bad spenko
Senior Member
- Jun 22, 2020
- 125
- 137
Mkuu upo vizur maelezo yako shule tosha..Hakuna kosa la baba analolipia mtoto, hii ni moja ya kutoielewa sheria hiyo
When you die your seed left the body na inakuwa na attachment ulizovuna katika last avatar uliyoleft na kuwa nourished kwa maisha yako yajayo ambayo hutimilizwa na nature selection
Ni kwamba wanaoitwa wazazi kwako ni daraja lililotumika kufikisha mbegu yenye uhai wako kwenye reality ya sasa hata na baadae
Hivyo wazazi sio ishu kubwa kwenye safari za kiroho hata nao wanapambana na yao kwa wakati huu, ila wametumika kukupokea na wewe uishi unayoyastahili
Tena yawezekana mbegu yako ikawa kuu na ya kale kuliko yao, kimwili ukawa mtoto kwao ila kiroho ukawa babu wa babu yao
Sent using Jamii Forums mobile app