Habari Wakuu,
Bila kupoteza mda niende Moja kwa Moja kwenye mada.
Nilikuwa na mpenzi ambaye ndiyo nilikuwa nategemea kumuoa, kilichofanya nije niulize hapa ni hili tukio. Mimi Niko mkoa mwingine na mpenzi wangu alikuwa anafanya kazi mkoa mwingine.
Siku moja nikawa nimeenda kumsalimia na nikaa naye kama siku tatu hivi ,baada ya hapo nikarudi mkoa ninaoishi kwa ajili ya kazi, basi ijumaa ya wiki hiyo niliyorudi akaniambia kutakuwa na ugeni ofisin kwao hivyo atakuwa busy maan yeye anafanya kazi hotel.
Basi kuanzia siku ya jumatatu hakuwahi pokea simu yangu wala kujibu text zangu Wala kanipigia yani nikawa nampigia simu inaita weee bila kupokeleea na namtumia text hajibu mpaka wiki ikaja kuisha siku ya jumapili ndiyo akaja pokea simu baada ya kumuuliza kwann hupokei simu wiki nzima na hata text hujibu, akanijibu vimajibu vya kitoto sana basi nikakaa kimya.
Siku hiyo hiyo baada kama ya lisaa limoja hivi nikapokea text kutoka number mpya ikiwa inanitaka nitoe ushirikiano wa kuwa huyu GETU unamfahamu? Na nina yako, maana Mimi nilikuwa naye wiki nzima na simu nilikuwa nazo Mimi.
Basi nikamuelekeza jamaa naye akamaindi sana, kumbe jamaa naye alikuwa katoka zenzibar kamfata Getu, basi kama wanaume tukaongea pale yakaisha ikaonekana demu anatuchanganya wote, basi mie nikaona hapa hamna mwanamke
Baada ya tukio hilo baada ya mwezi mmoja akaanza kunitafuta na kuniomba msamaha Sana na alinifata hadi ninakoishi mkoa mwingine lakini nilimfukuza alilia Sana ila nilikaza na baadaye akasema Akili mbili Nina Mimba na hii Mimba ni yako.
Ishu kubwa inayonitesa je hii Mimba inaweza kuwa yangu kweli au nimpotezee tu nisubiri akija jifunguwa ndiyo nione mtoto Kama anafanana na Mimi au laa?
Maana Toka tukio Lile sinaga hisia naye kabisa na namchukia sana.
Bila kupoteza mda niende Moja kwa Moja kwenye mada.
Nilikuwa na mpenzi ambaye ndiyo nilikuwa nategemea kumuoa, kilichofanya nije niulize hapa ni hili tukio. Mimi Niko mkoa mwingine na mpenzi wangu alikuwa anafanya kazi mkoa mwingine.
Siku moja nikawa nimeenda kumsalimia na nikaa naye kama siku tatu hivi ,baada ya hapo nikarudi mkoa ninaoishi kwa ajili ya kazi, basi ijumaa ya wiki hiyo niliyorudi akaniambia kutakuwa na ugeni ofisin kwao hivyo atakuwa busy maan yeye anafanya kazi hotel.
Basi kuanzia siku ya jumatatu hakuwahi pokea simu yangu wala kujibu text zangu Wala kanipigia yani nikawa nampigia simu inaita weee bila kupokeleea na namtumia text hajibu mpaka wiki ikaja kuisha siku ya jumapili ndiyo akaja pokea simu baada ya kumuuliza kwann hupokei simu wiki nzima na hata text hujibu, akanijibu vimajibu vya kitoto sana basi nikakaa kimya.
Siku hiyo hiyo baada kama ya lisaa limoja hivi nikapokea text kutoka number mpya ikiwa inanitaka nitoe ushirikiano wa kuwa huyu GETU unamfahamu? Na nina yako, maana Mimi nilikuwa naye wiki nzima na simu nilikuwa nazo Mimi.
Basi nikamuelekeza jamaa naye akamaindi sana, kumbe jamaa naye alikuwa katoka zenzibar kamfata Getu, basi kama wanaume tukaongea pale yakaisha ikaonekana demu anatuchanganya wote, basi mie nikaona hapa hamna mwanamke
Baada ya tukio hilo baada ya mwezi mmoja akaanza kunitafuta na kuniomba msamaha Sana na alinifata hadi ninakoishi mkoa mwingine lakini nilimfukuza alilia Sana ila nilikaza na baadaye akasema Akili mbili Nina Mimba na hii Mimba ni yako.
Ishu kubwa inayonitesa je hii Mimba inaweza kuwa yangu kweli au nimpotezee tu nisubiri akija jifunguwa ndiyo nione mtoto Kama anafanana na Mimi au laa?
Maana Toka tukio Lile sinaga hisia naye kabisa na namchukia sana.