Je, Kuna mkakati wa kuwatisha viongozi wa nchi hii?

Wana JF na Watanzania,

Kuna kundi limejitanabaisha humu kama wao ndio waamuzi wakuu wa hatma ya nchi.

Huko nyuma mwandishi mmoja wa kundi hilo amekuwa akiandika na kuyaita maandishi yake kama "maono", badae akaanza kusema anawasilisha yaliyopitishwa "mezani", badae alivyopata kuaminika hasa hapa JF anajitambulisha na kujibu thread kama sehemu ya akiitacho yeye "thestate". ;/0101...

Mwandishi huyu wa kundi hili amekuwa akiandika makala mfululizo, akisema mpango wa kufanya hiki, mpango wa kumuondoa yule, n.k
Japo anajifanya kusema kimafumbo ila hata "paka" anang'amua maana ya mafumbo yake.

Kilichofanya aaminike hapa JF ni baadhi ya bashiri zake zilizoenda "walivyopanga".

Kwanza niwaambie Watanzania, hakuna mpango wa '0101...' unaoahirishwa. Eti leo lipangwe jambo flani, halafu badae waje waseme tumeahirisha jambo hilo, tunatazamia. Hakuna '0101...' yenye akili ndogo kama hiyo.
Yani eti '0101...' iwe inakurupuka, ipitishe jambo then irudi nyuma! Haipo! Never.
Kama msomaji wangu, hiyo '0101...' inakutatiza, weka "thestate" anayotumia huyo mwandishi wao.

Sasa huyu mwandishi wao 'TA' ni mwakilishi wa kundi flani ambalo halitaki vyovyote vile 'maslahi' yao binafsi yaguswe. Kinachowapa nguvu ni kwamba wana link maslahi yao na maslahi ya jabali flani la taifa kubwa, na hata baadhi ya mipango hutokea huko.
Ukisoma maandishi yao, ni kwamba sasa hivi kundi hili limeshawatisha viongozi wote wakubwa waliopo, P, VP, PM, PS, S, CJ, n.k

Of course wamewaambia kwamba wao hawagusiki, na wanawapa mifano ya huko nyuma.

Mimi sitetei uozo wa kiongozi yeyote, lakini nachokataa na naamini ni hatari, kuwa na kundi flani ktk nchi eti linahodhi maslahi na kuamua ili mambo yao binafsi na watu wao yaende.

Sasa nikuulize 'TA' mwandishi wa kundi hili.
Unajua kwamba lile jabali la nchi ile kubwa, linamtumia 'JM' anayeongoza nyumba ile muhimu?!
Je, mnajua jabali hilo la nchi hiyo kubwa linataka 'JM' agawanye nyumba ile, na ziwe nyumba tatu?! Halafu wao wakabidhiwe nyumba mbili, tubaki na moja?!
Je, mnajua steji ya kwanza ya mkakati huo imeshatekelezwa vema na ndg 'JM'?
Jabali lile la nchi kubwa, linamjua vyema 'JM', lilishawahi mlea wkt flani, na linajua tamaa yake.
Leo linamtumia 'JM' kuhakikisha nyumba ile inakuwa vipande vitatu, na wao wapewe viwili.

Huyu 'JM' ni sehemu yenu mnaojiita "thestate".
Ni kundi ambalo mkihakikishiwa maslahi yenu hamna shida kabisa.

Taifa ndio linalopoteza. Nyie akina 'TA' ni maslahi tu.

Subiri muone hilo jabali la nchi ile kubwa linachokifanya kupitia "JM", Taifa linaenda kutolewa meno. Eti nyie "thestate" mpo...!

Asomaye JF na ang'amue, hakuna '0101...' wa kukesha huku mtandaoni.
Pole Taifa.
Naomba na naendelea kuomba vyombo vyetu vya usalama, kufungua macho zaidi.

Ninaamini mh. Rais anazidiwa "kete" mahali.

Ana hofu na jambo, ila hawezi kufanya kinyume na wanaomtisha.
 
Mkuu

Siamini kabisa kuwa T.A ni member wa hilo kundi, inawezekana kundi lina nguvu LAKINI sio kuzidi 0101!

Ingekuwa ni hivyo unavodhani !hali ingekuwa MBAYA Sana kuliko Sasa!!!

Nadhani T.A anatumwa kumbe za wale 0101 sio hao jamaa!
Niambie hali ikoje sasa ..
 
Wana JF na Watanzania,

Kuna kundi limejitanabaisha humu kama wao ndio waamuzi wakuu wa hatma ya nchi.

Huko nyuma mwandishi mmoja wa kundi hilo amekuwa akiandika na kuyaita maandishi yake kama "maono", badae akaanza kusema anawasilisha yaliyopitishwa "mezani", badae alivyopata kuaminika hasa hapa JF anajitambulisha na kujibu thread kama sehemu ya akiitacho yeye "thestate". ;/0101...

Mwandishi huyu wa kundi hili amekuwa akiandika makala mfululizo, akisema mpango wa kufanya hiki, mpango wa kumuondoa yule, n.k
Japo anajifanya kusema kimafumbo ila hata "paka" anang'amua maana ya mafumbo yake.

Kilichofanya aaminike hapa JF ni baadhi ya bashiri zake zilizoenda "walivyopanga".

