Je kuna uasi unanukia chamani?

Je kuna uasi unanukia chamani?

Namsubiri na wambura nae hapo ndio nitajua kweli .vinginevyo hakuna jipya
 
Hii list n ndefu alafu nzito

1. Philip
2. Kassim
3. Job
4. Bashiru
5. William
6. Josephat
7. Luhaga
8. Humfrey
9. Ole
10. January
11. Nape
12. Abraham
13. Kwa mbaali Hussein
 
Kutoka kwa Gwajima, was a sign, ule ujasiri lazima una backup, hii meli inaanguka, unawezaje mtendea vile Lisu jamani?
Lissu kaingiaje hapa,

CCM wanaparurana wao kwa wao kwasababu ya maslahi siyo vinginevyo
 
Hii list n ndefu alafu nzito

1. Philip
2. Kassim
3. Job
4. Bashiru
5. William
6. Josephat
7. Luhaga
8. Humfrey
9. Ole
10. January
11. Nape
12. Abraham
13. Kwa mbaali Hussein
Mbona kama wakiamua kufanya Jambo linawezekana?
 
Je hawa watakaa kimya na kufunika kombe mwanaharamu apite?
February
Mpini
Katelefoni
Pasta Gwa
Na maamuzi ya leo ya halfrey
Unaweza kuongeza na wengine.. Lakini inawezekana kabisa October

Je hawa watakaa kimya na kufunika kombe mwanaharamu apite?
February
Mpini
Katelefoni
Pasta Gwa
Na maamuzi ya leo ya halfrey
Unaweza kuongeza na wengine.. Lakini inawezekana kabisa October mbaliView attachment 3404325
Cc Britanicca
 
Je hawa watakaa kimya na kufunika kombe mwanaharamu apite?
February
Mpini
Katelefoni
Pasta Gwa
Na maamuzi ya leo ya halfrey
Unaweza kuongeza na wengine.. Lakini inawezekana kabisa October mbaliView attachment 3404325
Katelephone mtoe hyo anaenda kuchukua nafasi ya nchimbi kukiokoa chama.
 
Back
Top Bottom