Je, kupotea kwa Makonda ni kazi nzuri ya kitengo kumpiga misinformation agombee Kigamboni ili kuliondolea taifa adha ya viongozi wa hovyo?

Gwaji boy alishawahi kusema anamfuta kwenye ulimwengu wa siasa mpaka hapo atakapotubu
 
Kama ni kitengo basi wamefanya kazi bora kabisa

Najua kitengo wana uwezo mkubwa wa kipropaganda kumuaminisha mtu kuhusu jambo na kwamba watamsaidia kulifanikisha na ikibidi kumwambia kwamba sponsor yuko pamoja naye.

Nadhani kwa makonda,kama wamefanya hivyo,basi wamefanya jambo bora kabisa kuhakikisha hapenyi katika ngazi ya juu zaidi ya alipokuwa na ikibidi hata alipo aondoke

Kitengo wana jukumu la kuhakikisha ni watu wanaokidhi vigezo tu ndio wanakuwa karibu na viongozi wakuu wa nchi, na kama kuna mmoja kapenya kwa BAHATI mbaya,basi ikibidi ahujumiwe. Tumeona Lugora,kiongozi wa wizara yenye askari akikatika mauno na askari wanaompigia saluti. Kitengo wakamtengenezea zengwe, mara sijui kaagiza na mkataba usioeleweka,katupwa nje.

Nadhani pia Makonda aliingizwa line na sasa fedheha imeondoka katika nchi yetu,maana kila jambo likitokea wananchi wanasema katumwa,viongozi wakawa wanachafuliwa naye

Magenge ya wahuni yakawa yananasibishwa naye kama yule aliyempiga picha za uchi dada mmoja,dada huyo anasema yule mwijak ni sehemu ya genge la makonda

Clouds
Endless list
Hii stori niliisiaga zamani alivyotangaza nia nikaidharau...kumbe duh
 
Kosa lake tarehe 7/09/2017 kazi aliyo tumwa hakuifanya kwa umakini
Sababu ya kukosa akili,Sasa ngoja sisi tuje tuifanye kwa uzuri kwake mpaka wezere isambae utazani tikiti maji limepigwa risasi za short gun.
 
Kama ni kitengo basi wamefanya kazi bora kabisa

Najua kitengo wana uwezo mkubwa wa kipropaganda kumuaminisha mtu kuhusu jambo na kwamba watamsaidia kulifanikisha na ikibidi kumwambia kwamba sponsor yuko pamoja naye.

Nadhani kwa makonda,kama wamefanya hivyo,basi wamefanya jambo bora kabisa kuhakikisha hapenyi katika ngazi ya juu zaidi ya alipokuwa na ikibidi hata alipo aondoke

Kitengo wana jukumu la kuhakikisha ni watu wanaokidhi vigezo tu ndio wanakuwa karibu na viongozi wakuu wa nchi, na kama kuna mmoja kapenya kwa BAHATI mbaya,basi ikibidi ahujumiwe. Tumeona Lugora,kiongozi wa wizara yenye askari akikatika mauno na askari wanaompigia saluti. Kitengo wakamtengenezea zengwe, mara sijui kaagiza na mkataba usioeleweka,katupwa nje.

Nadhani pia Makonda aliingizwa line na sasa fedheha imeondoka katika nchi yetu,maana kila jambo likitokea wananchi wanasema katumwa,viongozi wakawa wanachafuliwa naye

Magenge ya wahuni yakawa yananasibishwa naye kama yule aliyempiga picha za uchi dada mmoja,dada huyo anasema yule mwijak ni sehemu ya genge la makonda

Clouds
Endless list
Hukumuona baada ya matokeo ya kijamboni mwijaku anasema msichague kimazoea kama KIGAMBONI.

Kesho yake nikaona mara kapandishwa kizimbani
 
Usisahau kuna nafasi kumi za Magufuli atakapo pita so you never know Ila usisahau Pia kuna kiumbe kinaitwa Tundu Lissu so lolote linaweza tokea mwaka huu.
Nafasi 10 hawajawahi kuchagua kijana mwenye nguvu Either mzee wanawake au Msomi haswa
 
Si kweli kujiibua mwenyewe huyu huyu aliekuwa akiosha vyombo wa marehemu Samweli Sita? akipiga deki kwa Riz-one? huyu huyu anaekwenda kama ng'ombe na kumpiga Jaji Warioba? hana la maana yule
Kwani alikuwa ndugu wa sita?
 
Naamini hapa Jamii forum inawatu makini lakin kwa hili naona kama tunaufunika ukweli. Hapa jamaa katolewa kwa mgongo ili kupooza vikwazo ambavyo vingefuata kwa wengine
 
Kama ni kitengo basi wamefanya kazi bora kabisa

Najua kitengo wana uwezo mkubwa wa kipropaganda kumuaminisha mtu kuhusu jambo na kwamba watamsaidia kulifanikisha na ikibidi kumwambia kwamba sponsor yuko pamoja naye.

Nadhani kwa makonda,kama wamefanya hivyo,basi wamefanya jambo bora kabisa kuhakikisha hapenyi katika ngazi ya juu zaidi ya alipokuwa na ikibidi hata alipo aondoke

Kitengo wana jukumu la kuhakikisha ni watu wanaokidhi vigezo tu ndio wanakuwa karibu na viongozi wakuu wa nchi, na kama kuna mmoja kapenya kwa BAHATI mbaya,basi ikibidi ahujumiwe. Tumeona Lugora,kiongozi wa wizara yenye askari akikatika mauno na askari wanaompigia saluti. Kitengo wakamtengenezea zengwe, mara sijui kaagiza na mkataba usioeleweka,katupwa nje.

Nadhani pia Makonda aliingizwa line na sasa fedheha imeondoka katika nchi yetu,maana kila jambo likitokea wananchi wanasema katumwa,viongozi wakawa wanachafuliwa naye

Magenge ya wahuni yakawa yananasibishwa naye kama yule aliyempiga picha za uchi dada mmoja,dada huyo anasema yule mwijak ni sehemu ya genge la makonda

Clouds
Endless list
Utakua kwenye genge la wauza madawa ya kulevya. Nyie ndio mnamchukia hadi kufa makonda. Ngoja uchaguzi uishe sijui utafanyaje kuona makonda akiaminiwa tena na serikali ya ccm. Makonda kafanya mambo makubwa wewe umebakia chuki zisizo na mashiko kwake.
 
Utakua kwenye genge la wauza madawa ya kulevya. Nyie ndio mnamchukia hadi kufa makonda. Ngoja uchaguzi uishe sijui utafanyaje kuona makonda akiaminiwa tena na serikali ya ccm. Makonda kafanya mambo makubwa wewe umebakia chuki zisizo na mashiko kwake.
Umerogwa, mimi mtanzania safi
 
Back
Top Bottom