Ukiamua kuandika english basi egemea huko huko na kama ni kiswahili andika kiswahili tu hizo sijui morphological, psychoanalysis sijui ni wadudu gani mnaharibu lugha ya taifa
Mkuu muhimu ni kuelewa. Si umeielewa hoja? Changia mada mkuu onyesha uweo wako wa kufikiri na kuchambua, usikalie kulaumu na kulalama.