Je hiki walichofanya CCM ni sahihi ?

Je hiki walichofanya CCM ni sahihi ?

Walikuwa ni masister kweli na wala siyo uwongo ,ila wamechezewa kinyamazongo na wahuni , yaani walichoitiwa ni tofauti na lengo la wahusika.

Kimsingi wao (Masister) tukio la wao kupigwa picture wakiwa wameshikilia vile makaratasi kwao hawakuwa wamelichukulia kwa uzito kiviiile bila kujua kwa CCM hilo ndilo lililokuwa lengo lao la msingi.
Mambo ya ajabu sana
 
Back
Top Bottom