Je, kazi ya Jaji kwenye kesi ya Mbowe ni kurekebisha sheria Mahakamani au kutoa tafsiri ya sheria?

seedfarm

JF-Expert Member
Feb 9, 2020
260
2,654
Jaji Tiganga anayesikiliza kesi ya Freeman Mbowe inayohusiana na ugaidi amekubali kuwa sheria iliyotumika ili ushahidi upokelewe mahakamani imekosewa kutoka upande wa mamlaka ya kiserikali au Mashtaka.

Maajabu, Kwanini Jaji Tiganga amelazimisha kupokea huo ushahidi wakati kuna kesi nyingi alizoamua Yeye mwenyewe zamani alizitupilia mbali kwa kigezo cha kutumia kifungu tofauti yaani(Wrong Citation).

Swali 1,
Je Jaji Tiganga Yeye amegeuka kuwa Bunge la kutunga sheria kwa kuamua kurekebisha sheria akiwa mahakamani badala ya kutafsiri?

Kitendo alichofanya Jaji Tiganga eti pingamizi halina Madhara ni kunajisi mahakama, Ni dhahiri haki haiwezi kupatikana kwenye kesi ya Mbowe.


vitendo kadhaa anavyovionyesha Jaji Tiganga mahakamani vinasikitisha sana Raia, Kwa mfano kuna muda analazimisha maneno ambayo mashahidi wa serikali hawajayatamka na yeye anasema aliyasikia, Anapoambiwa mheshimiwa soma Inaonekana hilo neno halipo.

Swali 2,
Je Kitendo cha Jaji kuwa omba msamaha mashahidi wa Mashtaka yaani upande wa serikali kwa kuhojiwa maswali magumu na upande wa utetezi inaleta picha gani?

Ni dhahiri hukumu ya hii kesi walishaandaa kwa kuamua kupindisha sheria.

Kesi hii imekuwa ya Zig zag na ya kutokueleweka kabisa, Kesi hii na Jaji huyu anaifedhehesha mahakama.

Hawa majaji ndio wanajenga Taifa linalogawanyika.

Je hawa Majaji ni Raia wa Tanzania?

Nashindwa kuelewa kabisa kwanini Majaji wengi aliowateua JPM hayati wanatuharibia Taifa, JPM aliwapa kitu gani hawa watu mpaka kufukia sehemu ya kuchochea utengamano wa Taifa kwa kutokufuata msingi ya sheria ya Bunge.
 
Umeanza vizuri napoint nzuri mwisho unamalizia na uzwazwa, hivi jpm yupo hapa sasaivi, unamlaumu yeye ndio anaongoza serikali sasaivi? Kwanini usimlaumu kiongozi mkuu awabadolishe hao majaji.

Mnamfanya mwenye mamlaka nayeye kujificha kwenye hizolawama za kipuuzi.

Mkianza kumsifia mama wote mnakenuamimeno mnasema aaaaah hakuwachagua yeye hawa sindio!!.

Mnapoteza muda na nguvu nyingi kupambana na marehemu hovyo sana nyinyi watu.
 
Umeanza vizuri napoint nzuri mwisho unamalizia na uzwazwa, hivi jpm yupo hapa sasaivi, unamlaumu yeye ndio anaongoza serikali sasaivi? Kwanini usimlaumu kiongozi mkuu awabadolishe hao majaji.
Mnamfanya mwenye mamlaka nayeye kujificha kwenye hizolawama za kipuuzi.

Mkianza kumsifia mama wote mnakenuamimeno mnasema aaaaah hakuwachagua yeye hawa sindio!!.

Mnapoteza muda na nguvu nyingi kupambana na marehemu hovyo sana nyinyi watu.
Toa hoja, Matusi hayatakusaidia kwenye maisha yako hapa Duniani

Hoja hujibiwa kwa hoja

Mtu asiyekuwa na hoja mara nyingi anapata hasira na kukimbilia kutukana matusi

Matusi hayajengi wala hayakuongezei pesa mfukoni
 
Jaji Tiganga anayesikiliza kesi ya Freeman Mbowe inayohusiana na ugaidi amekubali kuwa sheria iliyotumika ili ushahidi upokelewe mahakamani imekosewa kutoka upande wa mamlaka ya kiserikali au Mashtaka

Maajabu, Kwanini Jaji Tiganga amelazimisha kupokea huo ushahidi wakati kuna kesi nyingi alizoamua Yeye mwenyewe zamani alizitupilia mbali kwa kigezo cha kutumia kifungu tofauti yaani(Wrong Citation)

Swali 1,
Je Jaji Tiganga Yeye amegeuka kuwa Bunge la kutunga sheria kwa kuamua kurekebisha sheria akiwa mahakamani badala ya kutafsiri?

