Je, Kuna watu wana experience haya mambo? Cognitive dreams

Je, Kuna watu wana experience haya mambo? Cognitive dreams

Daby

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2014
Posts
34,961
Reaction score
80,197
Sijawahi kumwambia mtu kuhusu hii hali ambayo imekuwa inanitokea kwa miaka zaidi ya 10 sasa hasa toka nimpoteze Kaka yangu.

Tulicheza pamoja, Soma pamoja alikuwa kama best friend japo alinizidi miaka 3.

Kwanza japo amefariki zaidi ya miaka 10 sasa lakini karibu kila siku lazima niote tupo wote.

Pili, naota matukio ambayo yanatokea baadae. Nikiota jambo usiku mchana litatokea. Hii haitokei kila siku ila nikiota jambo litatokea.

Nilipokuwa nasoma kuna kipindi niliota maswali ya UE na nilikuwa sijajiandaa na mtihani. Siku hiyo niliamka nikawaambia wana nimeota maswali haya na haya yapo kwenye mtihani hawakuamini tulipoingia kwenye mtihani wakadhani nilikuwa na paper.

Kuna jamaa tuna-hang naye mtaani nikawaambia wana huyu jamaa nimeota kafuta kazi. Week 4 sio nyingi jamaa alisimamishwa kazi kwa kuiba pesa ya ofisi. Iliniuma saana kwasababu ningemsanua asingepoteza kazi.

Jana usiku jambo lililonifanya niandike uzi niliota ninapigana na mtu. Kabla hata siku haijaisha naendesha kidogo nikagusa gari la mama mmoja akatoka akaanza kunitukana lakini sikumsemesha neno.

Mfano mdogo kama nina jambo natafuta solutions nikilala basi nitaota namna ya kulitatua.

Siamini katika ulimwengu usioshikika.... I'm too realistic...sipo hapa kutafuta waganga wa kienyeji au msaada wa kiroho...I'm 100% perfect and I don't need another human being to tell me how imperfect I am.

Swali ni je Kuna watu wengine wana experience haya mambo?

Hii ni mifano michache tu....
 
Sijawahi kumwambia mtu kuhusu hi hali ambayo imekuwa inanitokea kwa miaka zaidi ya 10 sasa hasa toka nimpoteze Kaka yangu.

Tulicheza pamoja, Soma pamoja alikuwa kama best friend japo alinizidi miaka 3.

Kwanza japo amefariki zaidi ya miaka 10 sasa lakini karibu kila siku lazima naota tupo wote.

Pili, naota matukio ambayo yanatokea baadae. Nikiona jambo usiku mchana litatokea. Hii haitokei kila siku ila nikiota jambo litatokea.

Nilipokuwa nasoma kuna kipindi niliota maswali ya UE na nilikuwa sijajiandaa na mtihani. Siku hiyo niliamka nikawaambia wana nimeota maswali haya na haya yapo kwenye mtihani hawakuamini tulipoingia kwenye mtihani wakadhani nilikuwa na paper.

Kuna jamaa tuna-hang naye mtaani nikawaambia wana huyu jamaa nimeota kafuta kazi. Week 4 sio nyingi jamaa alisimamishwa kazi kwa kuiba pesa ya ofisi. Iliniuma saana kwasababu ningemsanua asingepoteza kazi.

Jana usiku jambo lililonifanya niandike uzi niliota ninapigana na mtu. Kabla hata siku haijaisha naendesha kidogo nikagusa gari la mama mmoja akatoka akaanza kunitukana lakini sikumsemesha neno.

Mfano mdogo kama nina jambo natafuta solutions nikilala basi nitaota namna ya kulitatua.

Siamini katika ulimwengu usioshikika.... I'm too realistic...sipo hapa kutafuta waganga wa kienyeji au msaada ya kiroho...I'm 100% perfect and I don't need another human being to tell me how imperfect I am.

