Mwanongwa
Senior Member
- Feb 15, 2023
- 169
- 198
Mwalimu mmoja anayefahamika kwa jina la Yusuph wa shule ya Msingi ZIGA ya mchepuo wa kingereza iliyopo katika mji wa Makambako wilaya ya Wanging'ombe mkoani Njombe,anatuhumiwa na wazazi kwa kukataa kusahihisha madaftari ya wanafunzi ambayo hayana Nembo ya Shule hiyo.
Wazazi hao wamesema kuwa Mwalimu Yusuph amekuwa akigoma kusahihisha madaftari hayo kwa madai kuwa lazima yawe na Nembo ya shule hiyo.
Madaftari hayo yenye Nembo ya Shule yanauzwa kwa kiasi cha shilingi 3500 shuleni hapo, wakati daftari kama hizo ambazo hazina Nembo zinauzwa 2500 mtaani .
Kutokana na utofauti wa bei hizo wazazi wengi wameamua kununua daftari hizo mtaani ambako ni bei rahisi.
Je kunaulazima wowote wa kulazimasha wazazi kununua bidhaa shuleni wakati mtaani ni bei rahisi zaidi
Wazazi hao wamesema kuwa Mwalimu Yusuph amekuwa akigoma kusahihisha madaftari hayo kwa madai kuwa lazima yawe na Nembo ya shule hiyo.
Madaftari hayo yenye Nembo ya Shule yanauzwa kwa kiasi cha shilingi 3500 shuleni hapo, wakati daftari kama hizo ambazo hazina Nembo zinauzwa 2500 mtaani .
Kutokana na utofauti wa bei hizo wazazi wengi wameamua kununua daftari hizo mtaani ambako ni bei rahisi.
Je kunaulazima wowote wa kulazimasha wazazi kununua bidhaa shuleni wakati mtaani ni bei rahisi zaidi