Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Katika mahojiano kati ya Mhe. B. C. Membe na Sammy Awami wa BBC Swahili, alisikika akijibu swali linalohusu vyombo vya usalama na ulinzi vya dola kuingilia masuala ya uchaguzi wa kisiasa; mfano, Urais, Wabunge na Madiwani na kuharibu usawa katika uwanja huo.
Akiwa kama 'kachero mbobezi na mwandamizi mstaafu', alisema vyombo hivyo ufuata 'tune' ya Rais. Yaani utendaji wake uendana na Rais aliyepo madarakani. Akiwa mzoefu na kazi hiyo, sina shaka na jibu lake ambalo limeniletea swali, je, vyombo hivi havifuati sheria na kanuni? Je, sheria zake no 'boya' tu? Kama basis ya utendaji wake ni Rais, je state yetu ipo sawa kweli?
Akiwa kama 'kachero mbobezi na mwandamizi mstaafu', alisema vyombo hivyo ufuata 'tune' ya Rais. Yaani utendaji wake uendana na Rais aliyepo madarakani. Akiwa mzoefu na kazi hiyo, sina shaka na jibu lake ambalo limeniletea swali, je, vyombo hivi havifuati sheria na kanuni? Je, sheria zake no 'boya' tu? Kama basis ya utendaji wake ni Rais, je state yetu ipo sawa kweli?