu!
 
Lile eneo ni complex,believe me Roman Catholic linatoaga fund kubwa kupalinda. Kama ulikuwa hujui fahamu now japo kiduchu
hauko informed vizuri,
kwanza kupalinda dhidi ya nini sasa?,na wanalindaje hasa?,

mimi nijuavyo ufunguo wa kanisa la jerusalem ambalo ndo la kihistory unatunzwa na ukoo fulani wa wapalestina na ndo wamekuwa nao ufunguo huo kwa mamia ya miaka,

lakini pia custodian wa maeneo matakatifu jerusalem iwe kanisa ama msikiti,custodian wake ni mfalme wa jordan,

pia kanisa la bethelehemu liko chini ya uangalizi wa mamlaka ya palestina,
 
November 30, 2017 / 10:28 AM / 2 months ago
Muslim holds ancient key to Jesus tomb site in Jerusalem
Rinat Harash
3 Min Read
JERUSALEM (Reuters) - As dark falls, Adeeb Joudeh, a Muslim, makes his way through the stone alleyways of Jerusalem’s walled Old City cradling the ancient key to one of Christianity’s holiest sites.
Centuries ago, the imposing iron key to the Church of the Holy Sepulchre, built where many Christians believe Jesus was crucified and buried, was entrusted to his family, one of Jerusalem’s most prominent clans, says Joudeh.
He dates the arrangement back to the time of Saladin, the Muslim conqueror who seized the holy city from the Crusaders in 1187.
“Honestly, it’s a great honor for a Muslim to hold the key to the Church of the Holy Sepulchre, which is the most important church in Christendom,” Joudeh, 53, said.
Another of the city’s oldest Muslim families, the Nusseibehs, were entrusted with the duty of opening and closing the church doors, a task they perform to this day. It requires firm fingers: The key is 30 cm (12 inches) long and weighs 250 grams (0.5 pounds.

Muslim holds ancient key to Jesus tomb site in Jerusalem
 
Wale wapalestina wanaolia kila siku kuingia Al agsa ni wakristo?
Kauli ya trump ya hivi karibuni nafikiri umeisikia..wakristo(loosers) wanajikomba sana kuwapa nguvu jews ..kabla ya adolfhitler mbona palikuwa shwari..wanachonganishwa.
 
000_W73XJ.jpg



An Israeli opposition leader called on Tuesday for Saudi Arabia to become "responsible" for the holy sites in Jerusalem, as it has experience in managing holy sites in the cities of Mecca and Medina.
Knesset member and former leader of the Israeli Labor Party Isaac Herzog suggested in an interview with the Saudi-funded Elaph news website that "Saudi Arabia could play a big role in the issue [of Jerusalem]".
"When we reach the stage [during negotiations] of talking about Jerusalem and the holy sites, such as Al-Aqsa, I think there must be a Saudi role and responsibility for the holy sites."
"Saudi Arabia has experience in managing sacred spaces in Mecca and Medina," he said, referring to the role of Saudi King Salman as the custodian of the two holy mosques in Mecca and Medina.
"I think we should offer Saudi Arabia a central role in this matter."
 
Ni kweli mkuu pale kuna kabuli la mariamu mama yake nabii issa LAKINI Pale hakuna kaburi la Mariam mama yake Yesu kristo aliye hai maana alipalizwa mbinguni...
Ndo maana sisi wakatoriki hua tuna sherehe ya Kupalizwa kwa Bikra Maria..

Amen
Huu sasa uchizi mkubwa aisee,Maria alopalizwa mbinguni??[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Back
Top Bottom