Lukuvi naye kaliwa kichwa kwenye ubunge. Ummy naye kaliwa kichwa kwenye ubunge. Kuna kituJe hawa watakaa kimya na kufunika kombe mwanaharamu apite?
February
Mpini
Katelefoni
Pasta Gwa
Na maamuzi ya leo ya halfrey
Unaweza kuongeza na wengine.. Lakini inawezekana kabisa October mbaliView attachment 3404325
Ndiyo maana ilikuwa ni muhimu sana kumnunua Mbowe ila CHADEMA iweze kudhibitiwa. Baada ya kushindakana na kuingia Lissu, wameona watumie mashtaka ya uongo.Hii inaitwa buffee
Nae kakatwa?ONgezea Mzee wa Ismani.
Hapo lazima drama zitokee
ni kweliNimeweka la Poleole , sidhani kama ni kweli, ana guts za kuandika hivyo na akabaki salama?
SEEMS TRUE.ni
ni kweli
Ngoja tuone lakini msomali ndiyo game planner wake yuleNi opportunist unajua.. Hivyo hashindwi kucheza na miguu yote
Msomali si hayupo tena? Ila walishirikiana kwa karibu sana kupanga swafuKasalimika?
Hii inaitwa buffee
time hii watapambana📌🔨❗💥 na mfumo ndani ya mfumo .Nafikiri kumgusa Makamu wa Rais, Waziri mkuu, Mpina, Gwajima, Kanisa Katoliki, Kinana, wimbi la kukata kihuni baadhi ya wabunge ..... nina hofu.... 2015 walipambana na Lowasa .... time hii watapambanq na mfumo ndani ya mfumo ..... sioni dalili njema kwenye vita inayonukia ...... Tuliombee Taifa