Kitendo alichofanya Jaji Tiganga eti pingamizi halina Madhara ni kunajisi mahakama, Ni dhahiri haki haiwezi kupatikana kwenye kesi ya Mbowe


vitendo kadhaa anavyovionyesha Jaji Tiganga mahakamani vinasikitisha sana Raia, Kwa mfano kuna muda analazimisha maneno ambayo mashahidi wa serikali hawajayatamka na yeye anasema aliyasikia, Anapoambiwa mheshimiwa soma Inaonekana hilo neno halipo

Swali 2,
Je Kitendo cha Jaji kuwa omba msamaha mashahidi wa Mashtaka yaani upande wa serikali kwa kuhojiwa maswali magumu na upande wa utetezi inaleta picha gani?

Ni dhahiri hukumu ya hii kesi walishaandaa kwa kuamua kupindisha sheria

Kesi hii imekuwa ya Zig zag na ya kutokueleweka kabisa, Kesi hii na Jaji huyu anaifedhehesha mahakama

Hawa majaji ndio wanajenga Taifa linalogawanyika

Je hawa Majaji ni Raia wa Tanzania?

Nashindwa kuelewa kabisa kwanini Majaji wengi aliowateua JPM hayati wanatuharibia Taifa, JPM aliwapa kitu gani hawa watu mpaka kufukia sehemu ya kuchochea utengamano wa Taifa kwa kutokufuata msingi ya sheria ya Bunge
Unapopewa maagizo na mamlaka unatakiwa utumie juhudi zako binafsi kufanikisha lengo la bosi wako, mimi sitasahau siku ambayo jaji mkuu mstaafu Chande alipomlalamikia mwendazake ikulu kuwa memo za maelekezo ya maamuzi zinawapa shida majaji kwenye kutoa haki! Tanzania ni nchi nzuri sana kwani hilo lilipita hewani kama upepo wa pwani, tusilalamike kwani tumekubali wenyewe kutawaliwa na CCM badala ya kuongozwa na CCM.
 
Acha mahakama ifanye kazi yake, akishinda kesi ashinde kwa sababu hakupanga na kufanya jinai na si kwa technicalities za kisheria...si mnasema hakufanya kosa? mnaogopa nini sasa??!!!

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Acha mahakama ifanye kazi yake, akishinda kesi ashinde kwa sababu hakupanga na kufanya jinai na si kwa technicalities za kisheria...si mnasema hakufanya kosa? mnaogopa nini sasa??!!!

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Mahakama haitakiwi kutumia hisani za Jaji, inatakiwa itumie sheria kama ilivyo, mambo ya mkono wa mungu mahakamani si mahali pake.
 
Toa hoja, Matusi hayatakusaidia kwenye maisha yako hapa Duniani

Hoja hujibiwa kwa hoja

Mtu asiyekuwa na hoja mara nyingi anapata hasira na kukimbilia kutukana matusi

Matusi hayajengi wala hayakuongezei pesa mfukoni

Chawa huyo:

IMG_20211110_040527_848.jpg


Polisi wavamia CHADEMA Karatu ni muendelezo wa siasa zilizopitwa na wakati
 
Acha mahakama ifanye kazi yake, akishinda kesi ashinde kwa sababu hakupanga na kufanya jinai na si kwa technicalities za kisheria...si mnasema hakufanya kosa? mnaogopa nini sasa??!!!

