Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,497
- 19,336
Tofautisha engineering na entrepreneurship.Engineer gani? Tangu chuo kianzishwe kuna kitu gani kipya mme innovate hapa Tanzania
Kila kitu tunaagiza
Tanzania kutokuwa na viwanda vya ndani siyo kwa sababu hakuna mainjia bali hakuna enterprenuers za kuanzisha viwanda hivyo. Ninafahamu kuwa kuna watanzaia wengi engineers wanaofanaya kazi Botswana, Namibia, South Africa na sehemu nyingine za dunia.