Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 41,209
- 71,246
Tena kwa nguvu Sana🤣🤣Kwa nini mnahangaika kumtetea na kumuelezea huyo Mungu?
Tena kwa nguvu Sana🤣🤣Kwa nini mnahangaika kumtetea na kumuelezea huyo Mungu?
Hata kama hataki tumuone basi tuone hata ishara au dalili za Uwepo wake, zaidi ya maneno maneno ya bure bure kutoka kwa wahanga wa matatizo ya kiduniaKwa nini nyie muongee kwa niaba yake?
Kama yupo, AJE na AJITOKEZE Yeye mwenyewe.
Tatizo najua kila kitu kuhusu nature ya conversations za meaningless conversations za namna hiiHiyo ni bahati tu na si vinginevyo.
Alikuotesha mbawa ukapaa?
Kama sio umejuaje ni yeye?
Huyo Mungu angekuwepo, shida na misala visingekuwepo.hujawahi pitia mambo ukaona kama hakuna Mungu😀😀😀
na hujawahi ponea chupuchupu kwenye shida au msala unajua kabisa ulikua hutoboi yaani unajua kabisa hapa ni Mungu tu😀😀
na wewe unapitia magumu? usijali tuko pamoja ila usinilaumu mimi😀😀😀endelea kumlaumu Mungu mkuuUna
Unataka apipitie magumu gani unaona wewe NI mazito?
Mleta Mada kaeleza vizuri kuwa kwa mambo yanayoendelea duniani Mungu na Uwezo wa Mungu uko wapi? Hizo neema zake na Ukuu wake unaonekana kwenye nini?
Basi huyo ndiye Mungu plus kila kitu kilicho sababisha uwepo wa hayo yote na ndicho kibebayo hayo yote. Yanayo onekana na yasiyo onekanaNi Kila kitu kilichokuzunguka, unavyonusa, unavyoona na unavyohisi, vinqvyoonekana na visionekana Hadi anga.
uko sahihi kabisa😊Huyo Mungu angekuwepo, shida na misala visingekuwepo.
Mungu huyo ange epusha vyote.
Mungu huyo hayupo, Ndio maana Duniani kuna shida na misala ya kila aina.
Na HAKUNA YEYOTE wa kuepusha CHOCHOTE.
Wewe unachopinga ni uwepo wake physically au?Kama ungekuwa unajua kwa uhakika kabisa Mungu yupo, Swali la "Je kuna Mungu?" Lisingekuwepo.
Kwa sababu huwezi kuulizia kitu ambacho tayari unajua kipo.
Ni sawa sasa hivi uanze kuuliza, "Je Samia Suluhu Hassan ni Raisi wa Tanzania?" Wakati tayari unajua kabisa ni Raisi.
Sasa na kwa Mungu ni hivyo hivyo, Huyo Mungu angekuwepo kweli, Wala kusingehitajika kuulizia uwepo wake.
Kwa sababu tayari kila mtu angejua Mungu huyo yupo kwa uhakika kabisa bila hata kuamini na kuuliza.
Kuamini unaweza kuamini hata uongo.
Kwa hiyo kuwa "believer" haimaanishi kwamba ukiaminicho kina ukweli bila uthibitisho.
Kwanza lazima uthibitishe uwepo wa huyo Mungu na sio kuamini tu.
Ila mimi napenda watu wa hivyo lazima akuchallenge utoe majibu wewe hule uzi ulikimbia kabisa😂😂😂😂 nakuja kukuona siku ya piliUle uzi tulikimbiza mpaka tukachoka🤣dah
Unakubali tu ili yaishe?uko sahihi kabisa😊
Na bado hatukuumaliza siku ya piliIla mimi napenda watu wa hivyo lazima akuchallenge utoe majibu wewe hule uzi ulikimbia kabisa😂😂😂😂 nakuja kukuona siku ya pili
Thanks tushirikishe kidogo testimony yako mkuu.Kuhoji sio kutokujua bali kujiuliza kwanini unahisi nafsini mwako yupo..
I was once a non believer ila nilipo fikia the verge of breaking na akaingilia kati kuni okoa.. Hapo si kutaka hata kuuliza kwanini yupo
😂😂😂mtu asipoamini tunamuacha na imani yake kwisha habariNa bado hatukuumaliza siku ya pili
Kila mtu alibaki na imani yake🤣
Nashauri kasome the stori of job..Unakubali tu ili yaishe?
Au unatambua na kujua kwamba, Kuwepo kwa Mungu ambaye anadaiwa ni muweza wa vyote, mjuzi wa vyote, mwenye upendo na huruma kwenye Dunia iliyojaa uovu na mabaya kuna tengeneza utata?
Kwa sababu haiwezekani Mungu mwenye upendo na huruma, mjuzi wa vyote na muweza wa vyote awepo kwenye Dunia iliyojaa uovu.
Ni either Mungu huyo hana upendo na hawezi yote ndio maana Dunia ina mabaya.
Au Mungu huyo hayupo ndio maana Dunia ina mabaya.
Lakini mtu akisema Mungu anaweza yote na amejaa upendo na huruma. Wakati hapohapo Dunia imejaa Maovu ya kila aina. Kunatengeneza Utata.
Kila mtu afanye kinachompendeza ila Mungu yupo..❤😂😂😂mtu asipoamini tunamuacha na imani yake kwisha habari
Ni kwasababu umeuliza swali kwenye page yetu, huku tupo sisi😁Kwa nini mnahangaika kumtetea na kumuelezea huyo Mungu?
Kama yupo, Si ajitokeze mwenyewe ajidhihirishe na kujitetea, kama ana huo uwezo?
Kwa nini nyie muongee kwa niaba yake?
Kama yupo, AJE na AJITOKEZE Yeye mwenyewe.
Sio nyie mnahangaika kumtetea na kumuelezea.
siwezi kubishia unachokiamini, siwezi kubadilisha mtazamo wangu kwa sababu umesema lakini pia siwezi kukulazimisha usmini ninachokiaminiUnakubali tu ili yaishe?
Au unatambua na kujua kwamba, Kuwepo kwa Mungu ambaye anadaiwa ni muweza wa vyote, mjuzi wa vyote, mwenye upendo na huruma kwenye Dunia iliyojaa uovu na mabaya kuna tengeneza utata?
Kwa sababu haiwezekani Mungu mwenye upendo na huruma, mjuzi wa vyote na muweza wa vyote awepo kwenye Dunia iliyojaa uovu.
Ni either Mungu huyo hana upendo na hawezi yote ndio maana Dunia ina mabaya.
Au Mungu huyo hayupo ndio maana Dunia ina mabaya.
Lakini mtu akisema Mungu anaweza yote na amejaa upendo na huruma. Wakati hapohapo Dunia imejaa Maovu ya kila aina. Kunatengeneza Utata.
Mkuu kuna sisi ambao unafika stage una transcend mitazamo na falsafa yaani unagundua vyote ni kuzunguka mbuyu tuu.Hakuna mwana sayansi au tafiti za kisayansi imethinitisha hilo" wala "kupinga" uwepo wa Mungu kwa kutumia vipimo vya kimaabara,
jibu la swali hili mara nyingi hubaki kuwa la imani ya mtu binafsi, mtazamo wake wa kifalsafa, na jinsi anavyotafsiri mazingira na maisha yanayomzunguka.