Swali ni je Kuna watu wengine wana experience haya mambo?
Experience Kama hiyo nipo nayo.

ila Mimi nai-link na ufahamu wako ambao haufikiki .
 
Sijawahi kumwambia mtu kuhusu hi hali ambayo imekuwa inanitokea kwa miaka zaidi ya 10 sasa hasa toka nimpoteze Kaka yangu.

Tulicheza pamoja, Soma pamoja alikuwa kama best friend japo alinizidi miaka 3.

Kwanza japo amefariki zaidi ya miaka 10 sasa lakini karibu kila siku lazima naota tupo wote.

Pili, naota matukio ambayo yanatokea baadae. Nikiona jambo usiku mchana litatokea. Hii haitokei kila siku ila nikiota jambo litatokea.

Nilipokuwa nasoma kuna kipindi niliota maswali ya UE na nilikuwa sijajiandaa na mtihani. Siku hiyo niliamka nikawaambia wana nimeota maswali haya na haya yapo kwenye mtihani hawakuamini tulipoingia kwenye mtihani wakadhani nilikuwa na paper.

Kuna jamaa tuna-hang naye mtaani nikawaambia wana huyu jamaa nimeota kafuta kazi. Week 4 sio nyingi jamaa alisimamishwa kazi kwa kuiba pesa ya ofisi. Iliniuma saana kwasababu ningemsanua asingepoteza kazi.

Jana usiku jambo lililonifanya niandike uzi niliota ninapigana na mtu. Kabla hata siku haijaisha naendesha kidogo nikagusa gari la mama mmoja akatoka akaanza kunitukana lakini sikumsemesha neno.

Mfano mdogo kama nina jambo natafuta solutions nikilala basi nitaota namna ya kulitatua.

Siamini katika ulimwengu usioshikika.... I'm too realistic...sipo hapa kutafuta waganga wa kienyeji au msaada ya kiroho...I'm 100% perfect and I don't need another human being to tell me how imperfect I am.

Swali ni je Kuna watu wengine wana experience haya mambo?
100% perfect haiwezekani master!
We sio Mungu
 
Sijawahi kumwambia mtu kuhusu hi hali ambayo imekuwa inanitokea kwa miaka zaidi ya 10 sasa hasa toka nimpoteze Kaka yangu.

Tulicheza pamoja, Soma pamoja alikuwa kama best friend japo alinizidi miaka 3.

Kwanza japo amefariki zaidi ya miaka 10 sasa lakini karibu kila siku lazima naota tupo wote.

Pili, naota matukio ambayo yanatokea baadae. Nikiona jambo usiku mchana litatokea. Hii haitokei kila siku ila nikiota jambo litatokea.

Nilipokuwa nasoma kuna kipindi niliota maswali ya UE na nilikuwa sijajiandaa na mtihani. Siku hiyo niliamka nikawaambia wana nimeota maswali haya na haya yapo kwenye mtihani hawakuamini tulipoingia kwenye mtihani wakadhani nilikuwa na paper.

Kuna jamaa tuna-hang naye mtaani nikawaambia wana huyu jamaa nimeota kafuta kazi. Week 4 sio nyingi jamaa alisimamishwa kazi kwa kuiba pesa ya ofisi. Iliniuma saana kwasababu ningemsanua asingepoteza kazi.

Jana usiku jambo lililonifanya niandike uzi niliota ninapigana na mtu. Kabla hata siku haijaisha naendesha kidogo nikagusa gari la mama mmoja akatoka akaanza kunitukana lakini sikumsemesha neno.

Mfano mdogo kama nina jambo natafuta solutions nikilala basi nitaota namna ya kulitatua.

Siamini katika ulimwengu usioshikika.... I'm too realistic...sipo hapa kutafuta waganga wa kienyeji au msaada ya kiroho...I'm 100% perfect and I don't need another human being to tell me how imperfect I am.

Swali ni je Kuna watu wengine wana experience haya mambo?
Wapo wengi tu.. Na wale manabii na watabiri halisi huwa kama wewe
 
Back
Top Bottom