MKANDAHARI
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 5,684
- 6,487
Gwaji boy alishawahi kusema anamfuta kwenye ulimwengu wa siasa mpaka hapo atakapotubu
secondedMnawapa credit tu hao jamaa, mambo mengi bongo yanatokea tu by chance.
Planning ni tatizo kuanzia ngazi ya familia hadi taifa, watanzania ni walewale. Wale wanaokopa bank ili walipe ada za watoto ndio haohao wako kitengo.
Hii stori niliisiaga zamani alivyotangaza nia nikaidharau...kumbe duhKama ni kitengo basi wamefanya kazi bora kabisa
Najua kitengo wana uwezo mkubwa wa kipropaganda kumuaminisha mtu kuhusu jambo na kwamba watamsaidia kulifanikisha na ikibidi kumwambia kwamba sponsor yuko pamoja naye.
Nadhani kwa makonda,kama wamefanya hivyo,basi wamefanya jambo bora kabisa kuhakikisha hapenyi katika ngazi ya juu zaidi ya alipokuwa na ikibidi hata alipo aondoke
Kitengo wana jukumu la kuhakikisha ni watu wanaokidhi vigezo tu ndio wanakuwa karibu na viongozi wakuu wa nchi, na kama kuna mmoja kapenya kwa BAHATI mbaya,basi ikibidi ahujumiwe. Tumeona Lugora,kiongozi wa wizara yenye askari akikatika mauno na askari wanaompigia saluti. Kitengo wakamtengenezea zengwe, mara sijui kaagiza na mkataba usioeleweka,katupwa nje.
Nadhani pia Makonda aliingizwa line na sasa fedheha imeondoka katika nchi yetu,maana kila jambo likitokea wananchi wanasema katumwa,viongozi wakawa wanachafuliwa naye
Magenge ya wahuni yakawa yananasibishwa naye kama yule aliyempiga picha za uchi dada mmoja,dada huyo anasema yule mwijak ni sehemu ya genge la makonda
Clouds
Endless list
Sababu ya kukosa akili,Sasa ngoja sisi tuje tuifanye kwa uzuri kwake mpaka wezere isambae utazani tikiti maji limepigwa risasi za short gun.Kosa lake tarehe 7/09/2017 kazi aliyo tumwa hakuifanya kwa umakini
Omba hiyo nafasi ipo waziSababu ya kukosa akili,Sasa ngoja sisi tuje tuifanye kwa uzuri kwake mpaka wezere isambae utazani tikiti maji limepigwa risasi za short gun.
Sijui pa kuanzia!!! Connection plz. Tupo wengi tu hapa TegetaOmba hiyo nafasi ipo wazi
aisee . . . . . hii ngoma ya sasa inataka VARtafuta wajinga muwangopee, huyu mmemuweka back bench kwa kazi maalumu za uchaguzi.
tusubiri tuone.
Hukumuona baada ya matokeo ya kijamboni mwijaku anasema msichague kimazoea kama KIGAMBONI.Kama ni kitengo basi wamefanya kazi bora kabisa
Najua kitengo wana uwezo mkubwa wa kipropaganda kumuaminisha mtu kuhusu jambo na kwamba watamsaidia kulifanikisha na ikibidi kumwambia kwamba sponsor yuko pamoja naye.
Nadhani kwa makonda,kama wamefanya hivyo,basi wamefanya jambo bora kabisa kuhakikisha hapenyi katika ngazi ya juu zaidi ya alipokuwa na ikibidi hata alipo aondoke
Kitengo wana jukumu la kuhakikisha ni watu wanaokidhi vigezo tu ndio wanakuwa karibu na viongozi wakuu wa nchi, na kama kuna mmoja kapenya kwa BAHATI mbaya,basi ikibidi ahujumiwe. Tumeona Lugora,kiongozi wa wizara yenye askari akikatika mauno na askari wanaompigia saluti. Kitengo wakamtengenezea zengwe, mara sijui kaagiza na mkataba usioeleweka,katupwa nje.
Nadhani pia Makonda aliingizwa line na sasa fedheha imeondoka katika nchi yetu,maana kila jambo likitokea wananchi wanasema katumwa,viongozi wakawa wanachafuliwa naye
Magenge ya wahuni yakawa yananasibishwa naye kama yule aliyempiga picha za uchi dada mmoja,dada huyo anasema yule mwijak ni sehemu ya genge la makonda
Clouds
Endless list
Nafasi 10 hawajawahi kuchagua kijana mwenye nguvu Either mzee wanawake au Msomi haswaUsisahau kuna nafasi kumi za Magufuli atakapo pita so you never know Ila usisahau Pia kuna kiumbe kinaitwa Tundu Lissu so lolote linaweza tokea mwaka huu.
Mdanganye sasa sikuizi waliomjaza wale wote wamemtosaTatizo Makonda alijiibua mwenyewe hata akizimwa siku wakimuachia meanya wa kisiasa atarudi kwa spidi.
Yulr ni risk taker
Kwani alikuwa ndugu wa sita?Si kweli kujiibua mwenyewe huyu huyu aliekuwa akiosha vyombo wa marehemu Samweli Sita? akipiga deki kwa Riz-one? huyu huyu anaekwenda kama ng'ombe na kumpiga Jaji Warioba? hana la maana yule
Utakua kwenye genge la wauza madawa ya kulevya. Nyie ndio mnamchukia hadi kufa makonda. Ngoja uchaguzi uishe sijui utafanyaje kuona makonda akiaminiwa tena na serikali ya ccm. Makonda kafanya mambo makubwa wewe umebakia chuki zisizo na mashiko kwake.Kama ni kitengo basi wamefanya kazi bora kabisa
Najua kitengo wana uwezo mkubwa wa kipropaganda kumuaminisha mtu kuhusu jambo na kwamba watamsaidia kulifanikisha na ikibidi kumwambia kwamba sponsor yuko pamoja naye.
Nadhani kwa makonda,kama wamefanya hivyo,basi wamefanya jambo bora kabisa kuhakikisha hapenyi katika ngazi ya juu zaidi ya alipokuwa na ikibidi hata alipo aondoke
Kitengo wana jukumu la kuhakikisha ni watu wanaokidhi vigezo tu ndio wanakuwa karibu na viongozi wakuu wa nchi, na kama kuna mmoja kapenya kwa BAHATI mbaya,basi ikibidi ahujumiwe. Tumeona Lugora,kiongozi wa wizara yenye askari akikatika mauno na askari wanaompigia saluti. Kitengo wakamtengenezea zengwe, mara sijui kaagiza na mkataba usioeleweka,katupwa nje.
Nadhani pia Makonda aliingizwa line na sasa fedheha imeondoka katika nchi yetu,maana kila jambo likitokea wananchi wanasema katumwa,viongozi wakawa wanachafuliwa naye
Magenge ya wahuni yakawa yananasibishwa naye kama yule aliyempiga picha za uchi dada mmoja,dada huyo anasema yule mwijak ni sehemu ya genge la makonda
Clouds
Endless list
Umerogwa, mimi mtanzania safiUtakua kwenye genge la wauza madawa ya kulevya. Nyie ndio mnamchukia hadi kufa makonda. Ngoja uchaguzi uishe sijui utafanyaje kuona makonda akiaminiwa tena na serikali ya ccm. Makonda kafanya mambo makubwa wewe umebakia chuki zisizo na mashiko kwake.