Je kuna uasi unanukia chamani?

Je kuna uasi unanukia chamani?

Je hawa watakaa kimya na kufunika kombe mwanaharamu apite?
February
Mpini
Katelefoni
Pasta Gwa
Na maamuzi ya leo ya halfrey
Unaweza kuongeza na wengine.. Lakini inawezekana kabisa October mbaliView attachment 3404325
Za chini kabisa ati anko katelefoni kanyimwa fomu ya kuongeza mkataba - kaambiwa hayumo kwenye mfumo kwa kocha.

Yes kuna kaharufu ila wafanye kwa ustadi lah sivyo watajikuta wote ndani shimo la tewa.
 
Za chini kabisa ati anko katelefoni kanyimwa fomu ya kuongeza mkataba - kaambiwa hayumo kwenye mfumo kwa kocha.

Yes kuna kaharufu ila wafanye kwa ustadi lah sivyo watajikuta wote ndani shimo la tewa.
Originally zilikuwa za chinichini Ila sasa ziko upenuni.. Hakuna siri ya wawili
 
Nafikiri kumgusa Makamu wa Rais, Waziri mkuu, Mpina, Gwajima, Kanisa Katoliki, Kinana, wimbi la kukata kihuni baadhi ya wabunge ..... nina hofu.... 2015 walipambana na Lowasa .... time hii watapambanq na mfumo ndani ya mfumo ..... sioni dalili njema kwenye vita inayonukia ...... Tuliombee Taifa
Hawa wote ni wasaka Tonge tu. Wamepishana tu kwenye maslahi hao
 
Je hawa watakaa kimya na kufunika kombe mwanaharamu apite?
February
Mpini
Katelefoni
Pasta Gwa
Na maamuzi ya leo ya halfrey
Unaweza kuongeza na wengine.. Lakini inawezekana kabisa October mbaliView attachment 3404325
Mzee Mshana naona mmeamua kusitisha kwanza harakati zenu za NRNE ili mpate muda wa kufuatilia mambo ya chama mnachokipenda CCM. Safi sana. Huu ni uzalendo. Hakika kila mtanzania ni mwanaCCM.
 
Back
Top Bottom