Kingfisher
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 5,131
- 8,368
Unavyomng'ang'ania mtoto wa watu huo nao ni ukunguni tuMimi siyo kunguni
Sheria ya love iko moja tu dunia nzima japo haijagundulika [emoji116][emoji116]Nifanyeje sasa?
Principle ni moja tu huwezi kuikwepa na wala huwezi kujifanya upo bize cz ndani ya huo ubize kasimama huyo huyo unayemkwepa, rudi hapa [emoji116][emoji116]Pole, fimbo ya mbali haiuwi nyoka...
Nawewe kuwa bize asipokutafuta hakupendi.
Sheria ya love iko moja tu dunia nzima japo haijagundulika [emoji116][emoji116]
Nakupenda ili unipende sasa ushanipenda nikupende ili iweje?
Case closed.
Wanawake wameanza lini kupenda?Hakupendi Mkuu halafu inaonekana wewe king'ang'anizi
Ndo iko hvyo mkuu haiwezekani mkapendana mtu asije akakuongopea hata cku moja, ukiona unaanza kumpenda mtu rudi kwenye hyo principle then utaishi kwa raha sn duniani hapa.Hiyo principle kidogo naweza kuikubali
we kuna mtu kakuanzishia Uzi nenda kajibu chap kwa haraka tumalize mchezoIli kupata majibu kama ni wa ndoa ama ni mpita njia points ni zile zile
Kuanzia sasa usimtafute....usipige,usitume sms
Akiomba pesa usitoe
Sikilizia kama atakutafuta unatake over mahusiano,yani unamgeuzia kibao cha yeye kuanza kukubembeleza
Asipokutafuta jua huitajiki hapo,fanya mambo mengine
Life iko too short kuumizwa na mtu,tulia fanya mambo yako utapata mtakayependana
Sometimes unatakiwa kuchukua maamuzi magumu kwa usalama wa moyo wako kwa badae
Pendana na anayekupenda
we kuna mtu kakuanzishia Uzi nenda kajibu chap kwa haraka tumalize mchezo
Weka hapa link tukaseme nao huo uzi ili km itawezekana yaliyomo yawemo.we kuna mtu kakuanzishia Uzi nenda kajibu chap kwa haraka tumalize mchezo
Utapotezaje kwa mtoto wako huyo ni kiumbe chako na anajisikia fahari wewe kumpata usiwe na mawazo ya walioshindwaIlitakiwa nipoteze mwisha kiasi gani?
Usikasire kwa majibu yake mkiwa karibu tumia hekima kumfundisha na kumuelekeza falsafa zakoNa Mimi nafikiria Kama wewe vile lkn kingine wakati mwingine huwa nakuwa natoa maneno ya kumuumiza sana, na ya dhihaka hasa nipatapo hasara kwa matendo yake