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Sheria ndio inatumika mahakamani sio utashi wa mtu

Mwizi wa Kuku, Mahakamani unapeleka ushahidi wa Komputa, Ukiulizwa unasema ulikosea kidogo ushahidi Utaleta kesho manyoya aliyoyaacha mchinjaji

Hivyo unaomba mahakama ipokee kielelezo cha Manyoya kwani Komputa ni makosa tu ya kisheria
 
Sheria ndio inatumika mahakamani sio utashi wa mtu

Mwizi wa Kuku, Mahakamani unapeleka ushahidi wa Komputa, Ukiulizwa unasema ulikosea kidogo ushahidi Utaleta kesho manyoya aliyoyaacha mchinjaji

Hivyo unaomba mahakama ipokee kielelezo cha Manyoya kwani Komputa ni makosa tu ya kisheria
Nowanda mnatapatapa...angalia vile unaleta mfano ambao ni irrelevant hapa, pathetic...

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Una maana hazipo kesi zinazotupwa kwa sababu ikiwamo za technicalities?
Inategemea na uzito wa tuhuma, swala linalogusa maslahi mapana ya umma kama hilo mnataka mshinde kipuuzi tu, mnapenda sana mngemuonya aache, na mkumbuke jinai huwa haifi, Feleshi leo ndo AG, mkizingua sana anayafufua ya 2010 Igunga na Mwanza ambayo JK alifunika kombe.

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Mahakama haitakiwi kutumia hisani za Jaji, inatakiwa itumie sheria kama ilivyo, mambo ya mkono wa mungu mahakamani si mahali pake.
Mnachekesha sana, Jaji kajibu hoja za mawakili wenu vizuri sana, mifano yote waloainisha kwa pingamizi haiendani na swala walowekea pingamizi, lakini pia sheria ya tafsiri ya sheria iko wazi, jina la sheria tu linatosha na kumbuka Tanzania Bara kuna CPA moja tu, hoja nyepesi sana ile.

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Inategemea na uzito wa tuhuma, swala linalogusa maslahi mapana ya umma kama hilo mnataka mshinde kipuuzi tu, mnapenda sana mngemuonya aache, na mkumbuke jinai huwa haifi, Feleshi leo ndo AG, mkizingua sana anayafufua ya 2010 Igunga na Mwanza ambayo JK alifunika kombe.

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app

Kwamba inategemea na tuhuma? Si kuwa maandalizi ya kufanya "arbitrary rulings" ambayo sheria inakataa? Hizi si ndiyo zinaitwa longo longo sasa?

Iddi Amini alikuwa genius kuziona:

Kesi ya Mbowe: Tujipange zaidi kwenye kuuweka Uongo Peupe

Kwa marefa wa hivi shinda KO kuondoa longo longo zao.
 
Inategemea na uzito wa tuhuma, swala linalogusa maslahi mapana ya umma kama hilo mnataka mshinde kipuuzi tu, mnapenda sana mngemuonya aache, na mkumbuke jinai huwa haifi, Feleshi leo ndo AG, mkizingua sana anayafufua ya 2010 Igunga na Mwanza ambayo JK alifunika kombe.

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Mpaka sasa huo ugaidi haujaonekana, hiyo bastola kwako ndiyo silaha nzito ya kufanyia ugaidi! Wengine tulitegemea mwanzo tu tungeoneshwa silaha zilizoandaliwa kufanyia ugaidi ni si mbege na nyama choma, kesi ya ugaidi inatumia muda mrefu kuzungumzia uzurulaji na nyama choma!
Kesi hii haipo kwani Rais alikwisha thibitisha tuhuma na waliokwisha hukumiwa japo wasio wanaccm hawakuisikia kesi hiyo. Kabla jeshi la polisi kutumia ushahidi wa kukata miti Dar mpaka Iringa wangeweka ushahidi wa kulipua daraja la Ruvu na Ruaha Mbuyuni na madogo madogo mengine angalau ungeeleweka. Katika ugaidi wote unaofanyika duniani hatujawahi kushuhudia uchomaji wa vituo vya mafuta ukiua watu au kuangusha serikali. Ugaidi wote hufanyika kwa lengo maalum na unakuwa na viongozi waliojipanga pamoja na silaha nzito.
 
