Je, kuna ukweli watu wafupi wana inferiority complex hivyo kukasirika sana wanapohisi kudharauliwa?

Wanabodi

Declaration of interest, mimi ni mtu mfupi na nina tatizo la kutokubali kudanganywa kirahisi, ila hawa sikasiriki sana kivile.

Hili ni bandiko la swali juu ya political psychoanalysis kuhusu ya saikolojia ya wanasiasa wetu kwenye mambo ya body anatomy na mambo ya morphological kuhusu maumbile ya watu, urefu, ufupi, unene, wembamba etc, kuna hoja kuwa watu wafupi wana matatizo ya kisaikolojia yanayoleta tatizo liitwalo inferiority complex zinazo wafanya wakose confidence hivyo ku practice superiority complex wanapoudhiwa wanakuwa wakali kweli kweli na huchachamaa!.

Sasa inapotokea watu wafupi hawa kujihisi wamedharauliwa halafu kudharauliwa kwenyewe of all the people kuwe ni kudharauliwa na mwanamke halafu mwanamke mwenyewe awe amemzidi urefu huyo mtu mfupi, hivyo kujihisi huyo mtu anamdharau kwa kumuangalia kwa chini! , can you imagine itakuwaje?.

Kisheria acting under provocation ni defence kuwa mtu akiudhiwa anaweza kufanya lolote, ila ukiwaudhi wafupi hawa be very careful maana anaweza kushika chochote na kukudhuru!.


Watu hawa huwa wana bust with rage, kama ana pistol anaweza kuua!. Kuna hiki kisa sijui kama ni cha kweli. ..kwenye kampeni fulani kuna mgombea mrefu alimtibua mgombea mwenzake mfupi, yule mfupi alikasirika hadi kumpiga gongo la kichwa yule mrefu akaanguka akazimia.

Jee hoja hizi zina ukweli wowote?. Jee urefu wa mtu una uhusiano na mambo ya confidence and lack of confidence?.

Ndio maana kwenye board rooms kiti kimoja hufanywa kirefu, kiti cha mfalme huwa kirefu, etc.

Mimi ni single hand driver, nikiendesha gari za juu SUV nakuwa very confident ila nikiendesha gari za ndogo kama Nissan March or VW Golf nakosa kabisa confidence!.

Tukija kwenye siasa tuelekee moja kwa moja Bungeni kwetu kule Dodoma, kuna Mhe. Mbunge mmoja mfupi ni so notorious kwa kutukana!. Inawezekana hiyo notoriety inatokana na ufupi wake?.

Ukipima kiwango cha utovu wa nidhamu wa baadhi ya wabunge wetu tukilinganisha na adhabu walizopatiwa kwa utovu huo, is there a proportionality or any correlations kati ya heights zao na kiwango cha wanavyokasirika? .

Angalizo: Mambo ya political psychoanalysis ni mambo ya ma GT only. Ma GT huwa hawa discuss watu, wana discuss ideas, hivyo sitarajii kuona majina yoyote yakitajwa tajwa humu.

Paskali


Urefu/Ufupi ni relative, ulipaswa kwanza useme kwa Urefu/Ufupi unamaanisha nini? Yaani kuanzia Sentimeter/Meter ngapi mtu anakuwa Mrefu/Mfupi?
 
Jana post yangu ilifutwa na moderators juu kwa juu bila sababu ya msingi. Na uzuri ktk ile post sikutaja jina la mtu. Inakuwa ngumu sana kutegemea sukari kutoka kwa wananchi wakati wewe kiongozi umewapa pilipili. Moderators acheni pilipili iende na pilipili.

Huyu ndugu yetu ana tatizo kubwa sana. Ana kiu ya kuonyesha kuwa ana madaraka makubwa, kuwa yeye ni mtu mkubwa. Hili ni tatizo. Kwa mtu mwenye nafasi kama yake unapaswa uamini (sio uonyeshe) kuwa una madaraka makubwa. Ubaya anaonyesha madaraka yake makubwa kwenye masuala yasiyo na manufaa kitaifa. Sitta alionyesha 'ubabe' ktk masuala ya msing kwa taifa. Kilele cha ubabe wa Sitta hakikuwa ktk kuwafukuza mabinti, bali sakata la Richmond.
 
Hoja yako haina mashiko kihoja.

Rais mstaafu, Mzee Mwinyi ni mfupi sana lakini pamoja na kuwa public figure hatujawahi kumuona aki-act kama hoja zako zinavyodai.

Mwingine ni Mzee Kawawa...

The list goes on and on
Bahati nzuri Mzee Mwinyi ni Mwalimu (by Profession ), amesoma Psychology . . , kwa hiyo ni mtu aliyefunzwa kujikagua madhaifu yake na kujirekebisha . .

Mzee Mwinyi kama Mwalimu amefundishwa kuifahamu hadhara/jamii anayoiongoza na inayomzunguka . . , huwezi kumlinganisha kabisa Mwinyi na Ndugai . .
 
Hoja yako haina mashiko kihoja.

Rais mstaafu, Mzee Mwinyi ni mfupi sana lakini pamoja na kuwa public figure hatujawahi kumuona aki-act kama hoja zako zinavyodai.

Mwingine ni Mzee Kawawa...

The list goes on and on
ukiona hivyo ujue hawakuwa na confidence ya kutosha.

lack of confidence ni moja ya factor inayowayumbisha watu wafupi.japo si wote.
41f7253352d4fa72cb91c9c5639a66d1.jpg
2af5c0474c751604a3a6f872b1b18186.jpg
 
Inafahamika kuwa maji ya bahari yana chumvi, kiasi hata samaki wa baharini huitwa wa maji chumvi. Lakini ipo bahari ambayo maji yake hayana chumvi.

Mzee Mwinyi ni exception, na mimi namkubali sana yule mzee kwa FALSAFA yake ya watu kuwa HURU. Mungu ampe maisha Mzee Mwinyi...mzee asiye mlafi.
Mtoa mada ameomba msitaje majina.Bandiko lake lipo very clear. Hey ma Great thinkers!!! Read btn lines.Mnataka mwenzetu Atekwe??mana mpaka Leo Ben hatujui Yupo wapi japo nasikia analeft magroup.Huu mchezoooo.......
 
Nnaungana na mtoa hoja kuna ukweli ndo maana kwa nchi zilizoendelea nnazungumizia USA kwa mfano unaweza kuwa na sifa zote za kugombea urais lakini urefu ukakufanya ukose sifa.
 
upo sahihi mkuu mara nyingi na kwa watu wengi hua hivyo......hata kwenye mahusiano wanawake wafupi na wembamba hua watata saana na wana midomo kwelikweli, akiangaza kuongea utafikiri kameza memoery card ya tela byt 10000000
Wanawake wafupi asilimia kubwa ni Wapole sana, wanapenda sana kuonewa huruma tofauti na wanawake warefu, wanaume wafupi asilimia kubwa ni wakorofi kwa sababu hawajiamini ukikorofishana nae wengi ukimbilia kwenye ugomvi wanahisi unamdharau kwa sababu ya ufupi wake.
 
Back
Top Bottom