Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,197
Sijawahi kumwambia mtu kuhusu hii hali ambayo imekuwa inanitokea kwa miaka zaidi ya 10 sasa hasa toka nimpoteze Kaka yangu.
Tulicheza pamoja, Soma pamoja alikuwa kama best friend japo alinizidi miaka 3.
Kwanza japo amefariki zaidi ya miaka 10 sasa lakini karibu kila siku lazima niote tupo wote.
Pili, naota matukio ambayo yanatokea baadae. Nikiota jambo usiku mchana litatokea. Hii haitokei kila siku ila nikiota jambo litatokea.
Nilipokuwa nasoma kuna kipindi niliota maswali ya UE na nilikuwa sijajiandaa na mtihani. Siku hiyo niliamka nikawaambia wana nimeota maswali haya na haya yapo kwenye mtihani hawakuamini tulipoingia kwenye mtihani wakadhani nilikuwa na paper.
Kuna jamaa tuna-hang naye mtaani nikawaambia wana huyu jamaa nimeota kafuta kazi. Week 4 sio nyingi jamaa alisimamishwa kazi kwa kuiba pesa ya ofisi. Iliniuma saana kwasababu ningemsanua asingepoteza kazi.
Jana usiku jambo lililonifanya niandike uzi niliota ninapigana na mtu. Kabla hata siku haijaisha naendesha kidogo nikagusa gari la mama mmoja akatoka akaanza kunitukana lakini sikumsemesha neno.
Mfano mdogo kama nina jambo natafuta solutions nikilala basi nitaota namna ya kulitatua.
Siamini katika ulimwengu usioshikika.... I'm too realistic...sipo hapa kutafuta waganga wa kienyeji au msaada wa kiroho...I'm 100% perfect and I don't need another human being to tell me how imperfect I am.
Swali ni je Kuna watu wengine wana experience haya mambo?
Hii ni mifano michache tu....
Tulicheza pamoja, Soma pamoja alikuwa kama best friend japo alinizidi miaka 3.
Kwanza japo amefariki zaidi ya miaka 10 sasa lakini karibu kila siku lazima niote tupo wote.
Pili, naota matukio ambayo yanatokea baadae. Nikiota jambo usiku mchana litatokea. Hii haitokei kila siku ila nikiota jambo litatokea.
Nilipokuwa nasoma kuna kipindi niliota maswali ya UE na nilikuwa sijajiandaa na mtihani. Siku hiyo niliamka nikawaambia wana nimeota maswali haya na haya yapo kwenye mtihani hawakuamini tulipoingia kwenye mtihani wakadhani nilikuwa na paper.
Kuna jamaa tuna-hang naye mtaani nikawaambia wana huyu jamaa nimeota kafuta kazi. Week 4 sio nyingi jamaa alisimamishwa kazi kwa kuiba pesa ya ofisi. Iliniuma saana kwasababu ningemsanua asingepoteza kazi.
Jana usiku jambo lililonifanya niandike uzi niliota ninapigana na mtu. Kabla hata siku haijaisha naendesha kidogo nikagusa gari la mama mmoja akatoka akaanza kunitukana lakini sikumsemesha neno.
Mfano mdogo kama nina jambo natafuta solutions nikilala basi nitaota namna ya kulitatua.
Siamini katika ulimwengu usioshikika.... I'm too realistic...sipo hapa kutafuta waganga wa kienyeji au msaada wa kiroho...I'm 100% perfect and I don't need another human being to tell me how imperfect I am.
Swali ni je Kuna watu wengine wana experience haya mambo?
Hii ni mifano michache tu....