Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 14,523
- 27,020
Mnachekesha sana, Jaji kajibu hoja za mawakili wenu vizuri sana, mifano yote waloainisha kwa pingamizi haiendani na swala walowekea pingamizi, lakini pia sheria ya tafsiri ya sheria iko wazi, jina la sheria tu linatosha na kumbuka Tanzania Bara kuna CPA moja tu, hoja nyepesi sana ile.
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Jaji alitumia tafsiri ya kamusi [TUKI], bila kifungu chochote cha kisheria.