Bila ya kujali mtu zamani alikuwa wapi, alifanya nini, mahali tulipo, ambapo Tanganyika inafanywa kuwa koloni la waarabu, watanganyika wanatekwa na kuuawa ili kuhakikisha mtawala kibaraka wa waarabu anaendelea, ili akamilishe uporwaji wa rasilimali za Tanganyika; yeyote anayepinga uharamia huo, lazima aungwe mkono.
Ila hili la Polepole yawezekana ni mbinu ya CCM kuwavuta watanzania kuiunga mkono CCM wakati Sa100 atakapoondolewa kuwa mgombea. Lazima watafute mgombea ambaye ataonekana anapinga uchafu uliopo, japo akiupata uongozi anaweza kufanya uchafu ule ule.