Jaji Tiganga anayesikiliza kesi ya Freeman Mbowe inayohusiana na ugaidi amekubali kuwa sheria iliyotumika ili ushahidi upokelewe mahakamani imekosewa kutoka upande wa mamlaka ya kiserikali au Mashtaka

Maajabu, Kwanini Jaji Tiganga amelazimisha kupokea huo ushahidi wakati kuna kesi nyingi alizoamua Yeye mwenyewe zamani alizitupilia mbali kwa kigezo cha kutumia kifungu tofauti yaani(Wrong Citation)

Swali 1,
Je Jaji Tiganga Yeye amegeuka kuwa Bunge la kutunga sheria kwa kuamua kurekebisha sheria akiwa mahakamani badala ya kutafsiri?

Kitendo alichofanya Jaji Tiganga eti pingamizi halina Madhara ni kunajisi mahakama, Ni dhahiri haki haiwezi kupatikana kwenye kesi ya Mbowe


vitendo kadhaa anavyovionyesha Jaji Tiganga mahakamani vinasikitisha sana Raia, Kwa mfano kuna muda analazimisha maneno ambayo mashahidi wa serikali hawajayatamka na yeye anasema aliyasikia, Anapoambiwa mheshimiwa soma Inaonekana hilo neno halipo

Swali 2,
Je Kitendo cha Jaji kuwa omba msamaha mashahidi wa Mashtaka yaani upande wa serikali kwa kuhojiwa maswali magumu na upande wa utetezi inaleta picha gani?

Ni dhahiri hukumu ya hii kesi walishaandaa kwa kuamua kupindisha sheria

Kesi hii imekuwa ya Zig zag na ya kutokueleweka kabisa, Kesi hii na Jaji huyu anaifedhehesha mahakama

Hawa majaji ndio wanajenga Taifa linalogawanyika

Je hawa Majaji ni Raia wa Tanzania?

Nashindwa kuelewa kabisa kwanini Majaji wengi aliowateua JPM hayati wanatuharibia Taifa, JPM aliwapa kitu gani hawa watu mpaka kufukia sehemu ya kuchochea utengamano wa Taifa kwa kutokufuata msingi ya sheria ya Bunge
Kuna mahali tunapelekwa kwa makusudi kabisa na watu wenye nia ovu. Wamelichezea bunge mpaka limedharaulika sasa wanaharibu mfumo wa kutoa haki ili wananchi waone kumbe haki mahakamani haiwezi kupatikana waje na maamuzi tofauti ili sababu wanazotaka za kuua watu au kuweka watu kizuizini pasi sababu zipatikane.
Rais awatazame vema wanaomshauri, walewale waliompotosha mwendazake wameshamzingira Hangaya kwa mtindo mwingine.
 
Umeanza vizuri napoint nzuri mwisho unamalizia na uzwazwa, hivi jpm yupo hapa sasaivi, unamlaumu yeye ndio anaongoza serikali sasaivi? Kwanini usimlaumu kiongozi mkuu awabadolishe hao majaji.
Mnamfanya mwenye mamlaka nayeye kujificha kwenye hizolawama za kipuuzi.

Mkianza kumsifia mama wote mnakenuamimeno mnasema aaaaah hakuwachagua yeye hawa sindio!!.

Mnapoteza muda na nguvu nyingi kupambana na marehemu hovyo sana nyinyi watu.
Marehemu wenu kavuruga mambo mengi,lazima alaumiwe Sana tu
 
Inategemea na uzito wa tuhuma, swala linalogusa maslahi mapana ya umma kama hilo mnataka mshinde kipuuzi tu, mnapenda sana mngemuonya aache, na mkumbuke jinai huwa haifi, Feleshi leo ndo AG, mkizingua sana anayafufua ya 2010 Igunga na Mwanza ambayo JK alifunika kombe.

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Nilikuwa najua una akili mbaya! Lkn sikujua kuwa una akili zilizozidi huo ubaya! Una mambo ya kisengerema sana! Shida kubwa zaidi unatokea nyamahengo kwa washirikina
 
Jaji Tiganga anayesikiliza kesi ya Freeman Mbowe inayohusiana na ugaidi amekubali kuwa sheria iliyotumika ili ushahidi upokelewe mahakamani imekosewa kutoka upande wa mamlaka ya kiserikali au Mashtaka

Maajabu, Kwanini Jaji Tiganga amelazimisha kupokea huo ushahidi wakati kuna kesi nyingi alizoamua Yeye mwenyewe zamani alizitupilia mbali kwa kigezo cha kutumia kifungu tofauti yaani(Wrong Citation)

Swali 1,
Je Jaji Tiganga Yeye amegeuka kuwa Bunge la kutunga sheria kwa kuamua kurekebisha sheria akiwa mahakamani badala ya kutafsiri?