Kwanza niwaambie Watanzania, hakuna mpango wa '0101...' unaoahirishwa. Eti leo lipangwe jambo flani, halafu badae waje waseme tumeahirisha jambo hilo, tunatazamia. Hakuna '0101...' yenye akili ndogo kama hiyo.
Yani eti '0101...' iwe inakurupuka, ipitishe jambo then irudi nyuma! Haipo! Never.
Kama msomaji wangu, hiyo '0101...' inakutatiza, weka "thestate" anayotumia huyo mwandishi wao.

Sasa huyu mwandishi wao 'TA' ni mwakilishi wa kundi flani ambalo halitaki vyovyote vile 'maslahi' yao binafsi yaguswe. Kinachowapa nguvu ni kwamba wana link maslahi yao na maslahi ya jabali flani la taifa kubwa, na hata baadhi ya mipango hutokea huko.
Ukisoma maandishi yao, ni kwamba sasa hivi kundi hili limeshawatisha viongozi wote wakubwa waliopo, P, VP, PM, PS, S, CJ, n.k

Of course wamewaambia kwamba wao hawagusiki, na wanawapa mifano ya huko nyuma.

Mimi sitetei uozo wa kiongozi yeyote, lakini nachokataa na naamini ni hatari, kuwa na kundi flani ktk nchi eti linahodhi maslahi na kuamua ili mambo yao binafsi na watu wao yaende.

Sasa nikuulize 'TA' mwandishi wa kundi hili.
Unajua kwamba lile jabali la nchi ile kubwa, linamtumia 'JM' anayeongoza nyumba ile muhimu?!
Je, mnajua jabali hilo la nchi hiyo kubwa linataka 'JM' agawanye nyumba ile, na ziwe nyumba tatu?! Halafu wao wakabidhiwe nyumba mbili, tubaki na moja?!
Je, mnajua steji ya kwanza ya mkakati huo imeshatekelezwa vema na ndg 'JM'?
Jabali lile la nchi kubwa, linamjua vyema 'JM', lilishawahi mlea wkt flani, na linajua tamaa yake.
Leo linamtumia 'JM' kuhakikisha nyumba ile inakuwa vipande vitatu, na wao wapewe viwili.

Huyu 'JM' ni sehemu yenu mnaojiita "thestate".
Ni kundi ambalo mkihakikishiwa maslahi yenu hamna shida kabisa.

Taifa ndio linalopoteza. Nyie akina 'TA' ni maslahi tu.

Subiri muone hilo jabali la nchi ile kubwa linachokifanya kupitia "JM", Taifa linaenda kutolewa meno. Eti nyie "thestate" mpo...!

Asomaye JF na ang'amue, hakuna '0101...' wa kukesha huku mtandaoni.
Pole Taifa.
Full coded.

Narudi
 
Hata mimi sio wa jikoni Mkuu!!

Kwani unaona vitisho vyovyote!!?

Mi naona shwari na anajiamini mbona!!?
Hahaha, bado huoni.

Ulishaenda shule ya udereva?!

Nipe picha , Yeye ni dereva mwanafunzi, halafu kuna dereva mwalimu pembeni yake.

Anaambiwa kata kulia.
Anakata, lakini anajiuliza kwa nini nikate kulia, mbona sijawasha indicator?!
 
Hahaha, bado huoni.

Ulishaenda shule ya udereva?!

Nipe picha , Yeye ni dereva mwanafunzi, halafu kuna dereva mwalimu pembeni yake.

Anaambiwa kata kulia.
Anakata, lakini anajiuliza kwa nini nikate kulia, mbona sijawasha indicator?!
Mkuu
Hata nikienda shule ya udereva,kama sipo kwenye viunga,mioyo, mpangokazi wa hao 0101 nitapenyaje!!?

Just a humble dreamer!!
 
Naomba na naendelea kuomba vyombo vyetu vya usalama, kufungua macho zaidi.

Ninaamini mh. Rais anazidiwa "kete" mahali.

Ana hofu na jambo, ila hawezi kufanya kinyume na wanaomtisha.
Inasemekana eti,ameamua kuungana na paka ili kulishinda lile kundi hatari linalompangia cha kufanya!!!

Eti NDIO maana ili KUPATA support si ndio hiyo dp world ikakolea!!?

Eti we unaonaje!!?

Kuhusu T.A alikuja na uzi mwingine majuzi juzi!

Eti ile operation iliyositishwa imeanza tena akisema tusubiri after a few days!

Ukitaka kuusoma uzi huo!mtafute Gagnija fatilia post zake utaukuta moderators walisepa nao!!

Hivyo tu MKUU!!
 
Inasemekana eti,ameamua kuungana na paka ili kulishinda lile kundi hatari linalompangia cha kufanya!!!

Eti NDIO maana ili KUPATA support si ndio hiyo dp world ikakolea!!?

Eti we unaonaje!!?

Kuhusu T.A alikuja na uzi mwingine majuzi juzi!

Eti ile operation iliyositishwa imeanza tena akisema tusubiri after a few days!

Ukitaka kuusoma uzi huo!mtafute Gagnija fatilia post zake utaukuta moderators walisepa nao!!

Hivyo tu MKUU!!
Uzi ninao,
Ukimjua mchoraji wa DP World, wala hutamsingizia PaKa
 
Kwa kawaida vita (cold war) kati ya wazalendo na wanyonyaji huwa haziishi. Ni tangu enzi na enzi. Hupoa kwa muda ila badae hurudi tena.

Wazalendo wakishindwa basi wanyonyaji huanza kupambana wao kwa wao mpaka wazalendo wakiinuka tena.

Mfano unalionaje suala la bandari?

.......The League..….
 
Back
Top Bottom