inawezekana ikawa kama ile movie ya Lowasa ,majamaa wakahamia chama cha chauma .Alafu ili kuinogesha movie hawa public figure wa ccm waliokatwa ubunge wahamie huko alafu mgombea urais awe mtu kama Lukuvi, Majaliwa au Polepole lazima watu wawe mateka kwa hii collabo.CCM wanawatengenezea kinyago kingine, huyo dogo ni mpango aje, atue chama flan cha upinzani.
Wabongo wasahaulifu sana.