kilamba lamba
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 378
- 691
Nawasalimu sana wana jamvi. Natumai mko vizuri na mungu ana bless sana.
Hivi najiuliza. Je kuna ishara yoyote amabyo mwanaume anaweza kupata ikiwa mimba ni ya kwake kwa mwanamke yoyote . Awe anaishi nae au yupo mbali nae.
Kwa wanaojua hilo naomba washushe nondo hapa tuzijue na sisi.
Hivi najiuliza. Je kuna ishara yoyote amabyo mwanaume anaweza kupata ikiwa mimba ni ya kwake kwa mwanamke yoyote . Awe anaishi nae au yupo mbali nae.
Kwa wanaojua hilo naomba washushe nondo hapa tuzijue na sisi.