Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,936
- 4,347
Hata Shetani mwenyewe ni ushairi tu, hayupo. Ni tungo za watu tu.
Mungu aliyeandikwa kwenye hivi vitabu kama Biblia na Quran pia hayupo.
Ni hekaya za watu tu.
Hata Shetani mwenyewe ni ushairi tu, hayupo. Ni tungo za watu tu.
Mungu aliyeandikwa kwenye hivi vitabu kama Biblia na Quran pia hayupo.
Ni hekaya za watu tu.
Kuna mambo mengi tunakwenda kwa mazoea tu.Buana wewe nimewahi kusikia mala nyingi kua kuna viumbe kama majini mizumu inasaidika kua hao viumbe wanaishi hua sipati majibu maana hakuna anayenithibitishia kwa macho nikashuhudia je unautambuzi na hivi vitu tuanzie hapo
Biblia ipi ? Itaje..Tafsiri tu, biblia zingine wanasema walipigana.
So ?Kupigana si lazima kwa ngumi na mawe. Kuna kupigana kisheria, kimaneno, kisiasa, kiimani.
Nikizumgumza jambo ukanipinga na mm nikaanza kukupinga hapo tunapigana kwa maneno au tunabishana.
Ukisoma kitabu cha Daniel. Kuna kipindi Daniel wakati yupo huko Uajemi aliamua kufunga kwa wiki tatu. Hakuoga, hakunywa pombe(divai), hakula nyama wala msosi wowote mzuri. Sasa kumbe malaika aliyekuwa ametumwa kuleta majibu wakati analeta akakutana na mkuu wa ufalme wa Uajemi, wakaanza kupigana kwa siku 21. Malaika akaelemewa hadi alipokuja Mikaeli, malaika mkuu kumsaidia. Kwa hiyo yeye akapeleka ujumbe na kumuacha Mikaeli akimalizana na mkuu wa Uajemi na waambata wake.
Sasa huyu mkuu wa ufalme wa uajemi aliyeweza kupambana na malaika na kumzidi nguvu hadi Malaika mkuu akaja kumsaidia ni nani? Inawezekana alikuwa ni binadamu? Au ni aina ya shetani?
Je, kila taifa lina shetani wake wa kuliongoza?
Hapa ni Daniel sura ya kumi kuanzia mstari wa 11 lakini ishu yenyewe ni huo mstari wa 13.
11 Akaniambia, Ee Danieli, mtu upendwaye sana, yafahamu maneno nikuambiayo, ukasimame kiwima-wima; maana kwako nimetumwa sasa. Na aliponiambia neno hili, nalisimama nikitetemeka.
12 Ndipo akaniambia, Usiogope, Danieli; kwa maana tangu siku ile ya kwanza ulipotia moyo wako ufahamu, na kujinyenyekeza mbele za Mungu wako, maneno yako yalisikiwa; nami nimekuja kwa ajili ya maneno yako.
13 Lakini mkuu wa ufalme wa Uajemi alinipinga siku ishirini na moja; bali, tazama, huyo Mikaeli, mmoja wa hao wakuu wa mbele, akaja kunisaidia; nami nikamwacha huko pamoja na wafalme wa Uajemi.
14 Sasa nimekuja kukufahamisha mambo yatakayowapata watu wako katika siku za mwisho; maana maono hayo ni ya siku nyingi bado.
15 Na alipokwisha kusema nami
Amber luttyShetani wa bongo anaweza kuwa nani?
Sawa boss!Hata Shetani mwenyewe ni ushairi tu, hayupo. Ni tungo za watu tu.
Mungu aliyeandikwa kwenye hivi vitabu kama Biblia na Quran pia hayupo.
Ni hekaya za watu tu.
Ndo malaika alishindwa na hizo nguvuUajemi imetumika kama nchi au mkoa fulani.
Na vita inayozungumziwa hapa ni ya kiroho kati ya shetani na MUNGU.
Kwenye kila nchi au eneo fulani kuna madhabahu za kishetani zinazotengenezwa na binadamu wanaomuabudu shetani ili kusimamisha au kuwakilisha utawala wa shetani hapa duniani.
Hizi madhabahu zinatawaliwa na majeshi ya kipepo (wawakilishi wa shetani maana shetani ameshafungiwa kuzimu). Kazi kubwa ya hawa mapepo au "wakuu wa giza" ni kupinga au kuzuia baraka za wanadamu zinazotoka kwa Mungu "Efe 6:10-13".
Ndio maana sehemu zenye wachawi/ washirikina wengi ni ngumu kufanikiwa endapo hutakuwa na msaada wa NGUVU ZA MUNGU; Vinginevyo uungane nao.
