Je kabila la msichana ni muhimu kuzingatia wakati natafuta wakumwoa

Mkuu hakuna kabila lililo bora dunian;tabia mbaya au nzuri ni ishu binafs wala c matokeo ya kabila.
 
Mimi si mnyakyusa ila usiconclude kuwa wanyakyusa wote ni desparate na kuolewa. Inawezekana dada uliyekutana nae alishaona ana kila dalili ya kudoda hence akajiwekea mkakate wa kukuganda.

Otherwise mimi sielewi mtu akinambia natafuta msichana/mvulana wa kumuoa. Unamtafuta wapi? Ndio maana nashauri watu mnapokuwa college msikazanie vitabu tu, smart people do more than one thing at a time, na wanaweza ku balance. Sasa kama ndio unasoma tu mpaka PhD ndio unakumbuka kuna kuoa ndio hayo ya dada nitamfutie mke.

Mke atafutwi kaka mnaanza kama marafiki bila hata wazo la ndoa baadae wote mnajisikia kuwa you can not leave without one another basi mnaamua kuoana. Sasa nyie mnaotafuta wake kama shilingi sijuhi kama ndoa zenu zitakuwa normal. Maana ni obvious utaja oa stranger, kila siku unagundua tabia mpya ya mwenza wako na ndo ushaoa ufanyeje.

Nyumba Kubwa: Hivi out of 100 couples zilizokuwa famous chuoni kwenu ngapi wamefanikiwa mpaka kuoana, hapa nadhani weza kuta moja au mbili...Wajua wewe unazungumzia maisha ya kwenye BONGO movies mana vijana wanapomaliza chuo wanakuwa na wakati mwingine tena kutafta kazi...Mmoja anaeza pata kazi mbali na mwingine na mapenzi yakabaki historia..Si kwamba nilikuwa msongo nikasahau kubalance ila huo ndo ukweli halisia wa Tanzania...mana employment is not certain
 
yep it does mater ...! kama ni mtu wa bara funga ndoa na wasichana wa kibara ... kama ni wa pwani tanga, kilwa, lamu, pemba , unguja watakufaa ...
 
to be honest ingawa tunasema sio muhimu

so far ..

ukikuta wa machame original...mhhhhhhhhh

au mhaya wa bukoba kabisa mhhhhhhhhh

au mzaramo wa kisamvulechole kabisa mhhhhhhhhhhh

Tusaidie bwana mkubwa haya makabila yana matatizo? na kama yanayo ni matatizo gani?
 
Wadau..Nipo mbioni kutafuta msichana ambaye kama mambo yakienda vizuri tufunge naye pingu za maisha.Kuna vigezo vichache ninavyo ila naombeni munisaidie kujua kama aina ya kabila nalo ni jambo muhimu kuzingatia wakati natafta mwenza.Nawasilisha
not necesary......
 
mkuu wa machame wanasifika kwa kujali mali tu,no love

wahaya kwa umalaya

wazaramo wana culture ya mafiga matatu,bwana mmoja sokoni.mwingine buchani na mume nyumbani
Haya ni mawazo ya kale mhishimika!, kwamba tabia fulani ni ya kabila fulani ndio inatuponza. Kwa mfano wapo walioamini kuwa wizi ni wa wachaga tu, lakini angalia vibaka wanaokwapua vipochi vya kina mama town au majambazi wanaokamatwa na kuuawa kila siku, ni aghalabu sana kukuta mchaga.

Hivyo kama ulikuwa unalala mlango wazi kwakuwa huna jilani mchaga ukaamini hakuna wizi, chunga sana utalizwa!
 
Mkuu umeuliza swali gumu kidogo. Kwa upande wangu nami hushikwa na kigugumizi. Jamii yangu wengi wanaamini kuzingatia kabila ni muhimu, nami nimekua nikiamini hivyo kutokana na mazingira nilimokulia. Lakini tena ka-elimu kadogo nilikopata na mambo ya Mwalimu Nyerere kuwa Tanzania (Afrika) ni moja na sote ni ndugu vinapingana na mtazamo wa socialization yangu. Kwisha kusema hayo basi mawazo yangu ni kuwa ingawa kwetu vijana kipengere hiki tunakiona hakina umuhimu kwa nyakati zetu lakini hupata nafasi yake (hasa kwa jamii inayokuzunguka: ndugu, rafiki, nk.) pale ndoa yenu inapoingia katika misukosuko. Na hasa pale chanzo cha misukosuko hiyo itakapoonekana ni mke. So mkuu, yangu ni hayo changanya na zako basi.
 
kabila lina nguvu kwenye utamaduni wa mtu

kusema tudharau makabila ni kujidanganya

huwezi linganisha wachaga na wagogo.....

wahaya na wapemba

au wanyakyusa na wazaramo.......

kuna tofauti kubwa

lakini kama watu hao wote wamezaliwa mfano sinza daresalaam,na wakasoma hapa hapa mjini

na kufika chuo kikuu mfano udsm

utakuta watakuwa kama hawana tofauti sana........

ndio maana nimesema ukikuta wa original wa huko huko
take care

mimi mmanyema, kasoro yangu nini?
au ukabila hautuhusu wanaume?
 
lizzy umeniwahi aiseewamanyema tatizo lao hasa wanaume ni wabishi sanana wanajifanya wanajua mnowana gubu na kupenda kukosoa kosoa kutwa
Hahahhha Mbu unalo!!Boss embu niambie kabila lako na wewe nikuchambue!!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Nadhani ilikuwa issue zamani lakini kwa sasa maisha yamebadilika huwezi kujua huyu mtu ni kabila gani kutokana na tabia au matendo, culture ishakuwa diluted unakuta watu wengi ni halfe-caste wa makabila tofauti; hakuna mtu ambaye unaweza kusema ni kabila fulani pure kuanzia tabia bila kuchanganyikana na elements nyingine... kwahiyo zile issue za sijui wahaya hivi, wachagga vile au watanga hivi imebakia kuwa myth..., unaweza ukakuta mchagga ni mtanga kuliko watanga
 
i guess kabila ni muhimu, kuna makabila ukioa mwanamke ni sawa na umeolewa, ukishaoa tu mke hawezi kukusikiliza kwa lolote! hasa watu wa kusini, sasa itokee wewe ni mchaga unayeamini mke ni mali yako, duuuuuuuuuh! Pata chimbika na ndoa haiwezi dumu.
 
Mkuu hakuna kabila lililo bora dunian;tabia mbaya au nzuri ni ishu binafs wala c matokeo ya kabila.

Classical: Asili ya mtu ina-mshape kuwa na tabia fulani. Nina fanya kazi na mama mmoja ambaye ni MPARE, hua mara kwa mara anakuwa na ugomvi na mumewe kiasi mie ndo nimekuwa rafiki yake mana hua ananieleza vyote. Cku moja akaniambia hua anawaambia watoto wake wa kike kuwa wakiolewa wafanya mbinu kujilimbikizia mana wanaume hua hawajali wake zao when they get old, na yeye binafsi ndo mfano halisia. Hapo unataka kuniambia si kabila linaloshape watu, mana wapare wanajulikana kwa ubinafsi. Kama una jamaa yako kaoa mpare na anafanya kazi muulize kama mshahara wa MAMA hua unaonekana mezani, au hata kuzibua vyoo vikijaa au hata kulipia school fees.

Nahisi KABILA lina mchango sana kushape maisha ya mtu kama wazee wake bado wanafuatilia uasilia wao..
 
Back
Top Bottom