Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,783
- 21,019
Wapo wengi mno humu. Hata sijui hasa nia yao nini. Kama huyo msela hakuwahi hata kuomba hela kusema ni tamaa ama tapeli. na nilipokutana nae ni mshkaji mwenye maisha yake fresh tu sasa sijui ni punga au kuna kiki fulani anapata akitongozwa na midume wenzie.Kuna mtu mwingine alisemaga alimuona mtu hapa ndani ana ID ya kiume, ila kwenye daladala alikuwa wa Kike ππ
BadooNakwambia me namjua ila sababu nina wivu simalizii herufi zilizobaki...sasa fanya mpango wa kutuma hyo soda chap[emoji23][emoji23]
Usiponipa soda yangu nitakuja nae hapo ofisini kwako[emoji35]Badoo
Em hukoo [emoji1787][emoji1787]
Njoo nae π€£π€ΈUsiponipa soda yangu nitakuja nae hapo ofisini kwako[emoji35]
NafuatiliaMi nasoma koments tyuuuu na kusubiria mtag watyuuu wenyuuuhππ
Heee kibabu umefika ππNi mimi ila siyo kwa id hii....
Niko Dar...
Wewe uko Chuga..
Enzi hizo tunapigiana video call sana, mpaka za nudes.
Tumetumiana nudes zetu sana..... Za kwako ninazo mpaka leo, za kwangu sijui kama bado unazo...
All in all respect mrembo...
Usione sikufeel ila ni life lilituwekea ukuta tuu.
Okay nimeelewa SasaHii sio code ya jina la huyo mzee wako..nimemtajia depal
Ushawahiiiii?????ππππ!! Shusha vituuu πNafuatilia
Nipo hapa kibibiπHeee kibabu umefika ππ
Wewe sema tu, jibu kwa unique ni rahisi sana shemπ€£Wale wa Comments section tujuane[emoji28]
Hakuna member ninayemfahamu hapa JF wala hakuna anayenifahamu. Hizi ID zinatufichia mengi sana. maparody yapo ya kutosha.Ushawahiiiii?????ππππ!! Shusha vituuu π
Inapendeza sanaaaa!!!Hakuna member ninayemfahamu hapa JF wala hakuna anayenifahamu. Hizi ID zinatufichia mengi sana. maparody yapo ya kutosha.
Unapenda wanaume wenyee magari adi Jf umempeNda mtu wa Jf GArage kwelππππNilimpendaga kijana anashindaga kuleee JF garage πππ
Weeuhh alikuwa akinilike nasikia raha⦠alinikwoti nazimiaa sekunde 3.
Way back.. sahii feeelings zilikwenda na maji ya mvua ya msimu uliopita.
Ila kijana hajui
We live once we die.. kula maisha tuu kuumiza kichwa kuwajua wana Jf utakosa mengiHakuna member ninayemfahamu hapa JF wala hakuna anayenifahamu. Hizi ID zinatufichia mengi sana. maparody yapo ya kutosha.
Hakika, wala sina mpango wa kufahamiana na yeyote. Nadunda na ID yangu ya kitambo.we live once we die.. kula maisha tuu kuumiza kichwa kuwajua wana Jf utakosa mengi
Nimeona wewe ni mkongwe humu ndani Kongole kwakoHakika, wala sina mpango wa kufahamiana na yeyote. Nadunda na ID yangu ya kitambo.
Jf garage ndio nilikuwa namuona sana banaπ€£π€£π€ΈUnapenda wanaume wenyee magari adi Jf umempeNda mtu wa Jf GArage kwelππππ