Hata Shetani mwenyewe ni ushairi tu, hayupo. Ni tungo za watu tu.
Mungu aliyeandikwa kwenye hivi vitabu kama Biblia na Quran pia hayupo.
Ni hekaya za watu tu.
Ili nijue naanzia wapi kukuelewesha,Ndo malaika alishindwa na hizo nguvu
Kwanza ki roho ni nini....❓
Vita vya kiroho vikoje hivyo unapigana kwa kuhisi tu kua unaadui bila kumuona ama imekaaje hapo ebu nieleweshe
Huyu jamaa ni wa kummpuuzaSijui Kala maharage ya wapi huyu
Hapo jibu ni ndio hapanaIli nijue naanzia wapi kukuelewesha,
Je unafahamu kuna uchawi?
Kwenye ulimwengu wa roho, anga huwa zina wakuu wake, Katika hili Malaika ambaye ni messenger, alikutana na malaika mpigana vita wa upande ule mwingine. Malaika Gabriel ni special kwa ajili ya kupeleka jumbe tu na si kwa ajili ya kupigana vita. na ndiyo maana alijaribu lakin akashindwa. Malaika special kwa ajili ya vita ni Mikael. Kumbuka kuwa huyu aliyekuwa amebeba ujumbe wa Daniel. ndiyo huyo huyo alyepeleka ujumbe kwa Mariam kumweleza kuwa atamzaa mtoto YesuUkisoma kitabu cha Daniel. Kuna kipindi Daniel wakati yupo huko Uajemi aliamua kufunga kwa wiki tatu. Hakuoga, hakunywa pombe(divai), hakula nyama wala msosi wowote mzuri. Sasa kumbe malaika aliyekuwa ametumwa kuleta majibu wakati analeta akakutana na mkuu wa ufalme wa Uajemi, wakaanza kupigana kwa siku 21. Malaika akaelemewa hadi alipokuja Mikaeli, malaika mkuu kumsaidia. Kwa hiyo yeye akapeleka ujumbe na kumuacha Mikaeli akimalizana na mkuu wa Uajemi na waambata wake.
Sasa huyu mkuu wa ufalme wa uajemi aliyeweza kupambana na malaika na kumzidi nguvu hadi Malaika mkuu akaja kumsaidia ni nani? Inawezekana alikuwa ni binadamu? Au ni aina ya shetani?
Je, kila taifa lina shetani wake wa kuliongoza?
Hapa ni Daniel sura ya kumi kuanzia mstari wa 11 lakini ishu yenyewe ni huo mstari wa 13.
11 Akaniambia, Ee Danieli, mtu upendwaye sana, yafahamu maneno nikuambiayo, ukasimame kiwima-wima; maana kwako nimetumwa sasa. Na aliponiambia neno hili, nalisimama nikitetemeka.
12 Ndipo akaniambia, Usiogope, Danieli; kwa maana tangu siku ile ya kwanza ulipotia moyo wako ufahamu, na kujinyenyekeza mbele za Mungu wako, maneno yako yalisikiwa; nami nimekuja kwa ajili ya maneno yako.
13 Lakini mkuu wa ufalme wa Uajemi alinipinga siku ishirini na moja; bali, tazama, huyo Mikaeli, mmoja wa hao wakuu wa mbele, akaja kunisaidia; nami nikamwacha huko pamoja na wafalme wa Uajemi.
14 Sasa nimekuja kukufahamisha mambo yatakayowapata watu wako katika siku za mwisho; maana maono hayo ni ya siku nyingi bado.
15 Na alipokwisha kusema nami
Kama Mungu hayupo ,ni nani aliye iumba dunia?Hata Shetani mwenyewe ni ushairi tu, hayupo. Ni tungo za watu tu.
Mungu aliyeandikwa kwenye hivi vitabu kama Biblia na Quran pia hayupo.
Ni hekaya za watu tu.
Luka 4:5 Basi akampeleka juu na kumwonyesha mara moja falme zote za dunia inayokaliwa.6 Kisha Ibilisi akamwambia: “Nitakupa mamlaka yote hii na utukufu wake, kwa sababu nimepewa, nami humpa yeyote ninayetaka.7 Kwa hiyo, ukifanya tendo la ibada mbele yangu, yote itakuwa yako.”
kwa hiyo;Kupigana si lazima kwa ngumi na mawe. Kuna kupigana kisheria, kimaneno, kisiasa, kiimani.
Nikizumgumza jambo ukanipinga na mm nikaanza kukupinga hapo tunapigana kwa maneno au tunabishana.