Nevergive up
JF-Expert Member
- Dec 24, 2024
- 572
- 891
Wakuu kuna mtu kaniuliza sina majibu kamili.et Mtumishi anaweza kuhama taasisi kwenda nyingine?mfano kutoka TPA kwenda TRA lkn career moja na position zinafanana
Na vigezo nini? Yan ukae mda gani kwenye kazi yako ya sasa ndo uanze michakato ya kuhamiaInawezekana ila upambane kweli kweli kama huna connection!
Vigezo nini Mkuu?yeah sure inawezekana sana
Mfano vigezo gani Mkuu?Kwa mujibu wa sheria hata position tofauti inawezekana kikubwa awe na vigezo. Lakini mambo kwenye uhalisia yanaweza kuwa tofauti si unajua siku hizi bila connection hutoboi
Nimesema mtu kuhama taasisi je inawezekana? Yani technician wa TBS kwenda MCHEMIA na kuwa technician piaJapo sijui unachokiongelea ila nahisi kuwa kuna sehemu maelezo yako hayajitoshelezi.
Anyways.... ngoja waje
Inawezekana kabisa ili mradi huyo mtu awe ni wa career hiyo mfano swcretary yeyote anaweza fanya kazi taasisi yoyoteWakuu kuna mtu kaniuliza sina majibu kamili.et Mtumishi anaweza kuhama taasisi kwenda nyingine?mfano kutoka TPA kwenda TRA lkn career moja na position zinafanana
Je vigezo?Inawezekana kabisa ili mradi huyo mtu awe ni wa career hiyo mfano swcretary yeyote anaweza fanya kazi taasisi yoyote
Kigezo je?Inawezekana Mpaka Ukitaka Kuhamia White House
Kigezo uwe na vyeti vyako ambavyo ni vya level ya hiyo position kingine atleast uwe umefanya kazi for 3 yrs na uwe approved kaziniKigezo je?
OkyKigezo uwe na vyeti vyako ambavyo ni vya level ya hiyo position kingine atleast uwe umefanya kazi for 3 yrs na uwe approved kazini
vigezo ni hivyo hivyo vilivyokupa ajira ya mwanzo..pia unapotaka kuhamia pawe na hio nafasi pia boss wake akuhitaji sio tu wewe ujipelekeVigezo nini Mkuu?
Sasa kaka kwanini uhame taasisi nzuri kama hiyo aisee kwa ninavyojua mimi watu wanaotamani kuhama ni waalimu hizi taasisi zingine labda kupandishwa madaraja na majukumu tu mfano kana ulikuwa mhasibu wa wilaya unapelekwa TRA headquarterKigezo je?
Kuna uzi umeorodhesha taasisi zenye njaa hapa JfWakuu kuna mtu kaniuliza sina majibu kamili.et Mtumishi anaweza kuhama taasisi kwenda nyingine?mfano kutoka TPA kwenda TRA lkn career moja na position zinafanana
Mkuu labda RK hukumuelewa huenda alimaanisha utulivu wa watumishi kaziniTamisemi mshaambiwa mtulize viuno.. hakuna kuhama.