THEGENTLEMAN1996
JF-Expert Member
- May 13, 2017
- 518
- 590
- Thread starter
- #41
Na siku zote mkuu kuna nguvu aina mbili,kuna zenye kutoka kwa mungu na zengine zinahusiana na hao viumbe wabaya. Kwahiyo kuwa makini na hizo nguvu unazohisi unazo zimetoka wapi?
kwa sababu sijawah kujihusisha na USHIRIKINA nahisi ni KIMUNGU