Bi dentamol
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 987
- 1,912
It's lady action again.....drama queen.
Haya najua wengi mtatukana weee lakini ndio nishaumbwa hivi sasa nitafanyaje?
Ipo hivi baada ya kutengana na mume kwa miezi kama 4 hivi, nimerudi na kudai vitu vyangu anazingua kunipa inabidi nibebe vyeti vyake vya shule kuanzia Kuzaliwa, Form Four, Diploma mpaka Degree.
Lengo sio kukaa nacho, lengo mpaka anipe haki yangu ndio nimpe ikiwemo na pesa nilizochangia kujenga nyumba
Je, kuna hatua zozote kisheria? Anaweza kuchukua jamaa?
Haya najua wengi mtatukana weee lakini ndio nishaumbwa hivi sasa nitafanyaje?
Ipo hivi baada ya kutengana na mume kwa miezi kama 4 hivi, nimerudi na kudai vitu vyangu anazingua kunipa inabidi nibebe vyeti vyake vya shule kuanzia Kuzaliwa, Form Four, Diploma mpaka Degree.
Lengo sio kukaa nacho, lengo mpaka anipe haki yangu ndio nimpe ikiwemo na pesa nilizochangia kujenga nyumba
Je, kuna hatua zozote kisheria? Anaweza kuchukua jamaa?