Je kuna uasi unanukia chamani?

Je kuna uasi unanukia chamani?

Watanganyika, hatupaswi kuendelea kuwa katika hali ya ulegevu huu — ni wakati wa kuamka na kuchukua hatua kwa mustakabali wetu.

Cc. Pascal Mayalla
 
How it is started ... How it is going...!
 
Huyu kijana wa Aza amepikwaaaa sijuwi watafanyeje na ana wazeee wazito sana mtu alie kuwa kwenye mchakato kuja pewa Taifa sio mchezo... well tusubili
Hafrey 4 president!?🥺
 
Je hawa watakaa kimya na kufunika kombe mwanaharamu apite?
February
Mpini
Katelefoni
Pasta Gwa
Na maamuzi ya leo ya halfrey
Unaweza kuongeza na wengine.. Lakini inawezekana kabisa October mbaliView attachment 3404325
Mzee machozi,Kambamarope,Mzee wa Manerumango,Mzee wa Buuukooobaaa,Mzee wa Gombe,Bibi wa kwa Mwakipesilee,Muzee ya Ilaalaa na Wazee wote wasioamini juu ya wale wahuni wa mapangoonii.
 
Siyo kwamba huyu Polepole ndio atajaza nafasi ya Nchimbi? Ccm ni wahuni mno huenda wanatujaza wapenda mabadiliko nasi tunahemkwa na kuicheza Ngoma yao! Tuwe makini Sana kwani Kuna script nyingine ipo jikoni itatoka soon kuifunika hii ya Leo au kuiboost.
 
CCM ya sasa in
Makonda alivyo mroho, hageuki nyuma ng'oo, angalia atakavyowakana wenzie; Jamaa ni Bonge la Yuda eskalioteeeee..

Bonge la movie mchekin dogo ndio mjue rangi yake harisi atakavyokata mauno, usibadili channel!
😂😂😂
 
Huyu kijana wa Aza amepikwaaaa sijuwi watafanyeje na ana wazeee wazito sana mtu alie kuwa kwenye mchakato kuja pewa Taifa sio mchezo... well tusubili
 
Wanakumbi.

Tukiipitia barua mara mbili mbili tunaendelea kushangazwa sana inakuwaje balozi wa nchi mwenye jukumu la kutumikia taifa huko nje cuba, anaandika kujiuzulu kwake si kwenye majukumu aliopewa bali kwa tuhuma zinazo wasilishwa na wapinzani , kisha humo humo analalamika maswala ya CCM tena ya uteuzi na ukataj majina ambao umekuwa unazungumzwa na wapinzani na wanaharkati wakitaja majina ya watu walio katwa ndani ya CCM

Wakati huo huo na ndio ukweli CCM iko kwenye mchakato wa kupitia watia nia wooote kwenye ngazi tofauti tofauti wakisubiri halmashauri kuu ya taifa kupitia mapendekezo na kurudisha majina kwa ajili ya kura za maoni

sasa unachangaza sana balozi mzima , lakini aliekuwa katibu wa uenezi wa ccm nae hajui au amesahau utaratibu wa CCM, na anatoka na barua inatangulia vikao vya chama vya maamuzi

Hii barua itakuwa imeandikwa na wanaharakati na mambo yao sio ya level ya mtu balozi


*na ikiwa kaandika ukweli , basi hata huo ubalozi hamna mtu hapa , unfit
 
Back
Top Bottom