johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,034
Jana CEO wa ATCL amesema shirika lake liko katika mipango ya kufanya baadhi ya huduma lenyewe bila kutumia wakala, na kati ya huduma hizo ni ile ya chakula na vinywaji ndani ya ndege.
Matindi amesema huo ndiyo mfumo wa kisasa unaotumiwa na mashirika mengi ya ndege yenye mafanikio duniani.
Swali dogo ni je, ATCL na mamlaka ya viwanja vya ndege haziwezi kuunganishwa ikawa taasisi moja kama ilivyokuwa Dawasco na Dawasa?
Mkuu Barafu, msaada wako tafadhali.
Maendeleo hayana vyama!
Matindi amesema huo ndiyo mfumo wa kisasa unaotumiwa na mashirika mengi ya ndege yenye mafanikio duniani.
Swali dogo ni je, ATCL na mamlaka ya viwanja vya ndege haziwezi kuunganishwa ikawa taasisi moja kama ilivyokuwa Dawasco na Dawasa?
Mkuu Barafu, msaada wako tafadhali.
Maendeleo hayana vyama!