Kitendo alichofanya Jaji Tiganga eti pingamizi halina Madhara ni kunajisi mahakama, Ni dhahiri haki haiwezi kupatikana kwenye kesi ya Mbowe


vitendo kadhaa anavyovionyesha Jaji Tiganga mahakamani vinasikitisha sana Raia, Kwa mfano kuna muda analazimisha maneno ambayo mashahidi wa serikali hawajayatamka na yeye anasema aliyasikia, Anapoambiwa mheshimiwa soma Inaonekana hilo neno halipo

Swali 2,
Je Kitendo cha Jaji kuwa omba msamaha mashahidi wa Mashtaka yaani upande wa serikali kwa kuhojiwa maswali magumu na upande wa utetezi inaleta picha gani?

Ni dhahiri hukumu ya hii kesi walishaandaa kwa kuamua kupindisha sheria

Kesi hii imekuwa ya Zig zag na ya kutokueleweka kabisa, Kesi hii na Jaji huyu anaifedhehesha mahakama

Hawa majaji ndio wanajenga Taifa linalogawanyika

Je hawa Majaji ni Raia wa Tanzania?

Nashindwa kuelewa kabisa kwanini Majaji wengi aliowateua JPM hayati wanatuharibia Taifa, JPM aliwapa kitu gani hawa watu mpaka kufukia sehemu ya kuchochea utengamano wa Taifa kwa kutokufuata msingi ya sheria ya Bunge
 
Jaji Tiganga anayesikiliza kesi ya Freeman Mbowe inayohusiana na ugaidi amekubali kuwa sheria iliyotumika ili ushahidi upokelewe mahakamani imekosewa kutoka upande wa mamlaka ya kiserikali au Mashtaka

Maajabu, Kwanini Jaji Tiganga amelazimisha kupokea huo ushahidi wakati kuna kesi nyingi alizoamua Yeye mwenyewe zamani alizitupilia mbali kwa kigezo cha kutumia kifungu tofauti yaani(Wrong Citation)

Swali 1,
Je Jaji Tiganga Yeye amegeuka kuwa Bunge la kutunga sheria kwa kuamua kurekebisha sheria akiwa mahakamani badala ya kutafsiri?

Kitendo alichofanya Jaji Tiganga eti pingamizi halina Madhara ni kunajisi mahakama, Ni dhahiri haki haiwezi kupatikana kwenye kesi ya Mbowe


vitendo kadhaa anavyovionyesha Jaji Tiganga mahakamani vinasikitisha sana Raia, Kwa mfano kuna muda analazimisha maneno ambayo mashahidi wa serikali hawajayatamka na yeye anasema aliyasikia, Anapoambiwa mheshimiwa soma Inaonekana hilo neno halipo

Swali 2,
Je Kitendo cha Jaji kuwa omba msamaha mashahidi wa Mashtaka yaani upande wa serikali kwa kuhojiwa maswali magumu na upande wa utetezi inaleta picha gani?

Ni dhahiri hukumu ya hii kesi walishaandaa kwa kuamua kupindisha sheria

Kesi hii imekuwa ya Zig zag na ya kutokueleweka kabisa, Kesi hii na Jaji huyu anaifedhehesha mahakama

Hawa majaji ndio wanajenga Taifa linalogawanyika

Je hawa Majaji ni Raia wa Tanzania?

Nashindwa kuelewa kabisa kwanini Majaji wengi aliowateua JPM hayati wanatuharibia Taifa, JPM aliwapa kitu gani hawa watu mpaka kufukia sehemu ya kuchochea utengamano wa Taifa kwa kutokufuata msingi ya sheria ya Bunge
Nimeacha kufuatilia hii kesi kwa sababu akaleta taswira mbaya sana kwa mahakama yetu
 
Back
Top Bottom